Jaji Mgeta: Niliumizwa na Waziri Mkuu kuchana Hukumu ya kesi niliyotoa kuwa kashindwa

Jaji Mgeta: Niliumizwa na Waziri Mkuu kuchana Hukumu ya kesi niliyotoa kuwa kashindwa

Kumbe Hanang ipo Arusha?
Jiografia ya Tanzania huijui wewe
Manyara imemegwa kutoka Arusha sumaye akiwa waziri mkuu
Hio hukumu ya huyo jaji ilichanwa mwaka gani? Inawezekana ilichanwa kabla hio hanang haijamegwa
 
Hio hukumu ya huyo jaji ilichanwa mwaka gani? Inawezekana ilichanwa kabla hio hanang haijamegwa
Mgeta aliteuliwa kuwa jaji wa mahakama kuu mwaka 2012, enzi za JK wa pili.
 
Km ni ivo bila shaka atakuwa mzee mamvi
Ila Sasa Cha kushangaza "mamvi" kakaa kwenye kiti miaka miwili na miezi kadhaa akaondoka(2005-2008)
Awamu ya pili ya JK wakati huo waziri "mkubwa" alikuwa mzee wa "utapigwa tu"
Na wakati Jaji Mgeta anateuliwa Mzee wa "utapigwa tu" ndio alikuwa ameshika hatamu
So yawezekana Jaji katumia "code" fulani anazozijua yeye tu labda na wale waliosomea Cuba , ukizingatia Mzee wa utapigwa tu ametokea mkoa ambao umemegwa toka ule mkoa unaosifika kwa 'ndumba" kwa kina majiyatanga
So maybe yawezekana hata akawa "sukununu"
Yaani labda alikuwa Arusha kimampuziko "vacation".
 
Ila Sasa Cha kushangaza "mamvi" kakaa kwenye kiti miaka miwili na miezi kadhaa akaondoka(2005-2008)
Awamu ya pili ya JK wakati huo waziri "mkubwa" alikuwa mzee wa "utapigwa tu"
Na wakati Jaji Mgeta anateuliwa Mzee wa "utapigwa tu" ndio alikuwa ameshika hatamu
So yawezekana Jaji katumia "code" fulani anazozijua yeye tu labda na wale waliosomea Cuba , ukizingatia Mzee wa utapigwa tu ametokea mkoa ambao umemegwa toka ule mkoa unaosifika kwa 'ndumba" kwa kina majiyatanga
So maybe yawezekana hata akawa "sukununu"
Yaani labda alikuwa Arusha kimampuziko "vacation".
Duh! Si mchezo
 
Mkuu, naungana nawe. Jaji aliyetoa taarifa inawezekana mlengo wake ulikuwa ni kuonesha muingiliano wa mihimili au kutoheshimiwa kwa muhimili wa mahakama dhidi ya mihimili mingine. Ila alichokizungumza kimeshindwa kuonesha hicho alichokuwa amekitarajia kukionesha.

Mikanganyiko kama hii haileti tija kwa jamii zaidi ya kupotosha. Mfano hapo, kwa alichokizungumza, ameua mara 100 imani ya wananchi kwa Mahakama kuliko angeisema habari hiyo kwa kuibeba mahakama, mfano angesema, "Nilichekeshwa na kitendo cha waziri mstaafu kuchana nakala ya hukumu niliyoandika kwa sababu tu haikumfurahisha. Sisi Mahakama hatupo kuwafurahisha watu, tupo kwa ajili ya kusaidia utoaji wa haki kwa wananchi. Na ndio maana hukumu ile iliyochanwa na waziri bado ilitekelezwa vilevile kama nilivyoitoa bila kujali kama inamuudhi au kumfurahisha mheshimiwa waziri". Maneno kama haya ndio yanayojenga imani ya wananchi na ndio ukweli /uhalisia.
Kweli kabisa
 
Alopeleka hati ya maamuzi ya mahakama nae sidhani iwapo alikuwa msafi - kada hiyo iajua yenyewe ukweli kuhusu hukumu
 
Back
Top Bottom