Juzi zilitoka habari kwenye mitandao kuwa jaji mkuu wa Tanzania anawalaumu wapelelezi wa kesi mbalimbali kuwa ndio wakutupiwa lawama kwa mlundikano wa wafungwa na kuahirishwa kwa kesi mbalimbali na mahakama.
Tena alienda mbali na kuwalaumu kuwa huwa wanaotoa sababu za Hovyo na zisizo na mashiko.
Nisiseme uwongo nimeshangaa Sana jaji mkuu kuongea kitu Kama hicho ni bora kabisa angekaa kimya kuficha auburn yake.
Hebu tufikili kidogo. Mtu ana kesi tena kesi yenyewe mbaya na wengine wamenyimwa dhamana maana yake wanasota ndani kwa maumivu makali.
Anakuja wakili wa serikali nasababu ya hovyo na isio na mashiko akiomba kesi ihairishwe, wewe Kama jaji ambae umeaminiwa kutoa haki unagundua kabisa kuwa sababu hii ni ya ovyo tena haina mashiko lkn wewe jaji unaamua kwa makusudi kabisa kuahirisha kesi hiyo, bila sababbu ya msingi hivi hapo ni Nani wants kulaumiwa?
Yaani wakili wa Serikali amekupa sababu ya hovyo isiyokua na mashiko lkn wewe ukiwa Msomi kabisa unagundua kuwa hii ni sababbu dhaifu, tena ya hovyo isio kuwa na mashiko lkn unakubaliana nae, hivi Kati yenu ninyi wawili yaani wakili wa serikali na wewe jaji Nani ni wachache hovyo?
Kwa mtizamo wangu wewe jaji uliyegundia kuwa sababu hii ni ya hovyo isiyo na mashiko na wakati huohuo umepewa mamlaka ya kuifuta kesi hiyo lkn bado ukakubaliana na huyu mtu aliyekuletea sababbu dhaifu, za hovyo na zisizokua na mashiko basi wewe ndiye wa hovyo zaidi kuliko huyo aliye kuletea hizo sababbu
Tukumbuke mfano alio utoa Mwl Nyerere kati ya mtu mwenye almasi na mwizi mwenye vichupa na utapata majibu.
Tena alienda mbali na kuwalaumu kuwa huwa wanaotoa sababu za Hovyo na zisizo na mashiko.
Nisiseme uwongo nimeshangaa Sana jaji mkuu kuongea kitu Kama hicho ni bora kabisa angekaa kimya kuficha auburn yake.
Hebu tufikili kidogo. Mtu ana kesi tena kesi yenyewe mbaya na wengine wamenyimwa dhamana maana yake wanasota ndani kwa maumivu makali.
Anakuja wakili wa serikali nasababu ya hovyo na isio na mashiko akiomba kesi ihairishwe, wewe Kama jaji ambae umeaminiwa kutoa haki unagundua kabisa kuwa sababu hii ni ya ovyo tena haina mashiko lkn wewe jaji unaamua kwa makusudi kabisa kuahirisha kesi hiyo, bila sababbu ya msingi hivi hapo ni Nani wants kulaumiwa?
Yaani wakili wa Serikali amekupa sababu ya hovyo isiyokua na mashiko lkn wewe ukiwa Msomi kabisa unagundua kuwa hii ni sababbu dhaifu, tena ya hovyo isio kuwa na mashiko lkn unakubaliana nae, hivi Kati yenu ninyi wawili yaani wakili wa serikali na wewe jaji Nani ni wachache hovyo?
Kwa mtizamo wangu wewe jaji uliyegundia kuwa sababu hii ni ya hovyo isiyo na mashiko na wakati huohuo umepewa mamlaka ya kuifuta kesi hiyo lkn bado ukakubaliana na huyu mtu aliyekuletea sababbu dhaifu, za hovyo na zisizokua na mashiko basi wewe ndiye wa hovyo zaidi kuliko huyo aliye kuletea hizo sababbu
Tukumbuke mfano alio utoa Mwl Nyerere kati ya mtu mwenye almasi na mwizi mwenye vichupa na utapata majibu.