Jaji Mkuu ameiabisha Mahakama na kuwakosea watanzania

Jaji Mkuu ameiabisha Mahakama na kuwakosea watanzania

Sheria siyo hisia bro. Hakuna sababu ya hovyo mahakamani. Itakuwa ya hovyo tu kama kutakuwa na utetezi usiokuwa wa hovyo na si vinginevyo.
Juzi zilitoka habari kwenye mitandao kuwa jaji mkuu wa Tanzania anawalaumu wapelelezi wa kesi mbalimbali kuwa ndio wakutupiwa lawama kwa mlundikano wa wafungwa na kuahirishwa kwa kesi mbalimbali na mahakama.

Tena alienda mbali na kuwalaumu kuwa huwa wanaotoa sababu za Hovyo na zisizo na mashiko.

Nisiseme uwongo nimeshangaa Sana jaji mkuu kuongea kitu Kama hicho ni bora kabisa angekaa kimya kuficha auburn yake.

Hebu tufikili kidogo. Mtu ana kesi tena kesi yenyewe mbaya na wengine wamenyimwa dhamana maana yake wanasota ndani kwa maumivu makali.

Anakuja wakili wa serikali nasababu ya hovyo na isio na mashiko akiomba kesi ihairishwe, wewe Kama jaji ambae umeaminiwa kutoa haki unagundua kabisa kuwa sababu hii ni ya ovyo tena haina mashiko lkn wewe jaji unaamua kwa makusudi kabisa kuahirisha kesi hiyo, bila sababbu ya msingi hivi hapo ni Nani wants kulaumiwa?

Yaani wakili wa Serikali amekupa sababu ya hovyo isiyokua na mashiko lkn wewe ukiwa Msomi kabisa unagundua kuwa hii ni sababbu dhaifu, tena ya hovyo isio kuwa na mashiko lkn unakubaliana nae, hivi Kati yenu ninyi wawili yaani wakili wa serikali na wewe jaji Nani ni wachache hovyo?

Kwa mtizamo wangu wewe jaji uliyegundia kuwa sababu hii ni ya hovyo isiyo na mashiko na wakati huohuo umepewa mamlaka ya kuifuta kesi hiyo lkn bado ukakubaliana na huyu mtu aliyekuletea sababbu dhaifu, za hovyo na zisizokua na mashiko basi wewe ndiye wa hovyo zaidi kuliko huyo aliye kuletea hizo sababbu

Tukumbuke mfano alio utoa Mwl Nyerere kati ya mtu mwenye almasi na mwizi mwenye vichupa na utapata majibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu tufikili kidogo. Mtu ana kesi tena kesi yenyewe mbaya na wengine wamenyimwa dhamana maana yake wanasota ndani kwa maumivu makali.

Anakuja wakili wa serikali nasababu ya hovyo na isio na mashiko akiomba kesi ihairishwe, wewe Kama jaji ambae umeaminiwa kutoa haki unagundua kabisa kuwa sababu hii ni ya ovyo tena haina mashiko lkn wewe jaji unaamua kwa makusudi kabisa kuahirisha kesi hiyo, bila sababbu ya msingi hivi hapo ni Nani wants kulaumiwa?
Hapi ndipo ulipokosea
Ni vigumu sana kujadili masuala ya sheria,wakati huna cheti cha sheria
Mahakamani hatuna hoja zinazoitwa za kipumbavu wala kwenye sheria zozote dunia,labda ungesema hoja zisizo na mashiko
Kwenye kutoa maamuzi jaji pia anapaswa kuangalia maslahi ya mtuhumiwa na ya taifa pia ikiwa sheria ipo kimya
Labda ungeainisha kesi husika wataalam wangejaribu kukusaidia
 
Mambo ya mahakama iachiwe mahakama ishughulike nayo!

Potea mbali huko na siasa zako uchwara!

Sent using Jamii Forums mobile app
Akili yako umekabidhi mahali huwezi kuona ukweli, jaji/hakimu ni refa na mashitaki na mshitakiwa ni timu mbili zinazopambana. Ukijua mantiki hiyo hizo ngonjera za Jaji mkuu utaziona upuuzi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hivi watu hawawezi fungua kesi za fidia hasa dhidi ya serikali basi ndio imekuwa shida tupu.
Nchi zilizoendelea wameweza kudhibiti uhuni huu wa kamata bila ushahidi kwa fidia.

Ukimkamata mtu halafu ukamfungulia mashtaka na kisha ukashindwa kesi, serikali itamlipa mtu huyo hadi ijute. Na anayesimamia malipo na haki za mtu huyo ni Mahakama.

Kwa Tanzania inashangaza sana kwamba DPP ndiye anayeiongoza mahakama

Ukimsikiliza ''shangazi'' ana hoja za msingi sana kama uhuru wa mahakama ambao sisi tunadhani ni maneno na si infrastructure nzima.

Pili, anaongea ukweli kuhusu Jaji mkuu. Kama Jaji mkuu analalamika kuhusu sheria mbovu, mhimili wake ndio wenye dhamana ya kutafsiri ubovu huo na kuurudisha panapohusika.

Jaji Ibrahimu kwakweli amepwaya ukilinganisha na akina Nyalali waliosimama kidete mbele ya Nyerere, waliosema wazi mchana kweupe kuna sheria 40 hazina maana na ni kandamizi.

Hivi ni kweli kwamba chimbuko la sheria ni Bunge tu! kama asemavyo Jaji mkuu?

Hivi Jaji mkuu mwenye mhimili akilalama, sisi vibaka mitaani tutakuwa na hali gani?

Mpende au mchukie Shangazi, ana hoja! za kufikirisha katika hili suala

JokaKuu Pascal Mayalla
 
Mimi ningekuwa wewe hii post yako angalau ninge-edit kama sio kuifuta kabisa. Bunge ni by definition ni political entity, kwa hivyo haiwezekani mtu mwenye akili timamu kulifuatilia out of political context (atalifuatilia kwa context gani sasa, ya kidini?).
Huwezi kunielewa kwa sababu wewe unaonekana ni BOYA, FAMBA lile grade ya mwisho kabisa!
 
Hii kauli ningekuwa wewe nimgeifuta na kuapologise! Ni kauli ya ovyo kabisa. Tujifunze kuwa ratioal na kuargue kama great thinkers. Sidhani kama umewaza hata kidogo kabla ya kutoa kauli hii. Usipende kuangalia kila kitu katika mlengo wa kisiasa. Take your time nenda Mahakani hata wiki moja au fuatilia Bunge ukiwa out of political context uone kama ulikuwa sahihi kuandika hicho ulichoandika!
Wewe unaona tuna Bunge imara la kuisimamia Serikali hasa kaktik awamu hii? Kila mwenyewe akili timamu anajua kinachofanyika ni Serikali kulisimamia Bunge.
 
Hii kauli ningekuwa wewe nimgeifuta na kuapologise! Ni kauli ya ovyo kabisa. Tujifunze kuwa ratioal na kuargue kama great thinkers. Sidhani kama umewaza hata kidogo kabla ya kutoa kauli hii. Usipende kuangalia kila kitu katika mlengo wa kisiasa. Take your time nenda Mahakani hata wiki moja au fuatilia Bunge ukiwa out of political context uone kama ulikuwa sahihi kuandika hicho ulichoandika!
great thinker? you must be joking! Uko mbali sana na ukweli. Kama huu kwa dhati ndio uelewa wako wa mambo, una shida sana. Kama ulienda shule uliishia kujua KKK. Hukubahatika kuvuka hapo. Hujui hujui hujui. Maana yake: hujui na hujui kuwa hujui. Human beings are political animals. Huwezi kuondoa madoadoa kwa chui na akabaki chui. Vivyo hivyo huwezi ondoa siasa kwa binAdamu akabaki mtu!
 
Sasa wananchi wanakwenda kuelewa kauli ya baba wa taifa kuwa inahitajika kubadili katiba mpya .Iliyopo sasa hivi ambayo tunakumbatia inatoqa mwanya mukubwa muhimili wa Executive ku out weight mihimili mingine
 
Yeye alipokuja hadharani na kusema hayo alikuwa anatuambia sisi ni mahakama? Acha kimbelembele we dogo, kama huna cha kuchangia kalisha hilo jicho kwenye kiti.
Mabavicha mna mihemko; kila jambo ni la kisiasa kwenu.

Kwahiyo mlitaka majaji na mahakimu wawaachie huru wahalifu wa unbailable crimes? kwa utashi wao tu?

If the offence is not bailable, that is not up to the judiciary. It is the prosecutors who are expected to expedite their case and present the evidence to the court on time.

Piga blah blah hapo ukimaliza kale machips huko!

Dunia itaendelea kuzunguka kwenye muhimili wake na hakuna litakalobadilika msipojitambua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mimi ni jaji wa hiyo kesi, naihairisha kesi kwa mwezi mmoja, namtowa mshitakiwa kwa dhamana na namuweka ndani wakili wa serikali mpaka siku ya kusikiliza hiyo kesi aone raha ya kukaa ndani!
 
Jaji mkuu ndio wa hovyo zaidi kuliko hao majaji unaosema wahovyo
 
great thinker? you must be joking! Uko mbali sana na ukweli. Kama huu kwa dhati ndio uelewa wako wa mambo, una shida sana. Kama ulienda shule uliishia kujua KKK. Hukubahatika kuvuka hapo. Hujui hujui hujui. Maana yake: hujui na hujui kuwa hujui. Human beings are political animals. Huwezi kuondoa madoadoa kwa chui na akabaki chui. Vivyo hivyo huwezi ondoa siasa kwa binAdamu akabaki mtu!
Unfortunately I can't argue with you, na sababu ni moja comment yangu hujaelewa hata 0.0000000000000001, so nitakuwa napoteza Muda na inaweza kunichukua miaka yote ya maisha yangu yaliyobaki kukuelewa, the best thing I can do ni kukuacha ubaki na UPOPOMA wako.
 
Unfortunately I can't argue with you, na sababu ni moja comment yangu hujaelewa hata 0.0000000000000001, so nitakuwa napoteza Muda na inaweza kunichukua miaka yote ya maisha yangu yaliyobaki kukuelewa, the best thing I can do ni kukuacha ubaki na UPOPOMA wako.
Obviously, from you, nothing more than this was expected. Hujui hujui hujui. Kama sijakuelewa hujielewi mwenyewe! Sampuli yako ndivyo walivyo. Hukimbilia: hujanielewa, nitakuwa napoteza muda kubishana na wewe, hata iweje siwezi kukuelewa, ni kukuacha kama ulivyo. Wanamalizia kwa tusi. Wao hujua kila kitu! Hawako tayari kusikiliza maoni tofauti na vile wanavyoamini. Ulikwenda shule ukapata elimu ya kufuta ujinga bila ya kuongeza maarifa!
Kuweza kuandika unachojua wewe ili wengine nao waweze kusoma unachojua. Umefunga milango usijifunze usilojua kwa kuamini unajua kila kitu kwa usahihi!
 
Back
Top Bottom