Biswalo mnamuonea bure, ni nani aliweza kwenda kinyume na Jiwe kipindi cha utawala wake? Wengine si wamekimbia mpaka nchi kumuogopa Jiwe? Mlitaka Biswalo apingane naye yampate ya kumpata?Biswalo ana sehemu maalum kule kaburini
Hata na wewe pia unayo ujue hiloBiswalo ana sehemu maalum kule kaburini
Sio kwa TANZANIA labda ULAYA Kwa Tanzania ni KUBAMBIKIZIWA KESIJaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma amesema Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) katika kazi yake anatakiwa kuwa na nia ya kutenda Haki akimtaja chujio la kwanza katika masuala ya Haki...
Umenena vyemaBiswalo mnamuonea bure, ni nani aliweza kwenda kinyume na Jiwe kipindi cha utawala wake? Wengine si wamekimbia mpaka nchi kumuogopa Jiwe? Mlitaka Biswalo apingane naye yampate ya kumpata?
Ataungua na moto grade II maana grade one ni moto unaomuunguza Meko sasa hivuBiswalo ana sehemu maalum kule kaburini
mmh hata mimi naliona hilo ila tufanyeje sasa?Kwa katiba hii ni kuomba kuwa na Rais mwenye hofu ya Mungu, akiwa firauni ni hatari
Katika maisha yangu hakuna mtu naye muogopa ambaye kutwa kumtaja tajaKwenye Mamlaka hizo Mama weka Waislamu wenye hofu ya MUNGU hao kina Sabaya mpaka wajirekebishe , MTU anamtaja MUNGU mara 100 Kwa siku matendo yake Hadi Shetani haamini.
Huyu hafai kuwa jaji mkuu hata kwa dak 1 maana kutwa analalamika na wakati mahakama ndiyo mhimili wa hakiLoooo kweli nchi inakwenda kasi leo mu CJ also he got his voice back!,kauli hizi mbona hukizitoa just 100days zilizopita?woga nawe ulikukabili na njaa ya tumbo kwako na familia yako,namkumbuka my former CJ(F.Nyalali)alifanya kazi bila woga tena under mfumo wa chama kimoja cha siasa.
Kwenye Mamlaka hizo Mama weka Waislamu wenye hofu ya MUNGU hao kina Sabaya mpaka wajirekebishe , MTU anamtaja MUNGU mara 100 Kwa siku matendo yake Hadi Shetani haamini.mhh