chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,694
- 4,954
Sukuma Gang, wanapata shida sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Warudishe pesa za wenyeweBiswalo mnamuonea bure, ni nani aliweza kwenda kinyume na Jiwe kipindi cha utawala wake? Wengine si wamekimbia mpaka nchi kumuogopa Jiwe? Mlitaka Biswalo apingane naye yampate ya kumpata?
Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma amesema Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) katika kazi yake anatakiwa kuwa na nia ya kutenda Haki akimtaja chujio la kwanza katika masuala ya Haki.
Pia amesema DPP amepewa wajibu wa kuzuia matumizi mabaya ya taratibu katika mfumo wa utoaji Haki na kuangalia maslahi ya Taifa akiongeza, "Hawezi kuingiliwa na mtu yeyote, hata Jaji Mkuu hana mamlaka ya kuingilia katika kazi yake".
Aidha kwa upande wa maslahi ya Umma, Prof. Juma amesema Mkurugenzi wa Mashtaka lazima asikilize wanacholalamika wananchi na maeneo yenye tatizo.
Ujiuzulu kwenye utawala wa jiwe mzee? Unajitaka? Kifupi jiwe kanyanyasa sana wateule wake, alishasema mwenyewe alikuwa anawaita wapumbavu akina Kabudi na Mpango japokuwa wamemzidi umri, sasa kama Kabudi alikuwa anaitwa mpumbavu, what about akina Biswalo?Warudishe pesa za wenyewe
Wawaachilie huru wafungwa waliobambikiziwa kesi wapinzani
Atoke hadharani aombe msamaha
Alipashwa kujitenga na uovu kwa kujiuzulu nafasi zote za uongozi
Tusiwe wadhambi
Anaweza. Mbona CAG aliweza?DPP amepewa nguvu kubwa sanaaa.......na katiba sio kosa lake maana anamsikiliza No 1 zaidi anatakaje...hawezi kumbishia
Biswalo sio mtu wa kumlaumu maana alikuwa anamfata maguBiswalo ana sehemu maalum kule kaburini
It is trueBiswalo mnamuonea bure, ni nani aliweza kwenda kinyume na Jiwe kipindi cha utawala wake? Wengine si wamekimbia mpaka nchi kumuogopa Jiwe? Mlitaka Biswalo apingane naye yampate ya kumpata?
Huyu ingefaa anze kuteseka muda mrefu kabla ya kupelekwa kaburiniBiswalo ana sehemu maalum kule kaburini
... ni kosa; anatakiwa kuisikiliza katiba na sheria sio #1.DPP amepewa nguvu kubwa sanaaa.......na katiba sio kosa lake maana anamsikiliza No 1 zaidi anatakaje...hawezi kumbishia
Huyo Samia mwenyewe kipindi cha jiwe alikuwa hafurukuti, pamoja na Majaliwa wake, hata akina Bashite walikuwa wanawatunishia msuli.It is true
Katiba mpya ndio solution hapa.....hao eatendaji wa katibaAnaweza. Mbona CAG aliweza?
Amandla...
Hata ikiwepo Katiba nzuri namna gani anaweza kuja mtu akaivunja anavyotaka. Na kama watendaji wakuu wataogopa kutofautiana nae itakuwa kama toilet paper. Tunahitaji kuwa na taasisi imara ambazo ziko tayari kusimamia haki.Katiba mpya ndio solution hapa.....hao eatendaji wa katiba
Wamisheni hawawezi kuwa na hofu ya Mungu?Kwenye Mamlaka hizo Mama weka Waislamu wenye hofu ya MUNGU hao kina Sabaya mpaka wajirekebishe , MTU anamtaja MUNGU mara 100 Kwa siku matendo yake Hadi Shetani haamini.
Tumeanza kuwa nchi ya kutetea MAJIZI na WAHALIFU.
Kwamba kwa sasa katika nchi yetu, DPP ndiye mwenye makosa na sio MAJIZI na MAUZA NGADA.
DPP anapoyashughulikia MAJIZI na MAUZA NGADA, anaambiwa "anabambikiza".
What is "kubambikiza" in a real contextual and legal meaning?
Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) katika kazi yake anatakiwa kuwa na nia ya kutenda Haki akimtaja chujio la kwanza katika masuala ya Haki... !!!Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma amesema Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) katika kazi yake anatakiwa kuwa na nia ya kutenda Haki akimtaja chujio la kwanza katika masuala ya Haki.
Pia amesema DPP amepewa wajibu wa kuzuia matumizi mabaya ya taratibu katika mfumo wa utoaji Haki na kuangalia maslahi ya Taifa akiongeza, "Hawezi kuingiliwa na mtu yeyote, hata Jaji Mkuu hana mamlaka ya kuingilia katika kazi yake".
Aidha kwa upande wa maslahi ya Umma, Prof. Juma amesema Mkurugenzi wa Mashtaka lazima asikilize wanacholalamika wananchi na maeneo yenye tatizo.
Mkuu hapa naona umejichanganya. Umesema sahihi kwamba tunahitaji kuwa na taasisi imara. Lakini umesahau kuwa ukiwa na Katiba isiyoruhusu kuwa na Taasisi huru, Taasisi haziwezi kuwa imara. Kama kila kiongozi wa Taasisi anachaguliwa na #1 na kufutwa kazi mara moja na huyo huyo #1 anapojisikia, sahau maana huwezi jenga taasisi imara kwenye matope na kinyesi!Hata ikiwepo Katiba nzuri namna gani anaweza kuja mtu akaivunja anavyotaka. Na kama watendaji wakuu wataogopa kutofautiana nae itakuwa kama toilet paper. Tunahitaji kuwa na taasisi imara ambazo ziko tayari kusimamia haki.
Marekani wasimamizi wa uchaguzi waliokuwa Republicans walikataa kabisa kupindisha matokeo kwa ajili yake. Na majaji ( ambao wengine ni Republicans) walisimamia haki na kutosa madai ya Trump. Juzi tuu Liz Cheney kavuliwa uongozi kwenye chama chake kwa kukataa kumwabudu Trump. Yote haya ni kwa sababu wana institutions imara na viongozi wanaotambua kuwa waliapa kuilinda katiba na sio mtu.
Amandla...
Mataga a.k.a sukuma gang.Tumeanza kuwa nchi ya kutetea MAJIZI na WAHALIFU.
Kwamba kwa sasa katika nchi yetu, DPP ndiye mwenye makosa na sio MAJIZI na MAUZA NGADA.
DPP anapoyashughulikia MAJIZI na MAUZA NGADA, anaambiwa "anabambikiza".
What is "kubambikiza" in a real contextual and legal meaning?