Jaji Mkuu wa Kenya Willy Mutunga atishiwa maisha na Mungiki

Jaji Mkuu wa Kenya Willy Mutunga atishiwa maisha na Mungiki

Hata huku si shwari, kwa hiyo wasihangaike kuja kujificha huku.
 
Leo JK anampa Kibaki heshima na kuibatiza barabara ya Bagamoyo kwa jina lake?Kuna uwezekano huyu akawa kama Ibrahim Babangida wa Nigeria na uchaguzi wa 1993
 
Raila na Mwai kibaki waliepukaje kuhusisha na vurugu za 2007? Je, si kwamba ni hao hao wanaochochea vurugu?!
 
Wakenya acheni kulumbana mitandaoni, zimebakia wiki mbili na nusu mfanye uchaguzi, huu ni wakati wa kampeni za mwisho mwisho mtasikia mengi sana wakati huu. Kinachotakiwa ni kuhakikisha kuwa kura zenu hazipotei, iwapo zitahesabiwa na mkaonekana mmeshinda, naamini dunia haitakaa kimya tena kuachia Mungiki achukue nchi kwa nguvu.
 
this is very cheap publicity and attention seeking from the CJ.
Nairoberry,

I was watching this thread from afar seeking not to comment but some things you say make me wonder.

Let me ask you thus....Is it true that CJ was blocked from flying out? (Yes!), is it true that he got a
threatening letter? (Yes he did!) did Gichangi call him and apologize for the small hick up? (Yes he did!)
So where is the cheap publicity?

Personally, I don't believe that Uhuru Kenyatta or anybody under his instructions wrote this letter but
the fact of the matter is that...there is a letter to deal with. There is a serious current need to institute
police reforms in Kenya as is reflected by this matter which I can tell you will go unsolved.
 
mekatilili all respects to you, no need to result to uncouth and insultive language. I can see you have even teamed up with geza ulole a known hater of jamhuri ya kenya. I do have a very simple question for you, do you think its uhuru or pro uhuru mungiki as you put it who wrote that dump letter to the cj? Am sure you are not so naive as you label others to know the truth. Remember even though you are blinded by your robotic fanatic love for raila uhuru gema and kalenjin votes are able to land a knockout punch to cord remember kikuyu votes alone are more than luo and kamba votes combined.mekatilili if you are a mkamba as your name suggest then you are headed for another round of eating a hot dog if you remember what happende in ukambani in the past

I must admit I did resort to flowery language for which I apologize. I feel ashamed for you; the comeback: fanaticism dogs et all. Mine is what in my profession we call an a fortiori argument. From our interactions, I hope you will realize that I will stand by what I think is right and my decision is not driven my prevailing sentiments. In this instance, those that we had labeled serial "haters" are standing for what is right. Rightfully so, this little accident that resulted in Geezer, Ab Tichaz and I underlining the same facts to an audience blinded by tribalism is one for the records.

Salute to Livefire for his unwavering support for what is right and just and not that which is convenient.

Examine what Mr. Karanja has contributed to this forum so far. His vision of Kenya is very different, in his twisted mind there exists GEMA and others. His more sophisticated twin is courteous enough to mask the fact that he is an Uhuru Kenyatta apologist for the obvious reason.

Have I not laid out my argument in a coherent manner? I ask because your response implies that you have either not understood me or I failed in outlining my opinion concisely. I will be happy to delve into that, but again, there are those that are impervious to reason and this reminds me of a swahili saying about goats and guitars.

Lastly, the assumption that you can tell my tribe simply by looking at who I support is insulting. I will repeat, thanks to the provisions in the new constitution I am now a Kenyan citizen! However, I was not born in Kenya, but I lived in Kenya and was educated there up to primary level before I left to attend high school and university in my country of birth. If I was to settle for a candidate that is from my tribe, the bearded comedian would be my candidate.

My support for Raila Odinga is unwavering and yes I am CORDED. I support Raila Odinga because when he was languishing in the Nyayo Torture Chambers, Uhuru Kenyatta was eating cake in the Kenyattas' mansions.

Raila Odinga has been in the forefront in the struggle for multiparty politics, the new constitution and our second liberation. He has paid the price for standing up to the Mois, Kenyattas and Kibakis of this world and is the only true statesman and national politician in the race. He is my candidate of choice, a figure that is respected on the continent and is the symbol of the struggle for freedom from the neocolonial class.

Kenya is still a colony as long as the Kenyattas, Kibakis and Mois are at the helm. The three families own millions acres of land and billions of shillings that they have fleeced from our country from independence and the naivety tag is applicable if you truly believe that they are out to reform the system. Do not be their foot soldiers!


 
Nairobi, kenya
February 20, 2013

Chief Justice Willy Mutunga fears for his life

Chief Justice Willy Mutunga has said attempts to threaten and intimidate the Judiciary will fail and that he is ready to sacrifice his life in defence of the Constitution. Dr Mutunga said he had received a "poison-pen letter" from the Mungiki Veterans Groups/Kenya Sovereignty Defence Squad making all manner of threats against judges, ambassadors and himself.

The letter warns against an adversarial ruling on the presidential and deputy presidential candidacy of Uhuru Kenyatta and William Ruto. Dr Mutunga said Head of Public Service Francis Kimemia's attempt to block him from traveling outside the country was politically motivated and an emerging trend of intimidating judges as the country heads to elections is worrying.

The CJ said he was stopped by an immigration officer from traveling to Tanzania who insisted that he could not travel unless he is cleared, by Kimemia. Listen more from the horse's mouth:



source: ntv.co.ke youtube



1.1.jpg
Jaji Mkuu wa Kenya, Mhe. Willy Mutunga (katikati) akibadishana mawazo na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba (kulia) na Mjumbe wa Tume, Dkt. Sengondo Mvungi nje ya ukumbi wa Tume Jijini Dar es Salaam mara baada ya kumalizika kwa mkutano kati yake na Wajumbe wa Tume leo Ijumaa (Feb. 15, 2013). Mhe. Mutunga alikutana na Wajumbe ili kubadilishana mawazo na uzoefu katika uandishi wa Katiba Mpya
Source: MORO TOWN RECORDS: JAJI MKUU WA KENYA, MHE. MUTUNGA AKUTANA NA WAJUMBE TUME YA KATIBA
 
Last edited by a moderator:
kwani akija tanzania kuna nini?nachojua mimi tanzania kuna ccm ambao ni mabingwa wa kuchakachua kura!!
 
i was beginning to understand you till in your family list you intentionalluy left out odinga and molasses plant. We know who is responsible for the poverty in nyanza. Again you betray your country by denying your origin so sad,eti you attended primary and thats why you love it i feel like throwing up on your cheap lies just as geza as become stateless you to do not have a country of origin. Like i mentioned earlier i hail from western kenya my dad side but to be more detailed i have lived all my life in dodoma here in tanzania except my studies,my mother is half mrangi and mpare so i am also very tanzanian but my heart is kenyan i went to boarding school there high school and plan to support kenya become great at the same time churning out my support for tanzania
 
kaka ab tichaz long time no see,nimekuwa porini kwa muda, sasa lakini nimerudi,nakubaliana nawe kwa yale umeyasema ila tu kuna jambo moja naona hujatilia maanan sijui ni kwa makusudi ama umesahau lakini kwa kuwa wewe ni shabiki sugu ama wa kupindukia wa bw. Raila nadhani umekusudia kusahahu. Ndio cj ametishwa na haya mengine, swali tujiulize ni kwa nini anatoa haya maneno yote sasa mbona hakusema wakati au kipindi tu yalitokea? La pili sababu ya kusoma ile barua hadharani bila hata kumjulisha mkuu wa polisi? Je hana imani na kitengo cha polisi au alikuwa na nia nyingine? Mzee ab tichaz ni wazi kuwa huu uchaguzi ni mgumu sana na upande wa cord ukisaidiwa na mashirika na nchi za dola zimehofishwa na utafiti uliofanya na cia uliosema muungano wa jubilee na uhuru unaweza kushinda uchaguzi huu kwa raundi moja tu
 
  • Hiki ndicho nilichosema jana katika Note yangu social networks:
  • ’Napinga Rais Jakaya Mrisho Kikwete kumualika Rais Mwai Emilio Kibaki wa Kenya na kumpa heshima ya Brabara ya Bagamoyo kuitwa kwa jina lake(Old Bagamoyo Rd itaitwa Mwai Kibaki Road) ni fedheha kwa Taifa,ni fedheha kwa wapenda Demokrasia na ni fedheha kweli kweli kwa jamii iliyostaraabika na inayoonea huruma wahanga(victims) wa machafuko ya uchaguzi mkuu wa Kenya wa mwaka 2007 ambao Kibaki alituhumiwa kutumia vyombo vya Dola kuiba Kura na hivyo kupelekea machafuko na watu wengi kupoteza Maisha.

  • Rais Jakaya kikwete alijipambanua kama mmojawapo wa waliosuluhisha mgogoro ule nchini Kenya na sote tunashuhudia kilichofuata Baadae kwamba alitunukiwa Tunzo ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa kutoka Chuo ha Jommo Kenyatta.Tabia hii ya kulindana(culture of Impunity) ndiyo inayofifisha mchakato wa kidemokrasia (undermining democratic process) hapa Afrika.
· Also, it’s wrong politically and technically .Kipindi hiki zimebaki wiki 2 kabla ya uchaguzi mkuu Kenya na tayari Raila Odinga ameshalalamika kwamba Rais Mwai Kibaki anatumia vyombo vya Dola vikiwemo usalama wa Taifa kumhujumu.Uchaguzi wa Kenya bado umegubikwa na ubaguzi wa ukabila.Tanzania tumeanza ku-experience ubaguzi wa kidini.Si jambo zuri kumtunukia heshima kiongozi ambaye alionyesha tabia za uroho wa madaraka na kuchochea siasa za kikabila au ubaguzi wa aina yoyote.Pamoja na kwamba anatoka Madarakani ,Rais alitakiwa achukue tahadhari na akumbuke yaliyotokea Kule Nigeria June 12,1993 ambako matokeo ya uchaguzi uliokua wa kidemokrasia zaidi katika Historia ya Nigeria ambao Chief Moshood Kasimawo Abiola alishinda lakini Rais aliyekua Madarakani Mtawala wa kijeshi Jenerali Ibrahim Babangida ingawa hakua mgombea ila kwa hofu ya kimaslahi tu aliharamisha matokeo ya uchaguzi na kumkamata Chifu Mashood Abiola kama Rais Mteule na kumuweka Ndani hadi miaka 5 ilipopita bila kuapishwa.Hii ndiyo sura halisi ya madikteta na wabaguzi.Hizi ndizo elements alizoonyesha Mwai Kibaki katika mashambulizi dhidi ya demokrasia. The verbal dribbler and seasoned lier.

He is just another African desport, from the sit-tight school of dictator’s klepto and megalomaniacs.
These old spent fuels think their nations cannot do better without them, hence they device all kinds of guises and rigging to stay in office for ever. It will be a long time before we get another Julius Nyerere or Nelson Mandela in Africa!

Hi ni kejeli kwa waliopewa heshima hiyo kama akina Nelson Mandela,Kwame Nkrumah,Samora Machel,Mwl.J.K Nyerere,Shekilango,Bibi Titi n.k
Suala la kinana kuteuliwa na EAC kusimamia uchaguzi nchini Kenya nalo ni kituko cha jumuiya hii kwani huyo alituhumiwa kupanga wizi wa kura uchaguzi mkuu Tanzania mwaka 2010.Ni adui wa demokrasia na hawezi kuwa custodian wa demokrasia.Alituhumiwa kushambulia demokrasia(assault on Democracy).Africa we still have a long way to go……
C

· C:Rashid Mohamed(Mwenyekiti wa vijana ODM),Mwai Kigenyi Mwai,Ababu Namwamba,Caesar Aja,Faulina Waithîra Waithîra,Mwalimu Simon Gichuki,Paul Gitau,LMunishi Faustin DailyNews,Al Mo,Kimtai Isaiah,Bernard Kipkoech Langat’’
·Top of Form
·Bottom of Form
 
First ur nt a Kenyan n so u believe all allegations made abt gema bt the truth almst every tribe z tribal dont jst think its only gema y do Luos support Raila n Luhyas Mudaba ama tribalism comes wen a gema support a fellow gema nkt....wat Raila z wantin z sympathy votes wich hawezi pata cz he knw the reality that elections ziliisha 18th dec wen wengine walikuwa wanasema vitendawili wen others mobilised their pipo wachukue kura...

Am no luo n not gema either but get this with clarity, mudavadi will reap nothing from western....that shows how non tribal the luhya dialect is. Its about choosing the better option...same applies to kisiis...
Its a CORD win with the coast ropped in. The fact that UK is skipping the presidential debate is a golden opportunity for Raila to show the presidency he has to offer this nation. A listening but assertivs leadership. BE GOOD AT THIS MR PRIME MINISTER, YOU WILL WIN MORE VOTES HERE.
Back to topic...how is the accused, charge being that of complacency, chair a security meeting while being time barred? Talking about the CJ matter. Wat impact will this make#Zilch. Accord the CJ adequate security.
 
Why does Sonko get plenty of grief for his flamboyance (attire, jewelry, antics, etc.) but not the chief justice?

One time Sonko got kicked out of parliament for having a stud in his ear but this Kenyan chief justice wears one too but nobody gives him any grief about it.

Is it because of the difference in the branches of government that each branch gets to set its own rules?

Huyu bana CJ is a free-mason, that is why he says the stud is a religious symbol. ikitolewa hayupo!
 
Hii 'barua' kila mtu anaweza kuiandika.....
It is obviously not written in favour of Uhuru!
 
Tanzania taking centre stage Kenya election? Juzi tu CJ Willy alitinga nchini- against Kimemia's express wish. . Hardly two days later Kibaki makes an official visit to Tanzania. Remember the leading contenders for presidential sit uhuru and Raila have visited country recently. Questition- Kwani iko nini?
 
It looks like cheap politics but it needs to be looked into it very carefully!
 
The question remains, why has the immigration official been suspended yet Kimemia is still in office? He was working under the express orders of Kimemia? Wapi hao walisema otherwise?
 
Back
Top Bottom