milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Ila asikuambie mtu!
Kuiba kura ni laana!
Kifo ni kifo tu!
Kuiba kura ni laana!
Kifo ni kifo tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na dhuluma dhidi ya haki za watu wengine.Kifo ni fundisho kubwa sana kwa sisi tulio baki hai. tutende mambo mema, tuache chuki, futina na majungu.
KabisaIndia siku hizinukienda ,ACHA na osia nyuma Yako kabla hujaondoka
Ohoo ndo maana sasa maana alikuulizia sana😄 na dada yangu kipenzi
Ova
Alikuwa ameolew... wapi?Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs C. Mwambegele, kwa masikitiko makubwa ametangaza kifo cha Mjumbe wa Tume hiyo, Mhe. Jaji Rufani Mwanaisha A. Kwariko, kilichotokea tarehe 27 Desemba, 2024, nchini India ambako alikuwa akipatiwa matibabu.
Kwa mujibu wa taarifa rasmi kutoka Tume, mwili wa marehemu unatarajiwa kuwasili nchini kwa maandalizi ya mazishi, ambayo yamepangwa kufanyika kijijini kwao Bicha, wilayani Kondoa, mkoani Dodoma, tarehe 30 Desemba, 2024.View attachment 3186811
Huyo afande sasa kibarua kinaelekea wapiRIP Judge, pole kwa mpambe wako afande XYZ WA FFU ambaye tumecheza nae utotoni.
Baada ya mazishi ataripoti makao kupangiwa majukumu mengine.Huyo afande sasa kibarua kinaelekea wapi
Ndio kibarua cha kulinda milango ya Bank ,kimeanza!Baada ya mazishi ataripoti makao kupangiwa majukumu mengine.
Never happen! Huyo ni VIP protector! Ataibukia hata mke WA jk au Magu kama msaidizi au DCP au CP WA kikeNdio kibarua cha kulinda milango ya Bank ,kimeanza!