Jaji Rwegasira: Nimeagizwa na ngazi ya juu kuulinda mkataba wa LUGUMI



Maagizo kutoka juu!!!

Hivi huko "juu" huwa ni wapi?!
Ww kama sio 71% basi utakuwa Kuna mtu yuko nyuma yako..
Na sijajua lengo la maada zako za chuki na uzushi lengo ni kutaka tumwamin Lowassa na kumuona ni sahihi au lengo la hizi maada zako ni lipi hasa?
 
Hivi nyie UKAWA mna nini lakini? mbona mmelishikia bango sana hili suala? Fisadi mko nae CHADEMA na mmemuuzia chama mngaenza na hili kwanza
Fisadi yupi ? Umekariri Akili za Nape ? Richmond ni ya Kikwete , Escrow ni yenu, kivuko feki ni chako , mabehewa mabovu umekula pesa na Sasa umekula Rushwa pesa kitwanga na Lugumi !
 
jibu swali lowasa hajatuibia Watanzania?
 
Ww kama sio 71% basi utakuwa Kuna mtu yuko nyuma yako..
Na sijajua lengo la maada zako za chuki na uzushi lengo ni kutaka tumwamin Lowassa na kumuona ni sahihi au lengo la hizi maada zako ni lipi hasa?
Lowassa anaingiaje hapa?
 
Maagizo toka juu ya wapi mbinguni au? Si aseme wazi tu nani kampa maagizo, afumba nn?
 
Hivi nyie UKAWA mna nini lakini? mbona mmelishikia bango sana hili suala? Fisadi mko nae CHADEMA na mmemuuzia chama mngaenza na hili kwanza
Bwege ni tusi vile??!? Ngoja nisikie kutoka mahakamani
 
hivi hujui Lowasa anatumia pesa zake za ufisadi kuiyumbisha serikali?
Lowasa kaingiaje hapo ? Kwanza Lowasa hana Ugonvi na kitwanga na Lugumi Yaani Lowasa hana mda na kuhangaika na watu hao , kamati ya Bunge na Dhambi ya kuiba pesa za umma ndivyo vimewaumbua , acha kumsingizia Lowasa uongo.
 
Lumumba book 7 Lugumi kaamkaje ajambo eti book 7 huyu jamaa hana mchango wowote ule kwenye chama?
 
Kwani huyu bigonzo ni mke wa Lugumi au ni binti yake, kwa maana amekuwa mkali kila aonapo mada yoyote ile inayomhusu huyu fisadi (Lugumo). Ni yeye ndo alileta ile taarifa iliyotolewa na Bunge jana ikidai kwamba "Hakuna ufisadi wowote kwenye mkataba kati ya Lugumi na Polisi".......huu mkataba umetuumiza watanzania na kamwe hatutaacha kuisema serikali. Wewe bigonzo kama ulinufaika, sisi hatujanufaika badala yake tumeathirika kiuchumi kutokana na mkataba huu wa kifisadi kati ya mumeo na jeshi la Polisi.
 
Hivi nyie UKAWA mna nini lakini? mbona mmelishikia bango sana hili suala? Fisadi mko nae CHADEMA na mmemuuzia chama mngaenza na hili kwanza
Acha kujitia upofu ndugu ina maaana huo ufisadi hamuuoni auu
 
kuna baadhi ya majipu magu hataweza kuyatumbua siku akiyatumbua ndo mwisho wa yeye ama ccm....
 
Mnabaki kuimba Lowasa Lowasa,Leteni uzi wake hapa na takwimu km, hoja Dowans muulize mzee wa viwanja.Hata mkijaribu kuiuwa haitasaidia.Msipoteze lengo rais kupiga vita ufisadi.Tunajuwa kuwa mtu ukiwa ndani ya CCM,hata ukiiba wewe ni mtakatifu sasa iishe mwizi hana chama.
 
Jamani shirikisheni ubongo wenu. Huyu amekuwa Waziri kuanzia mwaka huu January kama sikosei. Hii issue ni ya 2001 akiwa Naibu Waziri tena Si wizara hiyo. Inahusiana nini na yeye kusema maagizo yalitoka juu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…