This is exactly a typical ccm fanatics response. No logic no substance.Mwambieni aendelee kulea wajukuu wakati wake ulishapita.
Hivi unasema kweli kutoka moyoni mwako?Mwambieni aendelee kulea wajukuu wakati wake ulishapita.
We kukaimu hiyo nafasi miezi nane kabla hajathibitishwa, ulitegemea nini?Afadhali anao ujasiri wa kusema. Yule Juma ni bure kabisa, amegeuza mahakama kuwa jukwaa la magufuli kuwakandamiza wananchi.
Acha upuuzi wewe.mbona kila siku mnasimama majukwaani na kumnukuu nyerere? Huyo nyerere yupo hai?? Angetaja standard gauge hapo ungekata mauno kwa kushangilia...Mwambieni aendelee kulea wajukuu wakati wake ulishapita.
Kwahio wakati ukipita na macho yanaacha kuona.....Mwambieni aendelee kulea wajukuu wakati wake ulishapita.
[emoji23][emoji23][emoji23],kwamba wanateuliwa kisa kuna ufungufu wa majaji,ni kama walimu wa voda fasta vileHao ndio walikuwa majaji sio majaji wa siku hizi wanateuliwa kisa kuna upungufu wa majaji, walikuwa wakiamua kesi hata ukate rufaa majibu ni yaleyale hayabadiriki majaji wetu wa sasa wana mengi ya kujifunza
Kweli maana naye aliishi kwenye mfumo huu tu hana jipyaMwambieni aendelee kulea wajukuu wakati wake ulishapita.
I can't respond to a fool!This is exactly a typical ccm fanatics response. No logic no substance.
And what is this?I can't respond to a fool!