Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Yeye na Mangula nani umri umeenda?Umri umesonga
Tena waambie kabisa kuwa alikaa karibu na David Cleopa Msuya ndani ya ukumbi wa Jakaya Kikwete siku ya kumchagua mgombea urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ndugu mheshimiwa sana John Joseph Pombe Magufuli.Alikuwepo dodoma lakini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwanzo wa makonda kuukwaa UDC kisha RCAmeshakuwa garasa
Sure ni mtu muhimu sana huyu mzeeSi CCM wala serikali wamewahi kumuzungumzia, yaani amesahaulika kabisa. Vijana wengi hawamfahamu kama aliwahi kuwa Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais enzi za Rais Ali Hassan Mwinyi.
Sikufaniikiwa kumuona mkuu, kama alikuwepo alipewa kuzungumza kama wenzake akina Lowasa?Mbona juzi alikuwepo ukumbini Dodoma!
Punguzeni chang'aa mnauwa macho!
Nakubali ni kweliYule anamtazamo tofauti,waalikaji awataki kabisa kusikia katiba ya wananchi itawalaza njaa na kutenganisha propaganda na uhalisia
Alipewa kuongea kama wenzake kama alikuwepo?Alikuwepo dodoma lakini