Daghaseta
JF-Expert Member
- Aug 15, 2015
- 396
- 535
Warioba mkubwa kwa Mangula.Yeye na Mangula nani umri umeenda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Warioba mkubwa kwa Mangula.Yeye na Mangula nani umri umeenda?
Aliewaita nyumbu hakukoseaUtaanzisha na wewe thread yako ya Msuya
Weka birth certificate zaoWarioba mkubwa kwa Mangula.
Alishasema ukiona watu wana lazimisha kiongozi aliyepo madarakani aongezewe muda ujue yeye ndiyo anawatumaHuyu mzee ni mzalendo sana hivyo hana mda na vitu vya porojo hata hivyo unahudhuria tu lakini SIDHANI kama anapenda tunakoelekea kama nchi
Mmmmmmmh yaaani hata sio vizuri alichofanyiwa huyu mzee hapa. [emoji24][emoji24][emoji24]Ameshakuwa garasa
Kila akikunbuka alivyobutuliwa makofi halafu aliyefanya hivyo akazawadiwa u-DC anaumia sana.Kwanini sherehe nyingi za kitaifa Jaji Warioba huwa haonekani? Je, huwa haalikwi, hapendi kuhudhuria au ameamua kuishi kama raia wa kawaida?
Wastaafu wenzake akina Lowassa, Sumaye, Pinda na wengine huwa hawakosekani kwenye sherehe za kitaifa/kichama.
KabisaKila akikunbuka alivyobutuliwa makofi halafu aliyefanya hivyo akazawadiwa u-DC anaumia sana.