Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 2,733
- 3,561
Umekurupuka mkuu
Dodoma alikuwepo
Labda humuona wewe tu
Dodoma alikuwepo
Labda humuona wewe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu akina Lowasa kila sherehe wapo, mbona yeye huwa hazungumziJuzi alikuwepo Dodoma! Sema hakuvaa mashati yake yale! Alikula kijani
Alizungumza kama wanavyofanya wenzake?Umekurupuka mkuu
Dodoma alikuwepo
Labda humuona wewe tu
Kwani mkapa,kikwete'cleopa msuya n,k waliongea?Alipewa kuongea kama wenzake kama alikuwepo?
Mtoa mada kasema shughuli za kitaifa, hivi mkutano wa ccm nao ni shughuli ya kitaifa?Tena waambie kabisa kuwa alikaa karibu na David Cleopa Msuya ndani ya ukumbi wa Jakaya Kikwete siku ya kumchagua mgombea urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ndugu mheshimiwa sana John Joseph Pombe Magufuli.
Wote hao waliongea isipokuwa MsuyaKwani mkapa,kikwete'cleopa msuya n,k waliongea?
Hizi ndo ajenda zenu wapinzani
Ukileta hoja matapishi kama hivi mtaambulia kitu October kweli?
Na aliyempa kichapo akazawadiwa ukuu wa wilaya na baadae ukuu wa mkoa.Alichezea kichapo
Kwahiyo alipoandika shughuli za kitaifa/kichama hukupaona?Mtoa mada kasema shughuli za kitaifa, hivi mkutano wa ccm nao ni shughuli ya kitaifa?
Msuya aliongea?Alipewa kuongea kama wenzake kama alikuwepo?
Wanafuata nyayo za mwenyekiti! Hawawezi kuona hao pingapinga Fc.Mbona juzi alikuwepo ukumbini Dodoma!
Punguzeni chang'aa mnauwa macho!
duh..!!Mbona juzi alikuwepo ukumbini Dodoma!
Punguzeni chang'aa mnauwa macho!
Ile haikuwa sherehe.Alikuwepo dodoma lakini
Watu hutofaitiana. bi Kidude alikuwa anaimba akiwa na miaka 115. Mwingine miaka 60 kainamaYeye na Mangula nani umri umeenda?
Utaanzisha na wewe thread yako ya MsuyaMsuya aliongea?
Mbona juzi alikuwepo ukumbini Dodoma!
Punguzeni chang'aa mnauwa macho!
Ile haikuwa sherehe.
Pombe ya kienyeji inanyweka sana Rombo na kule nchi jirani ya Kenya!bwashee chang'aa ni nini