Jaji Warioba, ingekuwa vyema ukaiacha Serikali ifanye kazi, wewe ni miongoni mwa watu wa heshima kwenye taifa hili

Jaji Warioba, ingekuwa vyema ukaiacha Serikali ifanye kazi, wewe ni miongoni mwa watu wa heshima kwenye taifa hili

Haka kazee sijui kana matatizo gani,wazee wenzake wako kimya wanaendelea kutoa ushauri kwa staha na kulea wajukuu.

Kenyewe kutwa kuhangaika na Rais kwa vihoja vya kijinga na chuki binafsi,ndio maana Makonda aliwahi kukazaba vibao..

Hivi nyie mnakaelewa hasa hako kababu kanalalamikia nini hasa? Au kwa vile Samia ni muungwana? Samia angekuwa katili kama Dhalimu so angefuta Hata bajeti ya kigoda na kukaondoa kweli uenyekiti wa bodi Ili kaisome namba.

Tunashukuru mtoa mada Kwa kukaumbua.Huwa nasema mara nyingi hapa ikitokea viongozi wakiwa Waislam hususani Rais ,Wakristo ushenzi kama hako kababu kenu huwa wanaleta chokochoko Sana na kuwa provoke Waislam..

Nilisema na nasema tena Magufuli alikuwa mdini Sana,endapo alivyokuwa anafanya yakifanywa na Rais Muislam ingekuwa shida tupu.Tuacheni mambo ya kipumbavu tu deal na mambo ya msingi.

Muacheni Rais afanye kazi kwanza ameangushiwa zigo la madeni na Uchumi mfu .
Hoja za Mzee Warioba zjibiwe kwa hoja full stop
 
Teuzi hazifanywi kwa kuzingatia dini au kabila na sidhani hiyo ilikuwa nia ya mamlaka ya uteuzi. Yawezakana kabisa ikawa coincidence wala siyo intention na hasa kwenye dini. Kwa kabila lets say ni wengi kwa sababu ndiyo kabila lenye watu wengi?!
Ninawaza tu

Coincidence??

If they are christians we call it goddamed coincidence,but if they are Muslims ni udini siyo??

Na mnataka sisi tuwakalie kimya siyo,hii ni nji yetu sote,kanisa halina hati miliki,Nooo
 
Haka kazee sijui kana matatizo gani,wazee wenzake wako kimya wanaendelea kutoa ushauri kwa staha na kulea wajukuu.

Kenyewe kutwa kuhangaika na Rais kwa vihoja vya kijinga na chuki binafsi,ndio maana Makonda aliwahi kukazaba vibao..

Hivi nyie mnakaelewa hasa hako kababu kanalalamikia nini hasa? Au kwa vile Samia ni muungwana? Samia angekuwa katili kama Dhalimu so angefuta Hata bajeti ya kigoda na kukaondoa kweli uenyekiti wa bodi Ili kaisome namba.

Tunashukuru mtoa mada Kwa kukaumbua.Huwa nasema mara nyingi hapa ikitokea viongozi wakiwa Waislam hususani Rais ,Wakristo ushenzi kama hako kababu kenu huwa wanaleta chokochoko Sana na kuwa provoke Waislam..

Nilisema na nasema tena Magufuli alikuwa mdini Sana,endapo alivyokuwa anafanya yakifanywa na Rais Muislam ingekuwa shida tupu.Tuacheni mambo ya kipumbavu tu deal na mambo ya msingi.

Muacheni Rais afanye kazi kwanza ameangushiwa zigo la madeni na Uchumi mfu .

Mkuu,waimba kwaya dawa yao ni kuexpose madudu yao kama hivi,hawa siku zote wanadhan kuwa sisi ni watu tusiojielewa
 
Wewe ndio unafahamu uwezo wa mtu? Pumbavu zako.. Unaweza kuwa na uwezo ila huendani na falsafa na itikadi yangu,nakupigia chini..

Rais fukuza wapumbavu wa aina hii wako wengi Sana wanakukwamisha.
'Rubbish reaction and imbecile mentality'.

Wewe mpiga debe wa utawala wa sasa UDINI, UKABILA, UKANDA, UCHAMA, UWEZO wa KIUCHUMI utawaangamiza na wananchi hawawataki kuwepo hapo mlipo wamewachoka.
 
Silipendagi hilo neno la kusema muache rais au iache serikali.

Haya maneno ndiyo yaliyofuga uovu ule ulioumiza wengi.
 
Tanzania maendeleo ya kweli mtakuwa mnayasimulia tu kwenye makaratasi sababu kuu ni UDINI unaongelewa sn anapo tokea RAIS MUISLAM ndio hii inazungumzwa sn.

Kwani ukiangalia uwiano WAKRISTO ndio wapo wengi kwenye serikali kuliko WAISLAM lkn binaadam hawezi ridhika hata kidogo tatizo kubwa ni mazoea toka nyuma ..........But they have to remember ROMAN CATHOLIC (RC) is loosing influence right now in the world they have to go with time.

Fasabih bihamdi Rabbihka Wastaghfiruh...

Pole pole yanatimia Mkuu
 
Friends and Our Enemies...

Hivi karibun baada ya Mh RAIS Samia Hassan alipofanya mabadiliko madogo katika Baraza lake la mawazir alisikika akikemea tabia ya baadhi yetu kusimama na kulalama kuwa waliondolewa kwa kuwa wao hawakuwa kabila Fulani,kama kwamba wao wameondolewa kwa Kosa la kuwa ni WA asili ya kabila zao,

Na akazid kusema kwamba yeye hachagui wasaidizi wake kwa kuangalia unatokea kabila gan,na ukiharibu hawez kuacha kukuondoa eti kisa wewe unatokea kabila Fulani,Kigezo Cha kupewa nafas Ni Utanzania wako na elimu yako ikibid na weledi wako katika kazi,

Na siyo kuwa unatoka kabila gan au unatokea dini gan,

Late president Magufuli alifanya teuzi zake kwa utashi wake na kwa kuangalia ni watu gan walifaa kufanya kazi na yeye,hakuna hata siku MOJA tumesikia akipigiwa kelele kuwa alikua anateua kwa ukabila Wala udini japo yalikuwa yanaonekana waz waz yaliyokawa ya afanyika,

Sasa kwako Jaji Warioba tunakukumbusha na tungependa kujua kipindi hiki ulikuwa wapi?

Bodi ya Tanesco aliyoteuwa Dkt. Kalemani

Wakristo watupuuuu


Wajumbe ;

Balozi Dk James Nzagi
John Kihamba
Dk Lugano Wilson
John Kulwa
Denis Munumbu
Dk Gemma Modu
Mathew Kirama
Gilay Shamika

Mwenyekiti Bodi;

Dkt. Alexander Kyaruzi

Mkurugenzi Mkuu

Tito Mwinuka


REA

Bodi ya REA ya Dkt Kalemani

Wakristo Watupu


Members:

1. Dr. Gideon H. Kaunda - Board Chairman
2. Eng. Amos Maganga - Board Secretary
3. Eng. Innocent Luoga - Board Member
4. Ms.Happiness Mhina - Board Member
5. Mr. Theobald Sabi - Board Member
6. Ms. Amina H. Chinja - Board Member
7. Ms.Scolastica H. Jullu - Board Member
8. Mr. Michael P.Nyagoga - Board Member
9. Ms. Stella Cosmas Mandago - Board Member

Jaji Warioba hukuyaona haya?

Labda pia tumkumbushe..udini huu huu ambao ulikuwa na maelekezo ya Polycarp Pengo ulianzia hapa;

*Wateule wa Magufuli: priority Wakristo, Wasukuma Kanda ya Ziwa *

1. TRC Mashanja Kadogosa Mkristo Msukuma

2. TIB Charles Singili *Mkristo Msukuma *

3. ATC Ladislaus Matindi *Mkristo Msukuma *

4. TIC Dr Maduhu Kazi Mkristo Msukuma

5. DG TCRA James Kilaba Mkristo Msukuma

6. Benki ya Kilimo Japhet Justine Mkristo Msukuma

7. PSSSP Hosea Kashimba Mkristo Msukuma

8. TPA Deusdedit Kakoko Mkristo Kanda ya Ziwa

9. TANESCO Dr Tito Mwinuka *Mkristo Kanda ya Ziwa *

10. Chairman TANESCO Prof Alexander Kyaruzi Mkristo Kanda ya Ziwa

11. DG VETA Pancras Bujulu *Mkristo Msukuma *

12. DG REA Amos Maganga Mkristo Msukuma

13. DG SIDO Sylvester Mpanduji Mkristo Msukuma

14. DG Dawasa Cryspian Luhemeja Mkristo Msukuma

15. DG EWURA Godfrey Chibulinje *Mkristo *

16. DG LAPF Eliudi Sanga Mkristo

17. DG NSSF Prof Kyharara *Mkristo Kanda ya Ziwa *

18. DG NSSF William Erio *Mkristo *

19. DG NIC Elirehema Dorie *Mkristo *

20. DG TIRA Mussa Juma *huyu ni Mkristo Msukuma msibabaishwe na jina ; Mkristo huyu *

21. DG NHIF Bernard Konga Mkristo

22. DG Tanzania Airport Authority Julius Ndyamukama *Mkristo Kanda ya Ziwa *

23. DG WCF Masha Mshomba Mkristo

24. DG TASAC (Shipping Agency ) Emmanuel Ndomba *Mkristo *

25. DG RITA Ag. DG Emmy Hudson Mkristo

26. DG TANROADS marehemu Patrick Mfugale *Mkristo *

27. Executive Secretary TCU (Commission of University) Charles Kihampa *Mkristo *

28. DG NIDA Anorld Kihaule *Mkristo *

29. DG NDC marehemu Damian Gabagambi *Mkristo *

30. DG TTB (Utalii) Devota Mdachi Mkristo

31. Gavana Benki Florence Lwoga *Mkristo *

32. CG TRA Edwin Mhede *Mkristo *

33. CAG Charles Kichere *Mkristo *

34. SUMATRA Gilliard Ngewe *Mkristo *

35. DG TBC Ayoub Ryoba Mkristo Kanda ya Ziwa
———————————-

The only Muslims walioteuliwa wakati wa Magufuli as DG wa Mashirika ni 4 tu

1. Dr Maulidi Banyani NHC

2. Dr Athumani Ngenya TBS

3. Waziri Kindamba TTCL

4. Hamza Johari Tanzania Civil Aviation Authority

Hizo ni data ambazo ziko wazi na hazina kificho kila mtu akizitafuta anaweza kuzipata,wakati haya yanafanyika siyo kwamba watu hawayaoni,ila wanavumilia na kuweka fikra chanya kuwa hii ni nchi yetu sote,ila inashangaza Sana why always anapokuwa President ana affiliation na iman ya uislam na akachagua baadhi ya wasaidizi wake Tena competent ambao nao Wana affiliation na iman hiyo anyooshewe kidole,?why hatukuyaona hayo kwa President Magufuli ila tunayaona yakitokea kwa President Samia?tuache hizo double standards na unafiki,

Uongoz unatoka kwa Mungu,pend usipende ameshakuwa president,apewe nafasi afanye kazi kama vile walivyopewa wengine nafas katika kipind Chao wakafanya KAZI.

Hapo kwa waislam Muongeze Dr. Jabir alikuwa DG wa eGA kwasasa ni DG TCRA
 
Jaji Warioba hapa anapewa ushauri wa Ki Makond(e).

Niliposoma uzi huu nilidhani Jaji Warioba amemshutumu Rais Samia kwa kuteua kwa upendeleo na kama ni hivyo nilitegemea kuoneshwa hayo matamshi aliyatoa wapi? Kweli tumeoneshwa ushahidi jinsi Magufuli alivyolinajisi Taifa letu kwa kutaka kuligawa kwa kuteua Watu wa kutoka kwao usukumani na kanda ya ziwa, hilo halina ubishi mwendazake alikuwa mtu fedhuli na alikuwa na upendeleo!

Ningependa kuona ushahidi wa kauli ya Jaji Warioba kuhusu hili; kwani miaka yote yeye huzungumzia mambo ya Katiba mara nyingi! Ningeshukuru kama Ushahidi wa kauli anayoshutumiwa jaji Warioba kuitoa utanukuliwa hapa na kuwa hadharani.
 
Friends and Our Enemies...

Hivi karibun baada ya Mh RAIS Samia Hassan alipofanya mabadiliko madogo katika Baraza lake la mawazir alisikika akikemea tabia ya baadhi yetu kusimama na kulalama kuwa waliondolewa kwa kuwa wao hawakuwa kabila Fulani,kama kwamba wao wameondolewa kwa Kosa la kuwa ni WA asili ya kabila zao,

Na akazid kusema kwamba yeye hachagui wasaidizi wake kwa kuangalia unatokea kabila gan,na ukiharibu hawez kuacha kukuondoa eti kisa wewe unatokea kabila Fulani,Kigezo Cha kupewa nafas Ni Utanzania wako na elimu yako ikibid na weledi wako katika kazi,

Na siyo kuwa unatoka kabila gan au unatokea dini gan,

Late president Magufuli alifanya teuzi zake kwa utashi wake na kwa kuangalia ni watu gan walifaa kufanya kazi na yeye,hakuna hata siku MOJA tumesikia akipigiwa kelele kuwa alikua anateua kwa ukabila Wala udini japo yalikuwa yanaonekana waz waz yaliyokawa ya afanyika,

Sasa kwako Jaji Warioba tunakukumbusha na tungependa kujua kipindi hiki ulikuwa wapi?

Bodi ya Tanesco aliyoteuwa Dkt. Kalemani

Wakristo watupuuuu


Wajumbe ;

Balozi Dk James Nzagi
John Kihamba
Dk Lugano Wilson
John Kulwa
Denis Munumbu
Dk Gemma Modu
Mathew Kirama
Gilay Shamika

Mwenyekiti Bodi;

Dkt. Alexander Kyaruzi

Mkurugenzi Mkuu

Tito Mwinuka


REA

Bodi ya REA ya Dkt Kalemani

Wakristo Watupu


Members:

1. Dr. Gideon H. Kaunda - Board Chairman
2. Eng. Amos Maganga - Board Secretary
3. Eng. Innocent Luoga - Board Member
4. Ms.Happiness Mhina - Board Member
5. Mr. Theobald Sabi - Board Member
6. Ms. Amina H. Chinja - Board Member
7. Ms.Scolastica H. Jullu - Board Member
8. Mr. Michael P.Nyagoga - Board Member
9. Ms. Stella Cosmas Mandago - Board Member

Jaji Warioba hukuyaona haya?

Labda pia tumkumbushe..udini huu huu ambao ulikuwa na maelekezo ya Polycarp Pengo ulianzia hapa;

*Wateule wa Magufuli: priority Wakristo, Wasukuma Kanda ya Ziwa *

1. TRC Mashanja Kadogosa Mkristo Msukuma

2. TIB Charles Singili *Mkristo Msukuma *

3. ATC Ladislaus Matindi *Mkristo Msukuma *

4. TIC Dr Maduhu Kazi Mkristo Msukuma

5. DG TCRA James Kilaba Mkristo Msukuma

6. Benki ya Kilimo Japhet Justine Mkristo Msukuma

7. PSSSP Hosea Kashimba Mkristo Msukuma

8. TPA Deusdedit Kakoko Mkristo Kanda ya Ziwa

9. TANESCO Dr Tito Mwinuka *Mkristo Kanda ya Ziwa *

10. Chairman TANESCO Prof Alexander Kyaruzi Mkristo Kanda ya Ziwa

11. DG VETA Pancras Bujulu *Mkristo Msukuma *

12. DG REA Amos Maganga Mkristo Msukuma

13. DG SIDO Sylvester Mpanduji Mkristo Msukuma

14. DG Dawasa Cryspian Luhemeja Mkristo Msukuma

15. DG EWURA Godfrey Chibulinje *Mkristo *

16. DG LAPF Eliudi Sanga Mkristo

17. DG NSSF Prof Kyharara *Mkristo Kanda ya Ziwa *

18. DG NSSF William Erio *Mkristo *

19. DG NIC Elirehema Dorie *Mkristo *

20. DG TIRA Mussa Juma *huyu ni Mkristo Msukuma msibabaishwe na jina ; Mkristo huyu *

21. DG NHIF Bernard Konga Mkristo

22. DG Tanzania Airport Authority Julius Ndyamukama *Mkristo Kanda ya Ziwa *

23. DG WCF Masha Mshomba Mkristo

24. DG TASAC (Shipping Agency ) Emmanuel Ndomba *Mkristo *

25. DG RITA Ag. DG Emmy Hudson Mkristo

26. DG TANROADS marehemu Patrick Mfugale *Mkristo *

27. Executive Secretary TCU (Commission of University) Charles Kihampa *Mkristo *

28. DG NIDA Anorld Kihaule *Mkristo *

29. DG NDC marehemu Damian Gabagambi *Mkristo *

30. DG TTB (Utalii) Devota Mdachi Mkristo

31. Gavana Benki Florence Lwoga *Mkristo *

32. CG TRA Edwin Mhede *Mkristo *

33. CAG Charles Kichere *Mkristo *

34. SUMATRA Gilliard Ngewe *Mkristo *

35. DG TBC Ayoub Ryoba Mkristo Kanda ya Ziwa
———————————-

The only Muslims walioteuliwa wakati wa Magufuli as DG wa Mashirika ni 4 tu

1. Dr Maulidi Banyani NHC

2. Dr Athumani Ngenya TBS

3. Waziri Kindamba TTCL

4. Hamza Johari Tanzania Civil Aviation Authority

Hizo ni data ambazo ziko wazi na hazina kificho kila mtu akizitafuta anaweza kuzipata,wakati haya yanafanyika siyo kwamba watu hawayaoni,ila wanavumilia na kuweka fikra chanya kuwa hii ni nchi yetu sote,ila inashangaza Sana why always anapokuwa President ana affiliation na iman ya uislam na akachagua baadhi ya wasaidizi wake Tena competent ambao nao Wana affiliation na iman hiyo anyooshewe kidole,?why hatukuyaona hayo kwa President Magufuli ila tunayaona yakitokea kwa President Samia?tuache hizo double standards na unafiki,

Uongoz unatoka kwa Mungu,pend usipende ameshakuwa president,apewe nafasi afanye kazi kama vile walivyopewa wengine nafas katika kipind Chao wakafanya KAZI.
Hata hivyo waislamu ni wachache nchi hii pia wengi wao hawana shule ya kutosha. Bila kuwa na wabunge wa Zanzibar Bunge lingejaa wakristo
 
Hata hivyo waislamu ni wachache nchi hii pia wengi wao hawana shule ya kutosha. Bila kuwa na wabunge wa Zanzibar Bunge lingejaa wakristo

Eti eeh,waislam wapo wachache na hawana shule,kwa sensa ya mwakan gan ulipotoa data hizo,na kama ni hivyo hao wachache waliopo wakiteuliwa mbona vilio haviwaishi?

Mnataka mjazane huko Kwan mmeskia ni parokia hiyo??
 
Sasa kwako Jaji Warioba tunakukumbusha na tungependa kujua kipindi hiki ulikuwa wapi?

Implicit in this statement ni kwamba kuna kauli tata iliyotolewa na Jaji Warioba ,lakini mleta uzi hataki kuthibitisha hiyo kauli aliitoa wapi!!! Weka wazi shutuma zako na sio kuweka mafumbo.

Sintaona ajabu kama hizi shutuma dhidi ya Jaji Warioba ni za kubumbwa na wale wasiopenda msimamo wake kuhusu KATIBA ya wananchi hvyo kutaka kumchafulia jina lake kwa jamii!!
 
Eti eeh,waislam wapo wachache na hawana shule,kwa sensa ya mwakan gan ulipotoa data hizo,na kama ni hivyo hao wachache waliopo wakiteuliwa mbona vilio haviwaishi?

Mnataka mjazane huko Kwan mmeskia ni parokia hiyo??
Inavyoonesha wewe ni mjahidina waheid
 
Friends and Our Enemies...

Hivi karibun baada ya Mh RAIS Samia Hassan alipofanya mabadiliko madogo katika Baraza lake la mawazir alisikika akikemea tabia ya baadhi yetu kusimama na kulalama kuwa waliondolewa kwa kuwa wao hawakuwa kabila Fulani,kama kwamba wao wameondolewa kwa Kosa la kuwa ni WA asili ya kabila zao,

Na akazid kusema kwamba yeye hachagui wasaidizi wake kwa kuangalia unatokea kabila gan,na ukiharibu hawez kuacha kukuondoa eti kisa wewe unatokea kabila Fulani,Kigezo Cha kupewa nafas Ni Utanzania wako na elimu yako ikibid na weledi wako katika kazi,

Na siyo kuwa unatoka kabila gan au unatokea dini gan,

Late president Magufuli alifanya teuzi zake kwa utashi wake na kwa kuangalia ni watu gan walifaa kufanya kazi na yeye,hakuna hata siku MOJA tumesikia akipigiwa kelele kuwa alikua anateua kwa ukabila Wala udini japo yalikuwa yanaonekana waz waz yaliyokawa ya afanyika,

Sasa kwako Jaji Warioba tunakukumbusha na tungependa kujua kipindi hiki ulikuwa wapi?

Bodi ya Tanesco aliyoteuwa Dkt. Kalemani

Wakristo watupuuuu


Wajumbe ;

Balozi Dk James Nzagi
John Kihamba
Dk Lugano Wilson
John Kulwa
Denis Munumbu
Dk Gemma Modu
Mathew Kirama
Gilay Shamika

Mwenyekiti Bodi;

Dkt. Alexander Kyaruzi

Mkurugenzi Mkuu

Tito Mwinuka


REA

Bodi ya REA ya Dkt Kalemani

Wakristo Watupu


Members:

1. Dr. Gideon H. Kaunda - Board Chairman
2. Eng. Amos Maganga - Board Secretary
3. Eng. Innocent Luoga - Board Member
4. Ms.Happiness Mhina - Board Member
5. Mr. Theobald Sabi - Board Member
6. Ms. Amina H. Chinja - Board Member
7. Ms.Scolastica H. Jullu - Board Member
8. Mr. Michael P.Nyagoga - Board Member
9. Ms. Stella Cosmas Mandago - Board Member

Jaji Warioba hukuyaona haya?

Labda pia tumkumbushe..udini huu huu ambao ulikuwa na maelekezo ya Polycarp Pengo ulianzia hapa;

*Wateule wa Magufuli: priority Wakristo, Wasukuma Kanda ya Ziwa *

1. TRC Mashanja Kadogosa Mkristo Msukuma

2. TIB Charles Singili *Mkristo Msukuma *

3. ATC Ladislaus Matindi *Mkristo Msukuma *

4. TIC Dr Maduhu Kazi Mkristo Msukuma

5. DG TCRA James Kilaba Mkristo Msukuma

6. Benki ya Kilimo Japhet Justine Mkristo Msukuma

7. PSSSP Hosea Kashimba Mkristo Msukuma

8. TPA Deusdedit Kakoko Mkristo Kanda ya Ziwa

9. TANESCO Dr Tito Mwinuka *Mkristo Kanda ya Ziwa *

10. Chairman TANESCO Prof Alexander Kyaruzi Mkristo Kanda ya Ziwa

11. DG VETA Pancras Bujulu *Mkristo Msukuma *

12. DG REA Amos Maganga Mkristo Msukuma

13. DG SIDO Sylvester Mpanduji Mkristo Msukuma

14. DG Dawasa Cryspian Luhemeja Mkristo Msukuma

15. DG EWURA Godfrey Chibulinje *Mkristo *

16. DG LAPF Eliudi Sanga Mkristo

17. DG NSSF Prof Kyharara *Mkristo Kanda ya Ziwa *

18. DG NSSF William Erio *Mkristo *

19. DG NIC Elirehema Dorie *Mkristo *

20. DG TIRA Mussa Juma *huyu ni Mkristo Msukuma msibabaishwe na jina ; Mkristo huyu *

21. DG NHIF Bernard Konga Mkristo

22. DG Tanzania Airport Authority Julius Ndyamukama *Mkristo Kanda ya Ziwa *

23. DG WCF Masha Mshomba Mkristo

24. DG TASAC (Shipping Agency ) Emmanuel Ndomba *Mkristo *

25. DG RITA Ag. DG Emmy Hudson Mkristo

26. DG TANROADS marehemu Patrick Mfugale *Mkristo *

27. Executive Secretary TCU (Commission of University) Charles Kihampa *Mkristo *

28. DG NIDA Anorld Kihaule *Mkristo *

29. DG NDC marehemu Damian Gabagambi *Mkristo *

30. DG TTB (Utalii) Devota Mdachi Mkristo

31. Gavana Benki Florence Lwoga *Mkristo *

32. CG TRA Edwin Mhede *Mkristo *

33. CAG Charles Kichere *Mkristo *

34. SUMATRA Gilliard Ngewe *Mkristo *

35. DG TBC Ayoub Ryoba Mkristo Kanda ya Ziwa
———————————-

The only Muslims walioteuliwa wakati wa Magufuli as DG wa Mashirika ni 4 tu

1. Dr Maulidi Banyani NHC

2. Dr Athumani Ngenya TBS

3. Waziri Kindamba TTCL

4. Hamza Johari Tanzania Civil Aviation Authority

Hizo ni data ambazo ziko wazi na hazina kificho kila mtu akizitafuta anaweza kuzipata,wakati haya yanafanyika siyo kwamba watu hawayaoni,ila wanavumilia na kuweka fikra chanya kuwa hii ni nchi yetu sote,ila inashangaza Sana why always anapokuwa President ana affiliation na iman ya uislam na akachagua baadhi ya wasaidizi wake Tena competent ambao nao Wana affiliation na iman hiyo anyooshewe kidole,?why hatukuyaona hayo kwa President Magufuli ila tunayaona yakitokea kwa President Samia?tuache hizo double standards na unafiki,

Uongoz unatoka kwa Mungu,pend usipende ameshakuwa president,apewe nafasi afanye kazi kama vile walivyopewa wengine nafas katika kipind Chao wakafanya KAZI.
Wewe mtu wa ajabu sana,
umeshindwa kusema jaji warioba amesema nini zaidi ya shutuma za uongo
nashangaa hata wachangiaji wanachangia kuhusu shutuma ambazo hawajui hata Mzee warioba amesema nini kwa maneno yake,
Taifa la vilaza sio ajabu.
Quote maneno yake bila kuongeza wala kupunguza hata nukta mzee Waarioba amesema nini.
 
Wewe mtu wa ajabu sana,
umeshindwa kusema jaji warioba amesema nini zaidi ya shutuma za uongo
nashangaa hata wachangiaji wanachangia kuhusu shutuma ambazo hawajui hata Mzee warioba amesema nini kwa maneno yake,
Taifa la vilaza sio ajabu.
Quote maneno yake bila kuongeza wala kupunguza hata nukta mzee Waarioba amesema nini.
Mzee Warioba kasema nini na wapi. Tuache kudemka.

La msingi, tunatakiwa kama taifa kujadili tutakavyoweza kuepuka upungufu wa maamuzi kama ya awamu ya tano. Kilicho dhahiri ni kukosekana kwa checks and balances katika mfumo wetu wa utawala/uongozi. Tutawezaje kutoka kwenye mkwamo huu wakati tukitambua kuwa kila binadamu ana udhaifu fulani, sio kamilifu. Kuendelea kumtuhumu Marehemu Magufuli na/au Rais Samia hakutaleta tija badala yake tutaendelea kuparurana. UMOJA wetu ni tunu ambayo tunatakiwa kuilinda kwa pamoja kama mboni ya jicho. Tutasongaje mbele wakati tukiwadhibiti viongozi watakaotaka kututenganisha kwa misingi ya dini, ukabila na ukanda; na hata kisiasa? Hii ndiyo hoja kuu. Vita yetu inatakiwa kuelekezwa katika kupambana na maadui wetu wa asili - ujinga, umasikini na maradhi. Na ushindi utapatikana kama tukiendelea kuimarisha umoja wetu kama taifa.
 
Mzee Warioba kasema nini na wapi. Tuache kudemka.

La msingi, tunatakiwa kama taifa kujadili tutakavyoweza kuepuka upungufu wa maamuzi kama ya awamu ya tano. Kilicho dhahiri ni kukosekana kwa checks and balances katika mfumo wetu wa utawala/uongozi. Tutawezaje kutoka kwenye mkwamo huu wakati tukitambua kuwa kila binadamu ana udhaifu fulani, sio kamilifu. Kuendelea kumtuhumu Marehemu Magufuli na/au Rais Samia hakutaleta tija badala yake tutaendelea kuparurana. UMOJA wetu ni tunu ambayo tunatakiwa kuilinda kwa pamoja kama mboni ya jicho. Tutasongaje mbele wakati tukiwadhibiti viongozi watakaotaka kututenganisha kwa misingi ya dini, ukabila na ukanda; na hata kisiasa? Hii ndiyo hoja kuu. Vita yetu inatakiwa kuelekezwa katika kupambana na maadui wetu wa asili - ujinga, umasikini na maradhi. Na ushindi utapatikana kama tukiendelea kuimarisha umoja wetu kama taifa.

Na hapo ndipo KATIBA ya wananchi inapokuwa ya muhimu sana kufikia malengo ya umoja wetu kama Taifa!
 
Friends and Our Enemies...

Hivi karibun baada ya Mh RAIS Samia Hassan alipofanya mabadiliko madogo katika Baraza lake la mawazir alisikika akikemea tabia ya baadhi yetu kusimama na kulalama kuwa waliondolewa kwa kuwa wao hawakuwa kabila Fulani,kama kwamba wao wameondolewa kwa Kosa la kuwa ni WA asili ya kabila zao,

Na akazid kusema kwamba yeye hachagui wasaidizi wake kwa kuangalia unatokea kabila gan,na ukiharibu hawez kuacha kukuondoa eti kisa wewe unatokea kabila Fulani,Kigezo Cha kupewa nafas Ni Utanzania wako na elimu yako ikibid na weledi wako katika kazi,

Na siyo kuwa unatoka kabila gan au unatokea dini gan,

Late president Magufuli alifanya teuzi zake kwa utashi wake na kwa kuangalia ni watu gan walifaa kufanya kazi na yeye,hakuna hata siku MOJA tumesikia akipigiwa kelele kuwa alikua anateua kwa ukabila Wala udini japo yalikuwa yanaonekana waz waz yaliyokawa ya afanyika,

Sasa kwako Jaji Warioba tunakukumbusha na tungependa kujua kipindi hiki ulikuwa wapi?

Bodi ya Tanesco aliyoteuwa Dkt. Kalemani

Wakristo watupuuuu


Wajumbe ;

Balozi Dk James Nzagi
John Kihamba
Dk Lugano Wilson
John Kulwa
Denis Munumbu
Dk Gemma Modu
Mathew Kirama
Gilay Shamika

Mwenyekiti Bodi;

Dkt. Alexander Kyaruzi

Mkurugenzi Mkuu

Tito Mwinuka


REA

Bodi ya REA ya Dkt Kalemani

Wakristo Watupu


Members:

1. Dr. Gideon H. Kaunda - Board Chairman
2. Eng. Amos Maganga - Board Secretary
3. Eng. Innocent Luoga - Board Member
4. Ms.Happiness Mhina - Board Member
5. Mr. Theobald Sabi - Board Member
6. Ms. Amina H. Chinja - Board Member
7. Ms.Scolastica H. Jullu - Board Member
8. Mr. Michael P.Nyagoga - Board Member
9. Ms. Stella Cosmas Mandago - Board Member

Jaji Warioba hukuyaona haya?

Labda pia tumkumbushe..udini huu huu ambao ulikuwa na maelekezo ya Polycarp Pengo ulianzia hapa;

*Wateule wa Magufuli: priority Wakristo, Wasukuma Kanda ya Ziwa *

1. TRC Mashanja Kadogosa Mkristo Msukuma

2. TIB Charles Singili *Mkristo Msukuma *

3. ATC Ladislaus Matindi *Mkristo Msukuma *

4. TIC Dr Maduhu Kazi Mkristo Msukuma

5. DG TCRA James Kilaba Mkristo Msukuma

6. Benki ya Kilimo Japhet Justine Mkristo Msukuma

7. PSSSP Hosea Kashimba Mkristo Msukuma

8. TPA Deusdedit Kakoko Mkristo Kanda ya Ziwa

9. TANESCO Dr Tito Mwinuka *Mkristo Kanda ya Ziwa *

10. Chairman TANESCO Prof Alexander Kyaruzi Mkristo Kanda ya Ziwa

11. DG VETA Pancras Bujulu *Mkristo Msukuma *

12. DG REA Amos Maganga Mkristo Msukuma

13. DG SIDO Sylvester Mpanduji Mkristo Msukuma

14. DG Dawasa Cryspian Luhemeja Mkristo Msukuma

15. DG EWURA Godfrey Chibulinje *Mkristo *

16. DG LAPF Eliudi Sanga Mkristo

17. DG NSSF Prof Kyharara *Mkristo Kanda ya Ziwa *

18. DG NSSF William Erio *Mkristo *

19. DG NIC Elirehema Dorie *Mkristo *

20. DG TIRA Mussa Juma *huyu ni Mkristo Msukuma msibabaishwe na jina ; Mkristo huyu *

21. DG NHIF Bernard Konga Mkristo

22. DG Tanzania Airport Authority Julius Ndyamukama *Mkristo Kanda ya Ziwa *

23. DG WCF Masha Mshomba Mkristo

24. DG TASAC (Shipping Agency ) Emmanuel Ndomba *Mkristo *

25. DG RITA Ag. DG Emmy Hudson Mkristo

26. DG TANROADS marehemu Patrick Mfugale *Mkristo *

27. Executive Secretary TCU (Commission of University) Charles Kihampa *Mkristo *

28. DG NIDA Anorld Kihaule *Mkristo *

29. DG NDC marehemu Damian Gabagambi *Mkristo *

30. DG TTB (Utalii) Devota Mdachi Mkristo

31. Gavana Benki Florence Lwoga *Mkristo *

32. CG TRA Edwin Mhede *Mkristo *

33. CAG Charles Kichere *Mkristo *

34. SUMATRA Gilliard Ngewe *Mkristo *

35. DG TBC Ayoub Ryoba Mkristo Kanda ya Ziwa
———————————-

The only Muslims walioteuliwa wakati wa Magufuli as DG wa Mashirika ni 4 tu

1. Dr Maulidi Banyani NHC

2. Dr Athumani Ngenya TBS

3. Waziri Kindamba TTCL

4. Hamza Johari Tanzania Civil Aviation Authority

Hizo ni data ambazo ziko wazi na hazina kificho kila mtu akizitafuta anaweza kuzipata,wakati haya yanafanyika siyo kwamba watu hawayaoni,ila wanavumilia na kuweka fikra chanya kuwa hii ni nchi yetu sote,ila inashangaza Sana why always anapokuwa President ana affiliation na iman ya uislam na akachagua baadhi ya wasaidizi wake Tena competent ambao nao Wana affiliation na iman hiyo anyooshewe kidole,?why hatukuyaona hayo kwa President Magufuli ila tunayaona yakitokea kwa President Samia?tuache hizo double standards na unafiki,

Uongoz unatoka kwa Mungu,pend usipende ameshakuwa president,apewe nafasi afanye kazi kama vile walivyopewa wengine nafas katika kipind Chao wakafanya KAZI.
Mwinuka NI mbena/ mhehe
 
Back
Top Bottom