Jaji Warioba, ingekuwa vyema ukaiacha Serikali ifanye kazi, wewe ni miongoni mwa watu wa heshima kwenye taifa hili

Jaji Warioba, ingekuwa vyema ukaiacha Serikali ifanye kazi, wewe ni miongoni mwa watu wa heshima kwenye taifa hili

Wakurugenzi wengine uliowataja humu ni wateule wa mawaziri na siyo wa Rais. Mfano mzuri ni wale wa VETA na TCU
 
Friends and Our Enemies...

Hivi karibun baada ya Mh RAIS Samia Hassan alipofanya mabadiliko madogo katika Baraza lake la mawazir alisikika akikemea tabia ya baadhi yetu kusimama na kulalama kuwa waliondolewa kwa kuwa wao hawakuwa kabila Fulani,kama kwamba wao wameondolewa kwa Kosa la kuwa ni WA asili ya kabila zao,

Na akazid kusema kwamba yeye hachagui wasaidizi wake kwa kuangalia unatokea kabila gan,na ukiharibu hawez kuacha kukuondoa eti kisa wewe unatokea kabila Fulani,Kigezo Cha kupewa nafas Ni Utanzania wako na elimu yako ikibid na weledi wako katika kazi,

Na siyo kuwa unatoka kabila gan au unatokea dini gan,

Late president Magufuli alifanya teuzi zake kwa utashi wake na kwa kuangalia ni watu gan walifaa kufanya kazi na yeye,hakuna hata siku MOJA tumesikia akipigiwa kelele kuwa alikua anateua kwa ukabila Wala udini japo yalikuwa yanaonekana waz waz yaliyokawa ya afanyika,

Sasa kwako Jaji Warioba tunakukumbusha na tungependa kujua kipindi hiki ulikuwa wapi?

Bodi ya Tanesco aliyoteuwa Dkt. Kalemani

Wakristo watupuuuu


Wajumbe ;

Balozi Dk James Nzagi
John Kihamba
Dk Lugano Wilson
John Kulwa
Denis Munumbu
Dk Gemma Modu
Mathew Kirama
Gilay Shamika

Mwenyekiti Bodi;

Dkt. Alexander Kyaruzi

Mkurugenzi Mkuu

Tito Mwinuka


REA

Bodi ya REA ya Dkt Kalemani

Wakristo Watupu


Members:

1. Dr. Gideon H. Kaunda - Board Chairman
2. Eng. Amos Maganga - Board Secretary
3. Eng. Innocent Luoga - Board Member
4. Ms.Happiness Mhina - Board Member
5. Mr. Theobald Sabi - Board Member
6. Ms. Amina H. Chinja - Board Member
7. Ms.Scolastica H. Jullu - Board Member
8. Mr. Michael P.Nyagoga - Board Member
9. Ms. Stella Cosmas Mandago - Board Member

Jaji Warioba hukuyaona haya?

Labda pia tumkumbushe..udini huu huu ambao ulikuwa na maelekezo ya Polycarp Pengo ulianzia hapa;

*Wateule wa Magufuli: priority Wakristo, Wasukuma Kanda ya Ziwa *

1. TRC Mashanja Kadogosa Mkristo Msukuma

2. TIB Charles Singili *Mkristo Msukuma *

3. ATC Ladislaus Matindi *Mkristo Msukuma *

4. TIC Dr Maduhu Kazi Mkristo Msukuma

5. DG TCRA James Kilaba Mkristo Msukuma

6. Benki ya Kilimo Japhet Justine Mkristo Msukuma

7. PSSSP Hosea Kashimba Mkristo Msukuma

8. TPA Deusdedit Kakoko Mkristo Kanda ya Ziwa

9. TANESCO Dr Tito Mwinuka *Mkristo Kanda ya Ziwa *

10. Chairman TANESCO Prof Alexander Kyaruzi Mkristo Kanda ya Ziwa

11. DG VETA Pancras Bujulu *Mkristo Msukuma *

12. DG REA Amos Maganga Mkristo Msukuma

13. DG SIDO Sylvester Mpanduji Mkristo Msukuma

14. DG Dawasa Cryspian Luhemeja Mkristo Msukuma

15. DG EWURA Godfrey Chibulinje *Mkristo *

16. DG LAPF Eliudi Sanga Mkristo

17. DG NSSF Prof Kyharara *Mkristo Kanda ya Ziwa *

18. DG NSSF William Erio *Mkristo *

19. DG NIC Elirehema Dorie *Mkristo *

20. DG TIRA Mussa Juma *huyu ni Mkristo Msukuma msibabaishwe na jina ; Mkristo huyu *

21. DG NHIF Bernard Konga Mkristo

22. DG Tanzania Airport Authority Julius Ndyamukama *Mkristo Kanda ya Ziwa *

23. DG WCF Masha Mshomba Mkristo

24. DG TASAC (Shipping Agency ) Emmanuel Ndomba *Mkristo *

25. DG RITA Ag. DG Emmy Hudson Mkristo

26. DG TANROADS marehemu Patrick Mfugale *Mkristo *

27. Executive Secretary TCU (Commission of University) Charles Kihampa *Mkristo *

28. DG NIDA Anorld Kihaule *Mkristo *

29. DG NDC marehemu Damian Gabagambi *Mkristo *

30. DG TTB (Utalii) Devota Mdachi Mkristo

31. Gavana Benki Florence Lwoga *Mkristo *

32. CG TRA Edwin Mhede *Mkristo *

33. CAG Charles Kichere *Mkristo *

34. SUMATRA Gilliard Ngewe *Mkristo *

35. DG TBC Ayoub Ryoba Mkristo Kanda ya Ziwa
———————————-

The only Muslims walioteuliwa wakati wa Magufuli as DG wa Mashirika ni 4 tu

1. Dr Maulidi Banyani NHC

2. Dr Athumani Ngenya TBS

3. Waziri Kindamba TTCL

4. Hamza Johari Tanzania Civil Aviation Authority

Hizo ni data ambazo ziko wazi na hazina kificho kila mtu akizitafuta anaweza kuzipata,wakati haya yanafanyika siyo kwamba watu hawayaoni,ila wanavumilia na kuweka fikra chanya kuwa hii ni nchi yetu sote,ila inashangaza Sana why always anapokuwa President ana affiliation na iman ya uislam na akachagua baadhi ya wasaidizi wake Tena competent ambao nao Wana affiliation na iman hiyo anyooshewe kidole,?why hatukuyaona hayo kwa President Magufuli ila tunayaona yakitokea kwa President Samia?tuache hizo double standards na unafiki,

Uongoz unatoka kwa Mungu,pend usipende ameshakuwa president,apewe nafasi afanye kazi kama vile walivyopewa wengine nafas katika kipind Chao wakafanya KAZI.
Sheghee..asaramarekoo!! Labda nikuambie tu! Sifa ya kuteuliwa mojawapo ni usomi wa muhusika! Sasa shida yenu sheghe hamna wasomi wengi...wengi wenu mnaishia madrasa...hi ni serikal ya duniani sio ya akhera! Ili mteuliwe jitahidn kuwasomesha wanenu had ngaz za juu huko maphd..hapo mtaenda sawa na wakiristuu..la cvyoo utaumia sana..
 
'Rubbish reaction and imbecile mentality'.

Wewe mpiga debe wa utawala wa sasa UDINI, UKABILA, UKANDA, UCHAMA, UWEZO wa KIUCHUMI utawaangamiza na wananchi hawawataki kuwepo hapo mlipo wamewachoka.
Watakuwa wamechoka kubebelea matako yako.Na hao wananchi labda wako kwenye Banda lako unaloita nyumba wakiongozwa na bichwa bovu lako
 
Magufuli alikuwa mbaguzi sana. Ubaguzi wake ulibase kwanza kwenye kanda, dini na kabila.

Aliwapendelea sana Wasukuma, watu wa kanda ya ziwa na wakristu.

Aliwachukia sana watu wa kanda ya Nyanda za juu kusini, Kanda ya kaskazini, na watu wa Mtwara/Lindi.

Particulary aliwachukia Wachagga toka Moyoni.
Alikuhadithia...?!
 
Tanzania maendeleo ya kweli mtakuwa mnayasimulia tu kwenye makaratasi sababu kuu ni UDINI unaongelewa sn anapo tokea RAIS MUISLAM ndio hii inazungumzwa sn.

Kwani ukiangalia uwiano WAKRISTO ndio wapo wengi kwenye serikali kuliko WAISLAM lkn binaadam hawezi ridhika hata kidogo tatizo kubwa ni mazoea toka nyuma ..........But they have to remember ROMAN CATHOLIC (RC) is loosing influence right now in the world they have to go with time.
Haya mambo ya kidini ebu siku lifanyike jambo Mungu atuonyeshe wapi ndo sahihi
Waislam pigeni ALBADIRI
Wakristo pigeni sala
Halafu tuone majibu

Maana makelele ya udini yamezidi.
 
Tito Mwinuka Tanesco badilisha Mkristo Iringa/Njombe badilisha, pia tunaomba na orodha kama hio enzi za kikwete toka 2005 hadi 2015, na uende ofisi za NSSF nchi nzima uone lilivyo shirika la kiislamu nchi hii ni hatari sana. Mungu atusaidie tu. Hapo bado Makabila kwenye taasis na mawizara, kwenye halmashauri na mikoa, duuh wengine kila sehemu ni kama sisimizi tu.
Nakuunga mkono kwa NSSF,waislamu ni wengi sana,lakini kwangu sijali maana sihudumiwi na uislamu wao.
Namkubali sana Mhasibu wa Nssf Tawi la Geita,yupo vizuri sana.
 
Magufuli alikuwa mbaguzi sana. Ubaguzi wake ulibase kwanza kwenye kanda, dini na kabila.

Aliwapendelea sana Wasukuma, watu wa kanda ya ziwa na wakristu.

Aliwachukia sana watu wa kanda ya Nyanda za juu kusini, Kanda ya kaskazini, na watu wa Mtwara/Lindi.

Particulary aliwachukia Wachagga toka Moyoni.
Si walimpa kura nyingi,au u asema je mkuu.
 
Eti eeh,waislam wapo wachache na hawana shule,kwa sensa ya mwakan gan ulipotoa data hizo,na kama ni hivyo hao wachache waliopo wakiteuliwa mbona vilio haviwaishi?

Mnataka mjazane huko Kwan mmeskia ni parokia hiyo??
Nenda vyuoni uangalie idadi ya wahadhiri na maprofessor wengi ni wakristo, angalia idadi ya wanafunzi wakristo ni wengi, nenda maofisini wakristo ni wengi zaidi , walimu, manesi , ma Dr waislamu ni wachache. Sio kwamba hakuna waislamu wasomi wapo Ila ni wachache Sana mfano akina Prof Musa Assad. Idadi ya watu 65% ni wakristo nchi nzima halafu waislamu ni 35%. .Hata ukibalance kwenye uteuzi kuna mambo mengine unashindwa kabisa kwasababu ya difference hiyo
 
Friends and Our Enemies...

Hivi karibun baada ya Mh RAIS Samia Hassan alipofanya mabadiliko madogo katika Baraza lake la mawazir alisikika akikemea tabia ya baadhi yetu kusimama na kulalama kuwa waliondolewa kwa kuwa wao hawakuwa kabila Fulani,kama kwamba wao wameondolewa kwa Kosa la kuwa ni WA asili ya kabila zao,

Na akazid kusema kwamba yeye hachagui wasaidizi wake kwa kuangalia unatokea kabila gan,na ukiharibu hawez kuacha kukuondoa eti kisa wewe unatokea kabila Fulani,Kigezo Cha kupewa nafas Ni Utanzania wako na elimu yako ikibid na weledi wako katika kazi,

Na siyo kuwa unatoka kabila gan au unatokea dini gan,

Late president Magufuli alifanya teuzi zake kwa utashi wake na kwa kuangalia ni watu gan walifaa kufanya kazi na yeye,hakuna hata siku MOJA tumesikia akipigiwa kelele kuwa alikua anateua kwa ukabila Wala udini japo yalikuwa yanaonekana waz waz yaliyokawa ya afanyika,

Sasa kwako Jaji Warioba tunakukumbusha na tungependa kujua kipindi hiki ulikuwa wapi?

Bodi ya Tanesco aliyoteuwa Dkt. Kalemani

Wakristo watupuuuu


Wajumbe ;

Balozi Dk James Nzagi
John Kihamba
Dk Lugano Wilson
John Kulwa
Denis Munumbu
Dk Gemma Modu
Mathew Kirama
Gilay Shamika

Mwenyekiti Bodi;

Dkt. Alexander Kyaruzi

Mkurugenzi Mkuu

Tito Mwinuka


REA

Bodi ya REA ya Dkt Kalemani

Wakristo Watupu


Members:

1. Dr. Gideon H. Kaunda - Board Chairman
2. Eng. Amos Maganga - Board Secretary
3. Eng. Innocent Luoga - Board Member
4. Ms.Happiness Mhina - Board Member
5. Mr. Theobald Sabi - Board Member
6. Ms. Amina H. Chinja - Board Member
7. Ms.Scolastica H. Jullu - Board Member
8. Mr. Michael P.Nyagoga - Board Member
9. Ms. Stella Cosmas Mandago - Board Member

Jaji Warioba hukuyaona haya?

Labda pia tumkumbushe..udini huu huu ambao ulikuwa na maelekezo ya Polycarp Pengo ulianzia hapa;

*Wateule wa Magufuli: priority Wakristo, Wasukuma Kanda ya Ziwa *

1. TRC Mashanja Kadogosa Mkristo Msukuma

2. TIB Charles Singili *Mkristo Msukuma *

3. ATC Ladislaus Matindi *Mkristo Msukuma *

4. TIC Dr Maduhu Kazi Mkristo Msukuma

5. DG TCRA James Kilaba Mkristo Msukuma

6. Benki ya Kilimo Japhet Justine Mkristo Msukuma

7. PSSSP Hosea Kashimba Mkristo Msukuma

8. TPA Deusdedit Kakoko Mkristo Kanda ya Ziwa

9. TANESCO Dr Tito Mwinuka *Mkristo Kanda ya Ziwa *

10. Chairman TANESCO Prof Alexander Kyaruzi Mkristo Kanda ya Ziwa

11. DG VETA Pancras Bujulu *Mkristo Msukuma *

12. DG REA Amos Maganga Mkristo Msukuma

13. DG SIDO Sylvester Mpanduji Mkristo Msukuma

14. DG Dawasa Cryspian Luhemeja Mkristo Msukuma

15. DG EWURA Godfrey Chibulinje *Mkristo *

16. DG LAPF Eliudi Sanga Mkristo

17. DG NSSF Prof Kyharara *Mkristo Kanda ya Ziwa *

18. DG NSSF William Erio *Mkristo *

19. DG NIC Elirehema Dorie *Mkristo *

20. DG TIRA Mussa Juma *huyu ni Mkristo Msukuma msibabaishwe na jina ; Mkristo huyu *

21. DG NHIF Bernard Konga Mkristo

22. DG Tanzania Airport Authority Julius Ndyamukama *Mkristo Kanda ya Ziwa *

23. DG WCF Masha Mshomba Mkristo

24. DG TASAC (Shipping Agency ) Emmanuel Ndomba *Mkristo *

25. DG RITA Ag. DG Emmy Hudson Mkristo

26. DG TANROADS marehemu Patrick Mfugale *Mkristo *

27. Executive Secretary TCU (Commission of University) Charles Kihampa *Mkristo *

28. DG NIDA Anorld Kihaule *Mkristo *

29. DG NDC marehemu Damian Gabagambi *Mkristo *

30. DG TTB (Utalii) Devota Mdachi Mkristo

31. Gavana Benki Florence Lwoga *Mkristo *

32. CG TRA Edwin Mhede *Mkristo *

33. CAG Charles Kichere *Mkristo *

34. SUMATRA Gilliard Ngewe *Mkristo *

35. DG TBC Ayoub Ryoba Mkristo Kanda ya Ziwa
———————————-

The only Muslims walioteuliwa wakati wa Magufuli as DG wa Mashirika ni 4 tu

1. Dr Maulidi Banyani NHC

2. Dr Athumani Ngenya TBS

3. Waziri Kindamba TTCL

4. Hamza Johari Tanzania Civil Aviation Authority

Hizo ni data ambazo ziko wazi na hazina kificho kila mtu akizitafuta anaweza kuzipata,wakati haya yanafanyika siyo kwamba watu hawayaoni,ila wanavumilia na kuweka fikra chanya kuwa hii ni nchi yetu sote,ila inashangaza Sana why always anapokuwa President ana affiliation na iman ya uislam na akachagua baadhi ya wasaidizi wake Tena competent ambao nao Wana affiliation na iman hiyo anyooshewe kidole,?why hatukuyaona hayo kwa President Magufuli ila tunayaona yakitokea kwa President Samia?tuache hizo double standards na unafiki,

Uongoz unatoka kwa Mungu,pend usipende ameshakuwa president,apewe nafasi afanye kazi kama vile walivyopewa wengine nafas katika kipind Chao wakafanya KAZI.

Wa Kristo ni %80 ya watanzania
 
Kama Warioba alinyamaza kipindi hicho hata sasa hivi anapaswa aendelee kunyamaza.
Tatizo la posts za uteuzi ni kuwa mwenye kuteua hufanya hivyo kulingana na matakwa yake kutokana na nguvu ya madaraka aliyopewa na katiba...
 
Kutoaminiwa kwenye nafasi za kiasiasa ni kitu cha kawaida duniani kote.
Sio kwamba wachagga walichukiwa na JPM.
Mimi nadhani alikuwa hawaamini kisiasa kutokana na wengi kuunga mkono upinzani.
Wachagga wamepotea ndani ya CCM.
Angekuwa hawaamini tu ingekuwa sawa singesema aliwachukia. Yeye aliwachukia wazi kabisa akahakikisha anawatoa kila sehemu walikokuwa. Alienda Moshi kwenye kampeni maneno aliyoongea yalionesha chuki za wazi kabisa kwa hao watu. Kumbuka pia kauli yake akiwa Iringa kuhusu watu wa Kaskazini.

Jamaa alikuwa na chuki kubwa ha hao watu wala siyo kwamba hakuwaamini
 
Wachaga ni wezi watanzania wote wanajua... sielewi kwa nini mnashangaa kutoaminiwa
Nimekuuliza uaminifu nini? Hunajibu. Kabila lipi hawaibi? Nitajie na mimi nitakwambia mhalifu/mwizi wao mmoja
 
Back
Top Bottom