Jaji Warioba, ingekuwa vyema ukaiacha Serikali ifanye kazi, wewe ni miongoni mwa watu wa heshima kwenye taifa hili

Jaji Warioba, ingekuwa vyema ukaiacha Serikali ifanye kazi, wewe ni miongoni mwa watu wa heshima kwenye taifa hili

Kwa hiyo unachokifanya ni kuhalalisha uovu kwa uovu! Yaani kwa sababu wakati wa awamu ya tano, watu walivumilia madudu! basi wanatakiwa wavumilie pia kunyamaza katika awamu hii!

Kwa sababu Magufuli na Kalemani waliteua Wakristo na Wasukuma wengi, na nyinyi sasa mnateuana kwa kigezo cha Uislam na Ukojani!
Alafu ukute huyu ndiyo mtu tegemezi wa team kojani
 
Kutengeneza kumbukumbu namna hii inaonyesha jinsi gani roho ya udini ilivyo kukaa kisawasawa, kama una asilimia zaidi ya 95 ya wasomi waliobobea kwenye taaluma zao ambao ni wakristo ni jambo gani la kushangaza kukuta wakiwa wengi zaidi kwenye kuongoza taasisi na mashirika mbalimbali ya umma....
 
Mikristo ina roho mbaya na roho za chuki sana.

Inatamani waislamu wakose hata pumzi wafe kabisa.

Mijitu ya hovyo sana hii.
 
Kutengeneza kumbukumbu namna hii inaonyesha jinsi gani roho ya udini ilivyo kukaa kisawasawa, kama una asilimia zaidi ya 95 ya wasomi waliobobea kwenye taaluma zao ambao ni wakristo ni jambo gani la kushangaza kukuta wakiwa wengi zaidi kwenye kuongoza taasisi na mashirika mbalimbali ya umma....
Ukimuuliza ni kwa nini serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaundwa na Waislamu tupu, atasema mbona Zanzibar Waislamu ndiyo wengi!

Sasa hata kama ni wengi, je hao wachache wa imani nyingine mbona hawapewi nafasi chache kulingana na huo uchache wao?
 
Mbona huo Uislamu na Ukojani sijauona. Labda tupate mifano.
Utawaweza basi hawa makafiri.

Kwao wakiteuliwa wakristo 9 na muislamu mmoja sio udini.

Wakiteuliwa wakristo watano na waislamu watano huo kwao ni udini.

Wakiteuliwa wakristo 4 na waislamu 6 hapo ndo udini uliopitiliza.

Mipumbavu sana hii mijitu.
 
Uzi umekuchoma kunako mnywa divai.

Unaomba usaidizi kwa mods wautoe walau upate amani.

TOFAUTI NI HEADING TU

Naona hukuwa na BANDO
 
Ukimuuliza ni kwa nini serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaundwa na Waislamu tupu, atasema mbona Zanzibar Waislamu ndiyo wengi!

Sasa hata kama ni wengi, je hao wachache wa imani nyingine mbona hawapewi nafasi chache kulingana na huo uchache wao?
Akileta hoja ya wengi, ile ya kusema kwamba wakristo wengi ndo wanapata teuzi itakosa mashiko maana wao ndo wengi wenye vigezo hasa ukizingatia sifa ya usomi na ubobezi kwenye taaluma mbalimbali.....
 
Friends and Our Enemies...

Hivi karibun baada ya Mh RAIS Samia Hassan alipofanya mabadiliko madogo katika Baraza lake la mawazir alisikika akikemea tabia ya baadhi yetu kusimama na kulalama kuwa waliondolewa kwa kuwa wao hawakuwa kabila Fulani,kama kwamba wao wameondolewa kwa Kosa la kuwa ni WA asili ya kabila zao,

Na akazid kusema kwamba yeye hachagui wasaidizi wake kwa kuangalia unatokea kabila gan,na ukiharibu hawez kuacha kukuondoa eti kisa wewe unatokea kabila Fulani,Kigezo Cha kupewa nafas Ni Utanzania wako na elimu yako ikibid na weledi wako katika kazi,

Na siyo kuwa unatoka kabila gan au unatokea dini gan,

Late president Magufuli alifanya teuzi zake kwa utashi wake na kwa kuangalia ni watu gan walifaa kufanya kazi na yeye,hakuna hata siku MOJA tumesikia akipigiwa kelele kuwa alikua anateua kwa ukabila Wala udini japo yalikuwa yanaonekana waz waz yaliyokawa ya afanyika,

Sasa kwako Jaji Warioba tunakukumbusha na tungependa kujua kipindi hiki ulikuwa wapi?

Bodi ya Tanesco aliyoteuwa Dkt. Kalemani

Wakristo watupuuuu


Wajumbe ;

Balozi Dk James Nzagi
John Kihamba
Dk Lugano Wilson
John Kulwa
Denis Munumbu
Dk Gemma Modu
Mathew Kirama
Gilay Shamika

Mwenyekiti Bodi;

Dkt. Alexander Kyaruzi

Mkurugenzi Mkuu

Tito Mwinuka


REA

Bodi ya REA ya Dkt Kalemani

Wakristo Watupu


Members:

1. Dr. Gideon H. Kaunda - Board Chairman
2. Eng. Amos Maganga - Board Secretary
3. Eng. Innocent Luoga - Board Member
4. Ms.Happiness Mhina - Board Member
5. Mr. Theobald Sabi - Board Member
6. Ms. Amina H. Chinja - Board Member
7. Ms.Scolastica H. Jullu - Board Member
8. Mr. Michael P.Nyagoga - Board Member
9. Ms. Stella Cosmas Mandago - Board Member

Jaji Warioba hukuyaona haya?

Labda pia tumkumbushe..udini huu huu ambao ulikuwa na maelekezo ya Polycarp Pengo ulianzia hapa;

*Wateule wa Magufuli: priority Wakristo, Wasukuma, Kanda ya Ziwa *

1. TRC Mashanja Kadogosa Mkristo Msukuma

2. TIB Charles Singili *Mkristo Msukuma *

3. ATC Ladislaus Matindi *Mkristo Msukuma *

4. TIC Dr Maduhu Kazi Mkristo Msukuma

5. DG TCRA James Kilaba Mkristo Msukuma

6. Benki ya Kilimo Japhet Justine Mkristo Msukuma

7. PSSSP Hosea Kashimba Mkristo Msukuma

8. TPA Deusdedit Kakoko Mkristo Kanda ya Ziwa

9. TANESCO Dr Tito Mwinuka *Mkristo Kanda ya Ziwa *

10. Chairman TANESCO Prof Alexander Kyaruzi Mkristo Kanda ya Ziwa

11. DG VETA Pancras Bujulu *Mkristo Msukuma *

12. DG REA Amos Maganga Mkristo Msukuma

13. DG SIDO Sylvester Mpanduji Mkristo Msukuma

14. DG Dawasa Cryspian Luhemeja Mkristo Msukuma

15. DG EWURA Godfrey Chibulinje *Mkristo *

16. DG LAPF Eliudi Sanga Mkristo

17. DG NSSF Prof Kyharara *Mkristo Kanda ya Ziwa *

18. DG NSSF William Erio *Mkristo *

19. DG NIC Elirehema Dorie *Mkristo *

20. DG TIRA Mussa Juma *huyu ni Mkristo Msukuma msibabaishwe na jina ; Mkristo huyu *

21. DG NHIF Bernard Konga Mkristo

22. DG Tanzania Airport Authority Julius Ndyamukama *Mkristo Kanda ya Ziwa *

23. DG WCF Masha Mshomba Mkristo

24. DG TASAC (Shipping Agency ) Emmanuel Ndomba Mkristo

25. DG RITA Ag. DG Emmy Hudson Mkristo

26. DG TANROADS marehemu Patrick Mfugale Mkristo

27. Executive Secretary TCU (Commission of University) Charles Kihampa Mkristo

28. DG NIDA Anorld Kihaule Mkristo

29. DG NDC marehemu Damian Gabagambi Mkristo

30. DG TTB (Utalii) Devota Mdachi Mkristo

31. Gavana Benki Florence Lwoga Mkristo

32. CG TRA Edwin Mhede Mkristo

33. CAG Charles Kichere Mkristo

34. SUMATRA Gilliard Ngewe Mkristo

35. DG TBC Ayoub Ryoba Mkristo Kanda ya Ziwa
———————————-

The only Muslims walioteuliwa wakati wa Magufuli as DG wa Mashirika ni 4 tu

1. Dr Maulidi Banyani NHC

2. Dr Athumani Ngenya TBS

3. Waziri Kindamba TTCL

4. Hamza Johari Tanzania Civil Aviation Authority

Hizo ni data ambazo ziko wazi na hazina kificho kila mtu akizitafuta anaweza kuzipata,wakati haya yanafanyika siyo kwamba watu hawayaoni,ila wanavumilia na kuweka fikra chanya kuwa hii ni nchi yetu sote, ila inashangaza sana why always anapokuwa President ana affiliation na iman ya uislam na akachagua baadhi ya wasaidizi wake tena competent ambao nao wana affiliation na iman hiyo anyooshewe kidole,?why hatukuyaona hayo kwa President Magufuli ila tunayaona yakitokea kwa President Samia?tuache hizo double standards na unafiki,

Uongozi unatoka kwa Mungu,pend usipende ameshakuwa president,apewe nafasi afanye kazi kama vile walivyopewa wengine nafas katika kipind Chao wakafanya KAZI.
KWahiyo ukikosea mara ya kwanza inabidi urudie tena kosa ili lisiwe kosa?
Two wrongs does not make one right.
Jadili hoja yako kwa arguments na sio kusema mbona flan alifanya hivi..
Kwakuwa Warioba hakumkosoa Magufuli haimainishi kuwa Magufuli alikuwa sahihi au watu wengine hawakumkosoa
Magufuli.
Warioba yuko sahihi kutoa maoni yake cha kujadiliwa ni kama maoni yake yana hoja za msingi au la.
 
Back
Top Bottom