LGE2024 Jaji Warioba kabla kutoa hukumu yako hususani ya Uchaguzi wa S/Mitaa, uwe umsikiliza pande zote na ushahidi ulionao

LGE2024 Jaji Warioba kabla kutoa hukumu yako hususani ya Uchaguzi wa S/Mitaa, uwe umsikiliza pande zote na ushahidi ulionao

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Dr Akili

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2011
Posts
5,119
Reaction score
4,569
Ni kawaida katika nchi zote duniani baada ya chaguzi zo zote za kisiasa upande ulioshindwa kulalamika kufanyiwa ndivyo sivyo.

Kushindwa kura kunauma, na walioshindwa ni haki yao kulalamika kuwa uchaguzi haukuwa fare and transparent na hivyo ni batili. Kwamba kura ziliibiwa, kulikuwa na kura fake, ujumlishaji wa kura haukuwa sahihi, wagombea walienguliwa kinyume na sheria etc etc

Utaratibu kote duniani pamoja na hapa kwetu (isipokuwa kwa uchaguzi wa raisi), malalamiko kama hayo huwataka walalamikaji kuyafikisha mahakamani wakiwa na ushahidi. Upande wa walalamikiwa (serikali, tume ya uchaguzi etc) hupewa nafasi ya kujitetea na kutoa ushahidi kabla ya mahakama kutoa maamuzi aka hukumu.

Haya yote unayajua vizuri kuliko sisi kwani wewe ni mwanasheria mbobezi uliyepitia mengi. Hata wewe Mzee Wasira alipokushinda kwenye ubunge wa jimbo la Bunda miaka ile ulimburuza mahakamani, kilichotokea kule unakifahamu.

Sasa kwa nini huwashauri hao wanaolalamika kwenye huu uchaguzi wa s/mitaa kuyapeleka malalamiko yao mahqkamani ili mbichi na mbivu zikajulikane huko? Ikajulikane kama ni kweli polisi au hao wasimamizi wa uchaguzi kweli walihusika na wizi wa kura aka kura fake na mengineyo hususani yale ya kuengua wagombea kinyume na sheria na kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa.
 
Tatizo la Tanzania ni ujinga na upumbavu,yaani mtu mwenye akili timamu ana amini kabisa kwamba nchi hii ina uchaguzi na mahakama.

Kaburu Botha alikuwa Sawa kabisa kuona watu weusi kama binadamu wasio kuwa binadamu kamili.
 
Ni kawaida katika nchi zote duniani baada ya chaguzi zo zote za kisiasa upande ulioshindwa kulalamika kufanyiwa ndivyo sivyo.

Kushindwa kura kunauma, na walioshindwa ni haki yao kulalamika kuwa uchaguzi haukuwa fare and transparent na hivyo ni batili. Kwamba kura ziliibiwa, kulikuwa na kura fake, ujumlishaji wa kura haukuwa sahihi, wagombea walienguliwa kinyume na sheria etc etc

Utaratibu kote duniani pamoja na hapa kwetu (isipokuwa kwa uchaguzi wa raisi), malalamiko kama hayo huwataka walalamikaji kuyafikisha mahakamani wakiwa na ushahidi. Upande wa walalamikiwa (serikali, tume ya uchaguzi etc) hupewa nafasi ya kujitetea na kutoa ushahidi kabla ya mahakama kutoa maamuzi aka hukumu.

Haya yote unayajua vizuri kuliko sisi kwani wewe ni mwanasheria mbobezi uliyepitia mengi. Hata wewe Mzee Wasira alipokushinda kwenye ubunge wa jimbo la Bunda miaka ile ulimburuza mahakamani, kilichotokea kule unakifahamu.

Sasa kwa nini huwashauri hao wanaolalamika kwenye huu uchaguzi wa s/mitaa kuyapeleka malalamiko yao mahqkamani ili mbichi na mbivu zikajulikane huko? Ikajulikane kama ni kweli polisi au hao wasimamizi wa uchaguzi kweli walihusika na wizi wa kura aka kura fake na mengineyo hususani yale ya kuengua wagombea kinyume na sheria na kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa.
Warioba is compromised
 
Ccm haijawahi kushinda KIHALALI.
msimamizi wa uchaguzi anatoka TAMISEMI waziri yupo chini ya raisi.
Uchaguzi wote unasimamiwa na watu wa ccm.yaani ni sawa na uwanja wao,refa wao.
Sasa wapi hapo sheria ya uchaguzi imekiukwa? Basi peleka mswada bungeni wa sheria mbadala ya uchaguzi, ukapitishwe na bunge kisha kuridhiwa na rais kuwa sheria. Huo ndiyo utaratibu kama huridhishwi na sheria iliyopo.
 
Ni kawaida katika nchi zote duniani baada ya chaguzi zo zote za kisiasa upande ulioshindwa kulalamika kufanyiwa ndivyo sivyo.

Kushindwa kura kunauma, na walioshindwa ni haki yao kulalamika kuwa uchaguzi haukuwa fare and transparent na hivyo ni batili. Kwamba kura ziliibiwa, kulikuwa na kura fake, ujumlishaji wa kura haukuwa sahihi, wagombea walienguliwa kinyume na sheria etc etc

Utaratibu kote duniani pamoja na hapa kwetu (isipokuwa kwa uchaguzi wa raisi), malalamiko kama hayo huwataka walalamikaji kuyafikisha mahakamani wakiwa na ushahidi. Upande wa walalamikiwa (serikali, tume ya uchaguzi etc) hupewa nafasi ya kujitetea na kutoa ushahidi kabla ya mahakama kutoa maamuzi aka hukumu.

Haya yote unayajua vizuri kuliko sisi kwani wewe ni mwanasheria mbobezi uliyepitia mengi. Hata wewe Mzee Wasira alipokushinda kwenye ubunge wa jimbo la Bunda miaka ile ulimburuza mahakamani, kilichotokea kule unakifahamu.

Sasa kwa nini huwashauri hao wanaolalamika kwenye huu uchaguzi wa s/mitaa kuyapeleka malalamiko yao mahqkamani ili mbichi na mbivu zikajulikane huko? Ikajulikane kama ni kweli polisi au hao wasimamizi wa uchaguzi kweli walihusika na wizi wa kura aka kura fake na mengineyo hususani yale ya kuengua wagombea kinyume na sheria na kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa.
wewe una akili mbili tu ya kuvukia barabara usife na ya kujua njia ya chooni sasa unaanzaje kujibu hoja za jaji warioba
 
Ni kawaida katika nchi zote duniani baada ya chaguzi zo zote za kisiasa upande ulioshindwa kulalamika kufanyiwa ndivyo sivyo.

Kushindwa kura kunauma, na walioshindwa ni haki yao kulalamika kuwa uchaguzi haukuwa fare and transparent na hivyo ni batili. Kwamba kura ziliibiwa, kulikuwa na kura fake, ujumlishaji wa kura haukuwa sahihi, wagombea walienguliwa kinyume na sheria etc etc

Utaratibu kote duniani pamoja na hapa kwetu (isipokuwa kwa uchaguzi wa raisi), malalamiko kama hayo huwataka walalamikaji kuyafikisha mahakamani wakiwa na ushahidi. Upande wa walalamikiwa (serikali, tume ya uchaguzi etc) hupewa nafasi ya kujitetea na kutoa ushahidi kabla ya mahakama kutoa maamuzi aka hukumu.

Haya yote unayajua vizuri kuliko sisi kwani wewe ni mwanasheria mbobezi uliyepitia mengi. Hata wewe Mzee Wasira alipokushinda kwenye ubunge wa jimbo la Bunda miaka ile ulimburuza mahakamani, kilichotokea kule unakifahamu.

Sasa kwa nini huwashauri hao wanaolalamika kwenye huu uchaguzi wa s/mitaa kuyapeleka malalamiko yao mahqkamani ili mbichi na mbivu zikajulikane huko? Ikajulikane kama ni kweli polisi au hao wasimamizi wa uchaguzi kweli walihusika na wizi wa kura aka kura fake na mengineyo hususani yale ya kuengua wagombea kinyume na sheria na kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa.
Maccm mengi hayapendi kupokea ushauri Tena wale RADICAL CCM ndio huwapa mashinikizo WAALIMU ambao huswagwa Kama NYUMBU porini kufanya kutenda / vyovyote ama kinyume kwa manufaa ya SERIKALI ya CCM

Naungana na mzee warioba..mzee alisema haya mambo ya 2019 yamejirudia tenaa 2024 UCHAFUZI serikali za mitaa alafu MAMA SAMIA YUPO KIMYAA

Ndipo watu Wana MMISS JK gwiji wa demokrasia Tanzania baba wa multipartism in Tanzania
 
Ni kawaida katika nchi zote duniani baada ya chaguzi zo zote za kisiasa upande ulioshindwa kulalamika kufanyiwa ndivyo sivyo.

Kushindwa kura kunauma, na walioshindwa ni haki yao kulalamika kuwa uchaguzi haukuwa fare and transparent na hivyo ni batili. Kwamba kura ziliibiwa, kulikuwa na kura fake, ujumlishaji wa kura haukuwa sahihi, wagombea walienguliwa kinyume na sheria etc etc

Utaratibu kote duniani pamoja na hapa kwetu (isipokuwa kwa uchaguzi wa raisi), malalamiko kama hayo huwataka walalamikaji kuyafikisha mahakamani wakiwa na ushahidi. Upande wa walalamikiwa (serikali, tume ya uchaguzi etc) hupewa nafasi ya kujitetea na kutoa ushahidi kabla ya mahakama kutoa maamuzi aka hukumu.

Haya yote unayajua vizuri kuliko sisi kwani wewe ni mwanasheria mbobezi uliyepitia mengi. Hata wewe Mzee Wasira alipokushinda kwenye ubunge wa jimbo la Bunda miaka ile ulimburuza mahakamani, kilichotokea kule unakifahamu.

Sasa kwa nini huwashauri hao wanaolalamika kwenye huu uchaguzi wa s/mitaa kuyapeleka malalamiko yao mahqkamani ili mbichi na mbivu zikajulikane huko? Ikajulikane kama ni kweli polisi au hao wasimamizi wa uchaguzi kweli walihusika na wizi wa kura aka kura fake na mengineyo hususani yale ya kuengua wagombea kinyume na sheria na kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa.
Mmmm.....! Dah....! Huenda kaburini kukawa na mawazo mengi yanayofaa/yanayojenga kuliko ya sisi tulio hai.
 
Ni kawaida katika nchi zote duniani baada ya chaguzi zo zote za kisiasa upande ulioshindwa kulalamika kufanyiwa ndivyo sivyo.

Kushindwa kura kunauma, na walioshindwa ni haki yao kulalamika kuwa uchaguzi haukuwa fare and transparent na hivyo ni batili. Kwamba kura ziliibiwa, kulikuwa na kura fake, ujumlishaji wa kura haukuwa sahihi, wagombea walienguliwa kinyume na sheria etc etc

Utaratibu kote duniani pamoja na hapa kwetu (isipokuwa kwa uchaguzi wa raisi), malalamiko kama hayo huwataka walalamikaji kuyafikisha mahakamani wakiwa na ushahidi. Upande wa walalamikiwa (serikali, tume ya uchaguzi etc) hupewa nafasi ya kujitetea na kutoa ushahidi kabla ya mahakama kutoa maamuzi aka hukumu.

Haya yote unayajua vizuri kuliko sisi kwani wewe ni mwanasheria mbobezi uliyepitia mengi. Hata wewe Mzee Wasira alipokushinda kwenye ubunge wa jimbo la Bunda miaka ile ulimburuza mahakamani, kilichotokea kule unakifahamu.

Sasa kwa nini huwashauri hao wanaolalamika kwenye huu uchaguzi wa s/mitaa kuyapeleka malalamiko yao mahqkamani ili mbichi na mbivu zikajulikane huko? Ikajulikane kama ni kweli polisi au hao wasimamizi wa uchaguzi kweli walihusika na wizi wa kura aka kura fake na mengineyo hususani yale ya kuengua wagombea kinyume na sheria na kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa.
Yaan kati ya kitu ambacho wapinzan walijichanganya ni kuingia kwenye huu uchaguz wakijua fika mwamuz wa matokeo ni CCM,kwanza wagombea wa upinzani walienguliwa mbaya Zaid CCM ikajitangazia ushindi wa mezani,Hawa wapinzan wasije wakathubutu kuingia tena kwenye uchaguz wa namna hii,nafikiri hata mwakani yatatokea haya haya halafu wataanza kulalamika bila kuchukua hatua,Warioba anastahili tuzo amegusa penyewe na ni mzalendo
 
Hayo malalamiko ya kuenguliwa waliyapeleka mahakamani? Tatizo letu ni kuyapeleka mtandaoni tukidhani kwamba huko mtandaoni ndiko mahakama and every thing!
Kwanza Kuna wadau walipeleka kesi mahakamani ili kuzuia tamisemi isisimamie huu uchaguz lakin kilichotokea ni aibu,nakumbuka miaka ya nyuma ,Brigedia Jenerali Mstaafu Hasan Ngwilizi(MB)alikuwa Waziri wa tamisemi ,kipindi hicho haki ilikuwa inatendeka ,lakin kilichofanyika mwaka huu ni aibu
 
Back
Top Bottom