johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tusizunguke mbuyu,tuanzie kwenye Rasimu ya pili ya Tume ya Jaji WariobaJaji Warioba amekitaka Kikosi kazi cha Profesa Mukandala na Zitto Kabwe kukusanya maoni ya Wananchi wa kawaida badala ya kualika wasomi na Watu maarufu pekee
Jaji Warioba amesema makundi ya Kikanda, Kidini, kikabila na kisiasa vikiachiwa na kuchekewa vitaligawa taifa
Chanzo: ITV habari
Kazi ya kukusanya maoni kuhusu katiba ilishafanywa na jaji Warioba.Jaji Warioba amekitaka Kikosi kazi cha Profesa Mukandala na Zitto Kabwe kukusanya maoni ya Wananchi wa kawaida badala ya kualika wasomi na Watu maarufu pekee
Jaji Warioba amesema makundi ya Kikanda, Kidini, kikabila na kisiasa vikiachiwa na kuchekewa vitaligawa taifa
Chanzo: ITV habari
Mchakato wa katiba,tuboreshe sheria na muundo wa bunge maalumu la katiba Kisha twende kwenye bunge la katiba.Hakuna haja ya kukusanya maoni na kuteuwa tewua watu.Mzee ana busara za kutosha! Tena nashauri SAMIA amteue tena kumalizia katiba iliyo kwama
Ni kweli kabisa eti kikosi kazi!!?Kazi ya kukusanya maoni kuhusu katiba ilishafanywa na jaji Warioba.
Hicho kikosi kazi ni batili na ufujaji wa pesa za umma.
Ccm na Serikali waache kuwafanya Watanzania mazoba.
Mfano:-Jaji Warioba amekitaka Kikosi kazi cha Profesa Mukandala na Zitto Kabwe kukusanya maoni ya Wananchi wa kawaida badala ya kualika wasomi na Watu maarufu pekee
Jaji Warioba amesema makundi ya Kikanda, Kidini, kikabila na kisiasa vikiachiwa na kuchekewa vitaligawa taifa
Chanzo: ITV habari
Walishawahi kuwa na Chao lini na awamu gani? Au unataka kuwakumbusha yule aliyepora korosho zao? Wakapiga MOSHI MWEUPE WQKAMALIZA KAZI.Watu wa kipato cha chini hawana chao awamu hii.
Wenye nafasi ni wenye pesa na wawekezaji.
Haaahaa mkuu ushakumbana nao nini?Huyo akiongea unaweza dhani mtu,anamiliki kampun ya mikopo platnum credit,walimu wanaumizwa kule,huyo jamaa mla migebuka hamna kitu,proff nae wale wale
Huyu babu anafaa sn kuwa baba wa taifaJaji Warioba amekitaka Kikosi kazi cha Profesa Mukandala na Zitto Kabwe kukusanya maoni ya Wananchi wa kawaida badala ya kualika wasomi na Watu maarufu pekee.
Jaji Warioba amesema makundi ya Kikanda, Kidini, kikabila na kisiasa vikiachiwa na kuchekewa vitaligawa taifa.
Chanzo: ITV habari
Na kwanini hiki kikosi kazi fake kinapokea maoni pekee ya watu wa Dar?Mfano:-
1. Kundi la vijana waliomaliza vyuo vikuu na vya kawaida
2. Kundi la wakulima , wafugaji, wavuvi na wachimbaji wadogo
3. Wapiga debe standi
4. Mama ntilie
5. Wakinamama walioko masokoni
6. Wafanya biashara na wamachinga
7. Wamasai waliohamishwa ngorongoro
8. Walimu, madaktari, madereva, ect
9. Wanachama wa vyama vya siasa huko vijijini
10. Wastaafu wote
Tena watu wa Dar pekeeWatu wa kipato cha chini hawana chao awamu hii.
Wenye nafasi ni wenye pesa na wawekezaji.
Wanajazwa wanaCCM pekeeMchakato wa katiba,tuboreshe sheria na muundo wa bunge maalumu la katiba Kisha twende kwenye bunge la katiba.Hakuna haja ya kukusanya maoni na kuteuwa tewua watu.
Uwe unatumia akili basiHuyo akiongea unaweza dhani mtu,anamiliki kampun ya mikopo platnum credit,walimu wanaumizwa kule,huyo jamaa mla migebuka hamna kitu,proff nae wale wale
Watake wasitake watarudisha Rasimu ya Warioba mezani.Jaji Warioba amekitaka Kikosi kazi cha Profesa Mukandala na Zitto Kabwe kukusanya maoni ya Wananchi wa kawaida badala ya kualika wasomi na Watu maarufu pekee.
Jaji Warioba amesema makundi ya Kikanda, Kidini, kikabila na kisiasa vikiachiwa na kuchekewa vitaligawa taifa.
Chanzo: ITV habari