Jaji Warioba: Kubadili sheria nyingi katika kila Bunge kunaonesha kuna umuhimu wa Katiba Mpya

Jaji Warioba: Kubadili sheria nyingi katika kila Bunge kunaonesha kuna umuhimu wa Katiba Mpya

Maamuzi yao ufanywa kwa mihemko na kwa kumfurahisha yule aliopo madarakan
 
na walilipitisha wao wenyewe kama bunge.leo wanatuona kama nyumbu waliokosea njiaaa kabisaaa...
Hoja yao ni kuwa swala la katiba mpya litaleta vurugu, hii ni risk assumption. Maisha yetu yote tuna take risks. Kuna risk kubwa kama ya mwanamke kubeba ujauzito, kuna wanaokufa kwa uzazi lakini bado wanawake tuna zaa na dunia inaongezeka.
 
Hoja yao ni kuwa swala la katiba mpya litaleta vurugu, hii ni risk assumption. Maisha yetu yote tuna take risks. Kuna risk kubwa kama ya mwanamke kubeba ujauzito, kuna wanaokufa kwa uzazi lakini bado wanawake tuna zaa na dunia inaongezeka.
hapana ukisema hvo inamana hii katiba itamnufaisha mtu binafsi ama wanainchi kwa ujumla.na kama walijua kuwa ni risk??why waliipitisha bungeni?? na wakatengeneza kama yenye bunge ndani yakee na alikuwa kuwa naibu mwenyekiti ndo huyo sahvi ni rais wa serikali kuu
 
Wanabutuana na marisasi mwisho wa siku watakuja kuwabutua huko mjengini na kujimaliza KBS


Inchi ishachafuka waache wakumbatie katiba za kianalogia na maTOZO yao.
 
siandiki tittle.mana mtanielewa tuu.bunge letu kila kinachopelekwa bungeni kinapitishwa bila kujua madhara baadae ama changamoto watakazokutana nazo....wakidhani watanzania washazoea kupelekeshwa...na kujiamlia wao.leo KATIBA wanaichukulia kama mzigo kwao..wakati wanapitisha sheria bungeni warasimishe katiba maana yao ilikuwa nini.na why sahvi waione kama sio kipaumbelee????
Wananchi wengi walilalamikia mitandao haikamati hadi wapande kwenye miti!wabunge wakaona ni fursa kupitisha kodi ya uzalendo!Wazee ni hazina kubwa Tuwatumie.
 
Kutengeneza katiba si kosa na wala sio dhambi,nashangaa watu wengi wanaipinga utadhani kuna sehemu inapendekeza watu wafungwe,wafukuzwe kwenye nyumba zao nimaboresho tuu ya hii iliyopo.Tukubali katiba mpya kwa maendeleo yetu na nchi yetu.
 
UN ni superior Kwa EU so I actually underestimated his eminence! Mtu ameshakua Waziri Mkuu kwani Mwalimu hakuona wengine? Kastaafu ila bado kaitwa kuongoza mabadiliko ya katiba then anakuja lofa mmoja wa UVCCM (ambaye hata mtaani kwake hana alicho impact jamii yake) ku disqualify credibility ya Mzee Warioba.

U should be ashamed of urself, wivu na chuki kwa mtu aliekuzidi kila kitu kuanzia akili mpaka mchango kwenye jamii hautakusaidia lolote.
Kubishana na lofa ambaye hata hafahamu tofauti ya EU na UN ni kujishushia hadhi. Go ahead enjoy with your I d i o t.
 
Kubishana na lofa ambaye hata hafahamu tofauti ya EU na UN ni kujishushia hadhi. Go ahead enjoy with your I d i o t.
Hahahaha Pole sana naona imekuuma mnoo kusikia jamaa ni international figure. Kama mabeberu wenye ubaguzi wa rangi walimpa u-judge, we machinga wa Manzese ndio unadhani unaweza chafua legacy yake!? Twat!
 
technically

Kwa hiyo akili yako inakutuma kuwa Katiba mpya itawasaidia Chadema ili mpate wabunge?
NDIO,
Pawe na TUME HURU ya kuandaa, kusimamia na kuendesha chaguzi zote kwa ngazi zote.
Uwanja wa SIASA uwe tambarare vilevile muda wote kwa wote.
Wananchi watapiga kura, kuchagua na hatimae kupata washindi HALALI , HALISI kwa haki. Rais mteule asiapishwe mpaka baada ya (siku 45) kusikilizwa kwa kesi na mapingamizi dhidi yake.
Pawe na MAHAKAMA huru ambamo pia kutakuwa na mahakama ya katiba.
Pawe na BUNGE HURU litakalopitisha teuzi za watendaji wakuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama.
 
Back
Top Bottom