Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania Jaji Joseph Sinde Warioba akizungumza na wanahabari leo Jumatano Disemba 04, 2024, mkoani Dar es Salaam kuhusu uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Novemba 27, 2024 amesema:
"Haiwezekani kwamba wananchi waamini kwamba walioenguliwa (Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024) walikosea, tena kwa maelfu, lakini wanaoenguliwa ni wa upande mmoja, kwamba kuna vyama ambavyo wanachama wake wanajua wanafuata masharti na kuna vyama ambavyo hawafuati, tunazungumzia Watanzania wa kawaida hapa."
"Haiwezekani, na wala tusije tukadanganyika kwamba kuna maelezo kwamba sababu kubwa ya watu kuenguliwa ni wao kutofuata masharti, tutakuwa tunajidanganya kama tukiamini hivyo."
"Haiwezekani kwamba wananchi waamini kwamba walioenguliwa (Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024) walikosea, tena kwa maelfu, lakini wanaoenguliwa ni wa upande mmoja; kwamba kuna vyama ambavyo wanachama wake wanajua wanafuata masharti na kuna vyama ambavyo hawafuati, tunazungumzia Watanzania wa kawaida hapa. Haiwezekani, na wala tusije tukadanganyika kwamba kuna maelezo kwamba sababu kubwa ya watu kuenguliwa ni wao kutofuata masharti, tutakuwa tunajidanganya kama tukiamini hivyo."- Jaji Warioba.
Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania Jaji Joseph Sinde Warioba akizungumza na wanahabari siku ya Jumatano Desemba 04, 2024 mkoani Dar es Salaam kuhusu uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Novemba 27, 2024.
Off course, ni MJINGA na MPUMBAVU peke yake ataamini kuwa watu wanaenguliwa kihalali.
Haiwezekazi watu wale wale, wanaishi kwenye mazingira yale yale, wanasoma na wanafanya kazi kwenye mazingira yale yale, wanafanya shuguli zilezile halafu watofautiane tu kwenye kujaza form kwa vile moja ni CCM na mwingine ni Chadema.
Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania Jaji Joseph Sinde Warioba akizungumza na wanahabari leo Jumatano Disemba 04, 2024, mkoani Dar es Salaam kuhusu uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Novemba 27, 2024 amesema:
"Haiwezekani kwamba wananchi waamini kwamba walioenguliwa (Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024) walikosea, tena kwa maelfu, lakini wanaoenguliwa ni wa upande mmoja; kwamba kuna vyama ambavyo wanachama wake wanajua wanafuata masharti na kuna vyama ambavyo hawafuati, tunazungumzia Watanzania wa kawaida hapa. Haiwezekani, na wala tusije tukadanganyika kwamba kuna maelezo kwamba sababu kubwa ya watu kuenguliwa ni wao kutofuata masharti, tutakuwa tunajidanganya kama tukiamini hivyo."
Mbona kuhusu hilo hakuna anayr amini.Na hatavhao walio shindwa pia hakuna anaye amini. Pia kuhusu uchaguzi hakuna mtu yoyote mwene akili timamu anaweza kuamini kwa mazingira haya utaweza kushindana ukapata hata kitikimoja labda upewe kama kile cha mzee ubwabwa mbeya
Bila shaka hujaelewa na kujui kitu kinaitwa " assessment " kila baada ya jambo kuisha lazima watu wenye akili timamu wafanye assessment/tatmnini na kujua changamoto na mafanikio yalikuwa wapi na nini cha kuboresha.
Wewe kwa akili zako zilizojaa ujinga wa ki halaiki unaita porojo?
Tulikuambia hapa kwamba ni mtu hayawani tu kama wewe ndiye atakaye amini kwamba kukatwa kwa wagombea wa upinzani hakukutokana na makosa yaliyotajwa na ndezi wenzio kina chengerwa!
Sasa kama ccm imejipanga kama ulivyokuwa unadai kwann waingize kura zilizopigwa na kuuwa na kukamata watu tena wakisaidiwa na Police?
Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania Jaji Joseph Sinde Warioba akizungumza na wanahabari leo Jumatano Disemba 04, 2024, mkoani Dar es Salaam kuhusu uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Novemba 27, 2024 amesema:
"Haiwezekani kwamba wananchi waamini kwamba walioenguliwa (Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024) walikosea, tena kwa maelfu, lakini wanaoenguliwa ni wa upande mmoja, kwamba kuna vyama ambavyo wanachama wake wanajua wanafuata masharti na kuna vyama ambavyo hawafuati, tunazungumzia Watanzania wa kawaida hapa."
"Haiwezekani, na wala tusije tukadanganyika kwamba kuna maelezo kwamba sababu kubwa ya watu kuenguliwa ni wao kutofuata masharti, tutakuwa tunajidanganya kama tukiamini hivyo."
CCM ni chama dhaifu kabisa hakiwezi kupata ushindi bila kuengua wapinzani na kuiba kura, wamejiridhisha kabisa hawana ushawishi wa kutosha kuweza kuchaguliwa katika uchaguzi ulio huru na wa haki.
Bila shaka hujaelewa na kujui kitu kinaitwa " assessment " kila baada ya jambo kuisha lazima watu wenye akili timamu wafanye assessment/tatmnini na kujua changamoto na mafanikio yalikuwa wapi na nini cha kuboresha.
Wewe kwa akili zako zilizojaa ujinga wa ki halaiki unaita porojo?
Tulikuambia hapa kwamba ni mtu hayawani tu kama wewe ndiye atakaye amini kwamba kukatwa kwa wagombea wa upinzani hakukutokana na makosa yaliyotajwa na ndezi wenzio kina chengerwa!
Sasa kama ccm imejipanga kama ulivyokuwa unadai kwann waingize kura zilizopigwa na kuuwa na kukamata watu tena wakisaidiwa na Police?
gentleman,
masuala ya kujitathmini, kujirekebisha na kujisahihisha ni utamaduni wa ccm pekee,
kama nyinyi hamfanyi kwa wakati wenu,
tafadhali sana msisumbue walio katika mipango mikakati ya kuhakikisha uchaguzi wa madiwani, wabunge na raisi wanashinda kwa kishindo kikuu.
hata hivyo,
unajiasses nini wakati mindset na akili yako mgando imekariri kushindwa uchaguzi na kuibiwa kura ambazo pia hauna?
that is pure nonsense gentleman