LGE2024 Jaji Warioba: Tusidanganyike kuamini walioenguliwa hawakufuata masharti

LGE2024 Jaji Warioba: Tusidanganyike kuamini walioenguliwa hawakufuata masharti

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Siku wale wanaoonekana ni wajinga wakisema sasa imetosha ndiyo ccm watajuta kwa hiki wanachokifanya sasa.
 
Gentleman,
ulieisha muda ni wewe pekeyako..

halafu,
niko mjengoni halafu tena unaniuliza niliangalia bunge mara ya nwisho lini 🤣


.Wewe ni bogus ee? 🤣
sorry gentleman, huenda hujui, but relax.

CCM itatawala nchi hii na kamwe hapatatokea mbadala wa CCM miongoni kadahaa ijayo 🐒
Ndio asante wewe kuwa mjengoni hainihusu ujinga ni kuwaiana mzee ila haialalishi ila bunge lilikuwa zamani asaivi hakuna bunge na mimi nilimaanisha zamani nilikuwaa nafuatilia ila asaivi sina muda na bunge la asaivi kutawala milele huo ni uongo halafu nafikiria watu kama wewe ambao mko mjengoni mnatukana watu ovyo inaonyesha kuwa Huna akili na ni bogus kupitiliza au ulipita viti maalum kujibishana na mjinga hio kitu siwezi ila unanifanya nikujibu mjengoni kuna wajinga sana ndo maana tumefikia tulipo ovyo kabisa
 
Muhimu zaidi uchaguzi umekwisha kwa salama na amani na viongozi kako kazini..

kufukua makaburi ni story na porojo za kupoteza muda tu.

kama taifa,
tunajiandaa na uchaguzi wa madiwani wabunge na Rais October 2025🐒
Naona mwendawazimu pungiani unaropoka tu!! Huna faida kwa yeyote, bali ni mzigo kwa kila mwenye akili timamu.

You wicked creature, better you had not been born.
 
Naona mwendawazimu pungiani unaropoka tu!! Huna faida kwa yeyote, bali ni mzigo kwa kila mwenye akili timamu.

You wicked creature, better you had not been born.
relax kamamda,
plz calm down...

kwani ni nini mbaya nimeeleza aise, hata upate mihemko na kijieleza kwa hisia kali na chuki dhidi yangu namna hiyo?

tunapoelekea kumaliza mwaka 2024, tafadhali niwie radhi sana gentleman ikiwa nimesema vibaya dhidi yako, ili hatimae kwa Neema na Baraka za Mungu tuanze upya mwaka mpya bila kinyongo wala mawaa nafsini mwa kila mdau wa jf.

Nakutakia maandalizi mema ya likizo za christmas na mwaka mpya2025 :pulpTRAVOLTA:
 
Back
Top Bottom