LGE2024 Jaji Warioba: Tusidanganyike kuamini walioenguliwa hawakufuata masharti

LGE2024 Jaji Warioba: Tusidanganyike kuamini walioenguliwa hawakufuata masharti

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Muhimu zaidi uchaguzi umekwisha kwa salama na amani na viongozi kako kazini..

kufukua makaburi ni story na porojo za kupoteza muda tu.

kama taifa,
tunajiandaa na uchaguzi wa madiwani wabunge na Rais October 2025šŸ’
Unaonyesha kiwango cha juu cha upumbavu mzee Makamba. Huyu anajiamini siyo mmoja wa wazee wa hovyo kama nyie na akina Wassira, ana guts za kuzungumzia hatma ya Tanzania, anaipenda Tanzania ni ni mzalendo wa kweli siyo mzee wa hovyo kama wewe Makamba.

Huoni madhara yanayoweza kutokea yanayopangwa na CCM kwa sababu mmeiba na mnanufaika mkijua mna polisi wa kuwalinda. Muumba hadhihakiwi wapumbavu nyie mnafikiri mtadumu kwenye wizi na mauaji kwa kutetea matumbo yenu milele?

Muache mzalendo wa kweli kaeni na Kikwetw mwizi mwenzenu
 
Muhimu zaidi uchaguzi umekwisha kwa salama na amani na viongozi kako kazini..

kufukua makaburi ni story na porojo za kupoteza muda tu.

kama taifa,
tunajiandaa na uchaguzi wa madiwani wabunge na Rais October 2025šŸ’
Acha aseme ukweli kiongozi mkongwe
 
Acha aseme ukweli kiongozi mkongwe
alishindwa kusema huo ukweli akiwa mamalakani, eti akiwa nje ya mamalaka tena kipindi na mazingira tofauti kabisa cha siasa na demokrasia dhidi ya wakatia wake, unadhani atafua dafu sasa gentleman?
tunamuheshimu kama mzazi na kiongozi muandamizi mstaafu, but he can influence nothing.

awafurahishe tu wapinzani,
but as a Nation, tunasonga mbele kwa namna ya tofauti sana bila kumsikiliza mtu au kikundi cha watu, ispokua kwa kwakuskiza sauti za wananchi na kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi.

na huu ndio ukweli halisi, mengine ni porojo tu :BASED:
 
Samia kama Magufuli, kalewa na kunogewa madaraka, hatufai
Wala Tatizo siyo samia tatizo ni mifumo yetu yakusimamia nchi. Rais anakuwa kama vile hakuchaguliwa na wananchi. Wala haangalii vipaumbele vya wananchi fedha nyingi zinakwenda kwenye Bunge ziara posho na vitu kibao visivyo na msingi. Bajeti ta trilioni 40 unakuta zote zinaishia kulipana mishahara na posho.kununua magari ya kifahali na misafara mikubwa katka ziara za viongozi. Nchi kama nchi kila kukicha inasinyaa lakini baadhi ya watumishi wa uma hasa wakisIasa wananeemeka na kuzidi kutajirika. Hii ndiyo sababu wanahakikisha kwa njia yoyote hata kwa kuua wabaki madarakani. Unadhani nini kitatotoke. Jeshi linajua kuwa wao ndiyo wanawaweka madarakani viongozi kwahiyo ili na baadhi yao waambulie kamnofu at the End na wao hawataka mnofu watataka pasu kwa pasu ndiyo hapo itakapo kuja kuwa matatizo. Mifumo ya kisiasa iachwe iende kisisa, na vyombo vya usimamizi viundiwe sheria madhubuti siyo kila mtu anawekewa kinga, kila mtu anakinga, sasa nchi ya vingozi wote wanakinga sasa uchaguzi wa nini kama tukikuchagua ukishakaa hatuwezi kukugusa na unao wateua nao unawawekea kinga hatuwezi kuwagusa, kwa maana hiyo wewe upo juu ya sheria zote za nchi.
 
Unaonyesha kiwango cha juu cha upumbavu mzee Makamba. Huyu anajiamini siyo mmoja wa wazee wa hovyo kama nyie na akina Wassira, ana guts za kuzungumzia hatma ya Tanzania, anaipenda Tanzania ni ni mzalendo wa kweli siyo mzee wa hovyo kama wewe Makamba.

Huoni madhara yanayoweza kutokea yanayopangwa na CCM kwa sababu mmeiba na mnanufaika mkijua mna polisi wa kuwalinda. Muumba hadhihakiwi wapumbavu nyie mnafikiri mtadumu kwenye wizi na mauaji kwa kutetea matumbo yenu milele?

Muache mzalendo wa kweli kaeni na Kikwetw mwizi mwenzenu
kujiamini ni sawa tu gentleman,
but the muzee can influence nothing as far as Tanzanian politics is concerned...

alipaswa kurekebisha anayoona ni dosari au kasoro akiwa bado yuko mamalakani.
si aliwahi kushindwa uchaguzi huko kanda ya ziwa akazira? :pedroP:

kwamba sasa hivi eti ndio anaona kuna changamoto?

au ndio ile mzee akizeeka sana anakua ana deka na kuact kama mtoto?
 
Huyu mzee ni hazina Kwa taifa.kasema ukweli kabisa kuwa huyu mama kabaribu sana uchaguzi wa serikali ya mitaa Kwa kuielekeza wagombea ambao siyo wa ccm waenguliwe.Anatuharibia sana Nchi yetu.
 
Muhimu zaidi uchaguzi umekwisha kwa salama na amani na viongozi kako kazini..

kufukua makaburi ni story na porojo za kupoteza muda tu.

kama taifa,
tunajiandaa na uchaguzi wa madiwani wabunge na Rais October 2025šŸ’
Rubbish wewe chawa unawezeja kumjibu huyu baba lao CCm original! nyie fake tena chawa where is your audacity!?
 
Rubbish wewe chawa unawezeja kumjibu huyu baba lao CCm original! nyie fake tena chawa where is your audacity!?
nyumbu umekurupuka mkurupuko wa mwendo kasi aise, dah!

halafu mbona huna point ni mihemko tu? :pedroP:
 
nyumbu umekurupuka mkurupuko wa mwendo kasi aise, dah!

halafu mbona huna point ni mihemko tu? :pedroP:
Sasa wee kuku pori bata mzinga utajilinganisha na jaji warioba? Nchi imejaa chawa kunguni na panya kama wewe maghala ya chakula hayadumu!
 
Mzee apumzike Sasa! Katumikia taifa kadri alivyoweza, narudia apumzike!

Hata yeye hakuwa mfano mwema sana kwenye uongozi wake! Gongo alipiga na fegi hata akiwa kwenye kikao Cha hadhara!

By the way alikuwa wapi huyu 2019 wakati haya yanaasisiwa?
 
Uchaguzi huu ni chukizo kwa Mungu, Mungu ameanza kupiga kofi!
kama Taifa tunamshukuru Mungu kwa yote katika uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika kwa amani kote nchini Nov.27,2024.

ni matuamaini ya waTanzania wote kwamba,
Neema na Baraka za Mungu, zitatamalaki na kutawala katika uchaguzi mkuu ujao Oct.2025, wa madiwani, wabunge na Rais.

Mungu Ibariki Tanzania na watu wake. :pulpTRAVOLTA:
 
Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania Jaji Joseph Sinde Warioba akizungumza na wanahabari leo Jumatano Disemba 04, 2024, mkoani Dar es Salaam kuhusu uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Novemba 27, 2024 amesema:

"Haiwezekani kwamba wananchi waamini kwamba walioenguliwa (Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024) walikosea, tena kwa maelfu, lakini wanaoenguliwa ni wa upande mmoja, kwamba kuna vyama ambavyo wanachama wake wanajua wanafuata masharti na kuna vyama ambavyo hawafuati, tunazungumzia Watanzania wa kawaida hapa."

"Haiwezekani, na wala tusije tukadanganyika kwamba kuna maelezo kwamba sababu kubwa ya watu kuenguliwa ni wao kutofuata masharti, tutakuwa tunajidanganya kama tukiamini hivyo."
Mzee mwenye msimamo dhabiti na mapenzi kwa Tanganyika yetu
 
alishindwa kusema huo ukweli akiwa mamalakani, eti akiwa nje ya mamalaka tena kipindi na mazingira tofauti kabisa cha siasa na demokrasia dhidi ya wakatia wake, unadhani atafua dafu sasa gentleman?
tunamuheshimu kama mzazi na kiongozi muandamizi mstaafu, but he can influence nothing.

awafurahishe tu wapinzani,
but as a Nation, tunasonga mbele kwa namna ya tofauti sana bila kumsikiliza mtu au kikundi cha watu, ispokua kwa kwakuskiza sauti za wananchi na kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi.

na huu ndio ukweli halisi, mengine ni porojo tu :BASED:
Sahihi mkuu unachokisema lakini kukumbushana wakati mwingine ni muhimu kwa upande wa warioba toka kipindi cha rasimu ya katiba mpya

Na matukio kadha wa kadha amekuwa akisema wazi bila kupepesa tungepata ata watano kama hawa viongozi wa waandamizi ingekuwa poa sana

Maana wanajua nchi ilipotoka toka na inakoelekea wakati wa uongozi wake huwez tofautisha na kipindi hiki cha GEN Z mkuu.

Technology imekuwa sana elimu imeongezeka na tunajua impact yake mkuu
 
Sasa wee kuku pori bata mzinga utajilinganisha na jaji warioba? Nchi imejaa chawa kunguni na panya kama wewe maghala ya chakula hayadumu!
relax kidogo basi msukule wa siasa za Tz:pedroP:

mimi sifanani na kibwengo chochote na wala si sawa kujifananisha au kunifananishi na yeyote kwasababu hatufanani.

ni vizuri kufahamu kwamba kama binadamu, hatulingani daima, na hiyo ndiyo asili ya uumbaji wa Mungu.

kila moja ana karama na neema yake.

binafsi sina haja wala sina sababu hata moja ya kubabaika na yeyote dunia hii ispokua kusema na kuambiana ukweli tu ndiyo wajibu wangu wa maana zaidi:pulpTRAVOLTA:
 
relax kidogo basi msukule wa siasa za Tz:pedroP:

mimi sifanani na kibwengo chochote na wala si sawa kujifananisha au kunifananishi na yeyote kwasababu hatufanani.

ni vizuri kufahamu kwamba kama binadamu, hatulingani daima, na hiyo ndiyo asili ya uumbaji wa Mungu.

kila moja ana karama na neema yake.

binafsi sina haja wala sina sababu hata moja ya kubabaika na yeyote dunia hii ispokua kusema na kuambiana ukweli tu ndiyo wajibu wangu wa maana zaidi:pulpTRAVOLTA:
Ukweli ni upi we chawa kunguni nyau pori!? Narudia tena Nchi itapona tutakapoondokana na aina ya viumbe kama wewe wala sikutambui kama binadamu!!
 
Sahihi mkuu unachokisema lakini kukumbushana wakati mwingine ni muhimu kwa upande wa warioba toka kipindi cha rasimu ya katiba mpya

Na matukio kadha wa kadha amekuwa akisema wazi bila kupepesa tungepata ata watano kama hawa viongozi wa waandamizi ingekuwa poa sana

Maana wanajua nchi ilipotoka toka na inakoelekea wakati wa uongozi wake huwez tofautisha na kipindi hiki cha GEN Z mkuu.

Technology imekuwa sana elimu imeongezeka na tunajua impact yake mkuu
gentleman,
ningemsifu mno mzee endapo kwanza ange appreciate na recognize hatua muhimu na kubwa mno za kimaendeleo zilizofikiwa katika nyanja za kisiasa, kijamii, na kiuchumi nchini, tangua alipong'atuka uongozini wakati wake.

halafu sasa,
ndipo angekuja na maoni, mtazamo, mapendekezo na ushauri mbadala wa namna ya kuondokana na dosari na kasoro mbalimbali katika chaguzi mbalimbali humu nchini.

kulalamika na kulaumu pekeyake ni kama vile anaona wivu tu kwamba yeye hayupo madarakani na kwahivyo angekua yeye angefanya mabo tofauti na yalivyo sasa, anasahau kua alikua na fursa hiyo lakini hakufanya lolote.

ni wazi ana kosea,
na anonekana kama mtu mwenye chuki binafsi au kinyongo dhidi ya serikali na kama mpinzani asie na ushawishi anaelazimisha kutrendi tu bila kua na athari zozote kisiasa :pulpTRAVOLTA:
 
Ukweli ni upi we chawa kunguni nyau pori!? Narudia tena Nchi itapona tutakapoondokana na aina ya viumbe kama wewe wala sikutambui kama binadamu!!
gentleman,
kua muungwana kidogo, haya mambo ni kujipanga tu, yanahitaji hekima na busara ya kipekee sana,

CCM itaendelea kuongoza dola ya Tanzania na kuwaletea wananchi maendeleo kijamii, kisiasa na kiuchumi bila mbambamba ya kikundi au taifa jingine lolote duniani.

CCM itakuwepo daima na wala hakuna dalili za kutokuwepo kwake katika kulinda umoja, amani na utangamano miongoni mwa waTanzania wote! :BASED:
 
Back
Top Bottom