Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 3,506
- 2,606
Nilitaka kuuliza hili li Tlaatlaah lina maoni gani, kumbe tayari limeshatoa uharo wake.Muhimu zaidi uchaguzi umekwisha kwa salama na amani na viongozi kako kazini..
kufukua makaburi ni story na porojo za kupoteza muda tu.
kama taifa,
tunajiandaa na uchaguzi wa madiwani wabunge na Rais October 2025π
Hawa tuwaloge hata kuwa kuwalogaBwana ananiambia ndani ya siku 67 nitaona ,asente Mungu wangu
Huyu mzee ni mwana ccm pekee aliyebaki na ubongo ,wengine wote mafuvu yamejaa kamasi na topeWaziri Mkuu mstaafu wa Tanzania Jaji Joseph Sinde Warioba akizungumza na wanahabari leo Jumatano Disemba 04, 2024, mkoani Dar es Salaam kuhusu uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Novemba 27, 2024 amesema:
"Haiwezekani kwamba wananchi waamini kwamba walioenguliwa (Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024) walikosea, tena kwa maelfu, lakini wanaoenguliwa ni wa upande mmoja, kwamba kuna vyama ambavyo wanachama wake wanajua wanafuata masharti na kuna vyama ambavyo hawafuati, tunazungumzia Watanzania wa kawaida hapa."
"Haiwezekani, na wala tusije tukadanganyika kwamba kuna maelezo kwamba sababu kubwa ya watu kuenguliwa ni wao kutofuata masharti, tutakuwa tunajidanganya kama tukiamini hivyo."
Kwanza fomu si karatasi ya mtihani. Ni kuonesha tu vigezo, na kama kuna makosa yanasahihishwa tu badala ya kuenguana. Ikitokea mjazaji mwanaume (Me) kakosea na kujiandika mwanamke (Ke), anaitwa na kurebisha mara moja kama tunavyorekebishana benki.Off course, ni MJINGA na MPUMBAVU peke yake ataamini kuwa watu wanaenguliwa kihalali.
Haiwezekazi watu wale wale, wanaishi kwenye mazingira yale yale, wanasoma na wanafanya kazi kwenye mazingira yale yale, wanafanya shuguli zilezile halafu watofautiane tu kwenye kujaza form kwa vile moja ni CCM na mwingine ni Chadema.
Mungu yupo kazini , mkuuHawa tuwaloge hata kuwa kuwaloga
Tupambane wenyeweMungu yupo kazini , mkuu
Mkuu, ulichoongea wewe ndio sensible? Uko nchi gani wewe?ndugu mjinga mwenye mihemko,
hicho ndicho pekee unaweza kuague na wadau wa JF vinginevyo ni useless and completely nonsense π
UWT hao waacheMkuu, ulichoongea wewe ndio sensible? Uko nchi gani wewe?
Mengine ni majangili tupuHuyu mzee ni mwana ccm pekee aliyebaki na ubongo ,wengine wote mafuvu yamejaa kamasi na tope
Amenigusa aliposema "...ipo siku polisi na watagawanyika madhara yake mtayaona""Haiwezekani kwamba wananchi waamini kwamba walioenguliwa (Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024) walikosea, tena kwa maelfu, lakini wanaoenguliwa ni wa upande mmoja, kwamba kuna vyama ambavyo wanachama wake wanajua wanafuata masharti na kuna vyama ambavyo hawafuati, tunazungumzia Watanzania wa kawaida hapa."
Waambie ukweli Hawa machawa hawaelewi kitu chochote kabisa! Halafu Kuna mwehu mmoja anaitwa kigogo media anasema Warioba asijihusishe na Siasa muda wake eti umeisha! Pumbavu kabisa! Likigogo sijui linataka Nini!!! Shenzi sana!CCM ni chama dhaifu kabisa hakiwezi kupata ushindi bila kuengua wapinzani na kuiba kura, wamejiridhisha kabisa hawana ushawishi wa kutosha kuweza kuchaguliwa katika uchaguzi ulio huru na wa haki.
Mapambo bila Mungu mkuu hayawekani, Mungu anayo nafasi yake katika hiliTupambane wenyewe
relax gentleman,Mkuu, ulichoongea wewe ndio sensible? Uko nchi gani wewe?
Sawa CHAWA, kapokee mgao wako.Muhimu zaidi uchaguzi umekwisha kwa salama na amani na viongozi kako kazini..
kufukua makaburi ni story na porojo za kupoteza muda tu.
kama taifa,
tunajiandaa na uchaguzi wa madiwani wabunge na Rais October 2025π