LGE2024 Jaji Warioba: Tusidanganyike kuamini walioenguliwa hawakufuata masharti

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Jifunze kuandika. Weka paragraph, Aya. Vituo. Usiwe kama unaharisha tu. Heshimu wasomaji wako.
 
Jaji Warioba ni kati ya vijana waaminifu wa Mwl JK Nyerere waliobaki. Hawa mafisadi na wenye tamaa ya madaraka hawawezi kumpenda hata kidogo.
 
Unaonyesha kiwango cha juu cha upumbavu Makamba, wakati akiwa madarakani kulikuwa kuna huu upumbavu? Unazumza mipasho kama Hadija Kopa au changudoa wa Ohio, kushindwa kwake uchaguzi na upumbavu mliofanya kunahalalishaje?

Yaani Makamba wewe ni mjinga hadi inafikirisha wapumbavu kama nyie ndio mmeshika hatma ya taifahili? Kuvurugwa kwa amani na mshikamano wa nchi kwa ustawi wa tumbo lako hiyo siyo issue? Kaa na upumbavu wako lakini mjue Tanzania haitoangamizwa na wapumbavu nyie, Muumba hawezi kukubali it's a matter of time
 
Bh basi inainekana mkuu wew unaakili kubwa sana kama aliens, linapokuja suala zima la maslah ya taifa.Sema hao wananchi mnaoskiliza maoni yao watakuwa bado kwenye incubater
 
Bhbasi inainekana mkuu wew unaakili kubwa sana kama aliens, linapokuja suala zima la maslah ya taifa.Sema hao wananchi mnaoskiliza maoni yao watakuwa bado kwenye incubater
gentleman,
hapa si suala la akili,
wananchi na waTanzania wameshaamua kupitia sanduku la kura Nov 27, na hiyo imeisha hiyo,

kama taifa hivi sasa,
watu wapo kazini kuongoza na kutumikia kutumikia wengine,

na huku maandalizi ya uchaguzi mkuu wa Oct 2025 yakichukua nafasi yake.

Mzee badala ya kulea wajukuu zake nyumbani, anakumbushia machungu na kinyongo cha kushindwa kwake uchaguzi wa bunda miaka hiyo,

hiyo ni nonsense,
ni Lazima awe na heshima, alipokua mamlakani aliheshimiwa sana. Hivi sasa kuna watu wapo mamlakani kazi inafaa awaheshimu, sio kumbwelambwela kama mtu mwenye mawenge na aliekosa uelekeo πŸ’
 
Gentleman,
mihemko, ghadhabu na makasiriko ya kinyumbu siku zote ni useless na completely nonsense kwenye mjadala muhimu kama hii.

Mambo haya ni kujipanga tu my friend. Mzee hakua na maono alipokua mamlakani kama anachokiona leo kinamkera.
Inaonekana ni miongoni mwa viongozi waandamizi wa Serikali wakati huo ambae madaraka yalimlevya akawa mtu wa business as usual, na ndio maana aliwahi kushindwa vibaya sana uchaguzi huko bunda na upinzani.

CCM ndicho chama kilichobeba dhamana ya uongozi wa kisiasa wa nchi hii na ndicho pekee chenye mamlaka ya kisheria kinachoaminiwa na kutegemewa na waTanzania kuiongoza dola ya Tanzania sasa na wakati ujao.

Jambo la mwisho muhimu sana,
Ikiwa umefikia ukomo wa mwisho wa fikra mpya, kua muungwana, pumzika au kajiliwaze kwenye hoja nyepesi kwenye majukwaa mengine, kuliko kumbwelambwela hapa bila kua na hoja za maana πŸ’
 
CCM wana mambo ya kitoto sana. Kiuhlisia mpaka muda huu wanatambua fika wameshachokwa. Kilichobakia wanatumia hila za kijinga, kuwatawala watu kimabavu.
 
You will never argues with a fool like old fool Makamba, he will you down to his level and beat you with experience. And I have proved through your posts that you are an experienced fool.

Hapa lazima muibe na kupora bila hivyo hakuna kitu mtapata
 
You will never argues with a fool like old fool Makamba, he will you down to his level and beat you with experience. And I have proved through your posts that you are an experienced fool.

Hapa lazima muibe na kupora bila hivyo hakuna kitu mtapata
hakuna wa kubabaika na dhana potofu kama hizo gentleman,

uchaguzi Tanzania utafanyika kwa mujibu wa katiba, na atakaeshinda uchaguzi huo atawajibika kushika dola, kuunda serikali na kuongoza nchi na wananchi kuelekea maendeleo ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.

hakuna mbambamba wala kumbwelambwela kwenye hilo, upende usipende
 
acha ushrikina, uchawi na ramli chonganishi.

Mungu sio wa hayo mambo gentleman πŸ’
Ccm mbele kwa nyuma bila kupitia mlango wa nyuma hakuna anaewaelewa na ndo maana mtaani mnapigwa ukweli ni huu na mimi sina chama sio mlengwa wa siasa kabisa ila 27 Nov hakukuwa na uchaguzi bali uchafuzi na kutumia dola na mamlaka yaliyopo kuwatishia watu kutekana na kuua wala sio mchongo mambo yanabadilika watu wakichoka ndo mtaanza kuona nyeusi hakuna anaeilewa ccm kwa yanayoendelea hakuna hakuna
 
acha ushrikina, uchawi na ramli chonganishi.

Mungu sio wa hayo mambo gentleman πŸ’
Mkuu sisi wote ni wamoja muhimu tujenge nchi na kilichobora kwa ajili ya kizazi chetu cha baadae ila ccm imeisha muda ccm ilikuwa enzi za mkapa na kikwete tulipata bunge imara sana asaivi sikumbuki ni lini nimewahi kuangalia bunge letu imekuwa ndio mzee tu ila kiukweli ccm imechoka bila kuiba kura na kuwatumia polisi hamurudi madarakani hakuna uchaguzi wala anaewaelewa hakuna
 
Gentleman,
mawenge ya Chadema ni utumwa mzito sana,

naeutatumikishwa mpaka uote vigimbi na hutaona mwangaza gentleman.
This is free advice to you, kimbia kwenye huo utumwa πŸ’
 
Vilevile alisema ipo siku polisi watagawanyika

 
Gentleman,
ulieisha muda ni wewe pekeyako..

halafu,
niko mjengoni halafu tena unaniuliza niliangalia bunge mara ya nwisho lini 🀣


.Wewe ni bogus ee? 🀣
sorry gentleman, huenda hujui, but relax.

CCM itatawala nchi hii na kamwe hapatatokea mbadala wa CCM miongoni kadahaa ijayo πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…