Jaji Warioba: Viongozi na wanahabari acheni uchawa mnaumiza wananchi

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
Akizungumza mbele ya Media Council of Tanzania, waziri mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba


Jaji Warioba tumeona kwa majirani zetu jinsi ndoa ya uchawa baina ya viongozi, wasomi waandishi habari, private sector walivyopuuza habari za kero za wananchi kizazi cha Gen-Z ......
Jaji Warioba viongozi wanasema tutengeneze mazingira mazuri kwa wawekezaji, halafu tatatue kinachoitwa kero za wananchi. Kumbe hawaelewi kuwa wananchi hawana kero bali wanataka mazingira mazuri iwe ya sekta ya kilimo, utawala bora na haki lakini viongozi wao wanaona hizo ni kero ... ni kwa,sababu viongozi hawajasikiliza maoni ya wananchi hivyo madai ya fursa viongozi wanaoni ni sawa na kero.....

Ninatazama bunge la Dodoma, imekuwa fasheni kila mbunge kuanza mchango wake wa hoja kwa kutaja na kumsifia rais.

Vyombo vya habari kwa nyakati ya sasa hivi badala ya kutoa habari vimegeuka kuwa vyombo vya propaganda yaani uchawa ...

Woga umetamalaki kwa kisingizio cha self censorship/ nidhamu ya woga, hakuna habari za kiuchunguzi yaani zili zilizofayiwa research kwa kuogopa zinaweza kuwa kinzani na uchawa uliopo anasema Jaji Joseph Sinde Warioba ...

Waziri mkuu mstaafu anabainisha kuwa mwaka 1961 alifanya kazi na chombo cha media cha The Standard kabla ya kujiunga na masomo ya juu ya Chuo Kikuu. Hivyo anakumbuka viwango vya uandishi wa habari enzi hizo, na kulinganisha na hivi sasa ambapo yeye ni sehemu ya consumer society yaani walaji na anaona mapungufu makubwa ya viwango vya uandishi na utoaji habari ... kutokana na woga kuwakaba Media na hata viongozi..

Jaji Joseph Sinde Warioba anasema aliteuliwa katika Tume ya Haki Jinai kisha pia kuingizwa ktk Kamati ya Kutekekeza Mapendekezo ya Tume. Huko pia aliona woga wa wananchi ambao wengi hawataki kutoa ushirikiano kwa vyombo vya Haki Jinai kama Polisi, TAKUKURU n.k kwa kuhofia kupata matatizo ...

Wananchi wanahitaji habari za kila aina siyo hizi za uchawa / propaganda pekee zinazobebwa na media zote kusifia au kupamba kinamna habari zinazopendwa kusikika na viongozi....anasema Jaji Warioba.


Nafahamu kika chombo cha habari kina editorial policy / sera za mwegemeo, lakini vyombo hivyo visiwe kama kasuku kwa kutoa habari zenye chanzo / source kimoja bali vifanye research / uchunguzi ili habari katika vyombo vya habari ziaminike na kuwa habari zenye kuweza kufanyiwa rejea au kunukuliwa kwa uhakika.... ..

Jaji Joseph Warioba anawasa waandishi habari nguli na wahariri waliojitokeza kwa wingi kuhudhuria mkutano ulioandaliwa na Jukwaa la Wanahabari wa Tanzania / Media Council of Tanzania, kuwa tabia ya kuendekeza uchawa / propaganda haiwasaidi wananchi wala viongozi ....

Nchi hii imejenga matabaka mawili yaani la juu ni viongozi, private sector na ninyi wasomi waandishi wa habari / wahariri na kujitambulisha kama tabaka 'muhimu' .....

Na tabaka hili la kwanza hufanya mikutano ya 'viongozi' bila kushirikisha tabaka la wananchi. Na item / point ya kwanza badala ya kuanza na ajenda, utambulisho ndiyo unaanza kwa urefu sana dakika hadi 15 kutaja kila kiongozi ... na kuhitimishwa itifaki / protokali imezingati.....

Jaji Warioba anasema masuala ya Itifaki imezingatiwa alianza kuona na kusikia Nigeria ambapo wenzetu kule hutaja viongozi wawili tu na wengine wote huingiza ktk kundi la itifaki imezingatiwa. Lakini hapa kwetu Tanzamia kutokana na uchawa huwa tunataja viongozi wote na itifaki inazingatiwa ni kwa kundi la wananchi wasio viongozi...


Hotuba ya bajeti ya waziri wa fedha ilichukua ilikuwa ya masaa 2 na dakika 6 baada ya hapo utambulisho ikichukua dakika 40 kuwataja viongozi waliopo ukumbini, lakini wakasahau kuwa nje ya ukumbi kuna wananchi wanasikiliza hawa hawakutajwaa kabisa wakati hii ni bajeti ya nchi siyo wa viongozi .. .Jaji Wariiba anasimulia kasumba hii ilivyoota mizizi ...

Hata hotuba zimekuwa watu wetu / wangu , zamani ilikuwa katika hotuba neno wananchi ndiyo limetamalaki anabainisha jaji Joseph Warioba kuonesha tabaka .... wananchi wamekuwa kama ni mali ya viongozi wakati wananchi ndiyo waliowaajiri viongoziv....

Kauli za wananchi waelimishwe baada ya kuanda sera au muswada inaukakasi asema Jaji Warioba. Ni kutokana na sisi tabaka la viongozi waanda sera kutowashirikisha wananchi toka mwanzo, kwa kuwa viongozi wanajiona wanahaki ya kuandaa muswada au sera bila kushirikisha umma, kisha wananchi waelimishwe..

Jaji Warioba anasema wanachofanya wananchi hakifahamiki, mfano angalia vichwa vya habari asubuhi ktk magazeti, radio, televisheni , online n.k zimesheheni matamko ya viongozi .... mgomo wa Kariakoo tuliona tu habari ya maduka kufungwa lakini habari ya maandalizi ya mgomo hayakuandikwa hii ina maana hawakusikilizwa na viongozi wala media hadi maduka yalipofungwa kwa mgomo, je hii ni bahati mbaya au ni tabaka la viongozi, wasomi wanahabari kutosikiliza kero za wafanyabishara wa Kariakoo ....

Tumeona kwa majirani zetu jinsi ndoa ya uchawa baina ya viongozi, wasomi waandishi habari, private sector walivyopuuza habari za kero za wananchi kisha kizazi cha 'Gen Z' kilivyolipuka kiaina na nchi hiyo kuingia ktk matatizo .....atoa mfano Jaji Warioba

Sera inakuwa rahisi kukubalika ikiwa viongozi, wasomi ikiwemo waandishi habari, private sector kuwauliza wananchi wanataka nini, vipaumbele vyao n.k badala ya tabaka lenu kujifungia kutunga sera halafu mkajidai mnaenda kuelimisha wananchi. Jaji Warioba anakiri alipokuwa kiongozi alijifunza mengi kutoka kwa wananchi, lakini sasa tabaka la juu la viongozi, wasomi wanadhani hawawezi kujifunza kutoka kwa wananchi .... jaji Joseph Warioba anawaasa tabaka hili la juu liliojitenga na wananchi....
 
Tuna ideas za kuendesha nchi zulizopewa wakoloni na system za kukopi (kwa kukariri) bila ya kuelewa foundation zake na namna ya kuzi-implent kwa mazingira yetu.

Kazi ya kuongoza nchi sio nyepesi inataka serious technocrats wa watu walio elewa kitabu cha Plato Republic not the ‘allegory of the cave’ that was not political.

But the ‘metaphor’ of population decision; leading to the appointment of philosophers king and their role in running a country.

Kupitia hiyo metaphor ndio msingi wa nchi zilizoendelea leo kukubali kuwa na wanasiasa darasa, Iła sio services especially at senior posts inayopwaya.

Senior civil posts are serious nchi za wenzetu uwezi pata mkuu wa mkoa analawiti watoto; kama kuna scandal ya uongozi kwa ngazi ya juu hasa ya hivyo
basi inamuhusu nwanasiasa, sio senior servants.

Kuelewa kwanini soma Plato republic.

Kwa nchi yetu hata kwa speech na maamuzi ya raisi Hakuna walinzi wa nchi kwa mujibu wa Plato.
 
Siasa za ulaya zinanguzo zifuatazo

Stability ya ulinzi wa jamii (a safe society)
Stability ya uchumi (ni high debt society).

Muhimu ni mikopo ya biashara hiyo ndio nyenzo ya uchumi kukuwa.

Pili ni public debt (madeni ya raia) ikiongozwa na secured loans kwenye kununua nyumba (mortgages), Followed by credit loans (magari, furnitures and others.

Tatu ni deni ni deni la serikali.

Kwa kifupi kuanza kuongelea jinsi hizi nchi za wenzetu zinavyoendeshwq na upuuzi wa respond utakaopata (ni waste of time)

Tuko hapa kwa sababu hatuna watu wenye uwezo wa kuendesha nchi sio CCM tu hata civil services ambayo inatakiwa kuwa imara zaidi.

Dunia inaweza elewa nchi kutokuwa na raisi na serikali yake (mawaziri) ambao hawana uwezo, lakini aiwezi ielewq civil services hao wapuuzi maamuzi yao yahatarishe usalama wa nchi au nchi iwe kwenye disadvantage kutokana na maamuzi ya hovyo ya wanasiasa.

Hakuna taasisi ya usalama yenye watu wenye akili hapo ambayo 360% degrees kuna sungu sungu tu.

Civil services ya Tanzania ni weak.

Tanzania ina watu wenye uwezo wa kujenga civil services imara, mfano (Dorothy Gwajima), kuna succession planning nzuri. Civil services wana haribu kumuachia raisi aweke mapoyoyo anayotaka wewe.

Tusilaumu kwa matatizo yetu, shida zote msingi wake ni sisi. Una mkuu wa mkoa anapenda matako ya watoto wadogo utaki ku chukulia hatua halafu unalaumu vitabu vya mzungu kukuletea ushoga.

Own your deficiencies first, kabla ya kulaumu watu wengine.
 
Kwa miaka zaidi ya 30 Warioba alikuwa anakula nchi, kwa kutumia katiba hii hii, hakuwahi kumwambia lolote Nyerere kwamba katiba ni mbaya. Alikuwa "chawa" mtiifu. Ni yeye ndiye alikuwa mwanasheria mkuu aliyekuwa akipeleka bungeni sheria kandamizi, ikiwemo ya kuweka watu kizuizini bila kupelekwa mahakamani.
 
Siasa za ulaya zinanguzo zifuatazo

Stability ya ulinzi wa jamii (a safe society)
Stability ya uchumi (ni high debt society).

Muhimu ni mikopo ya biashara hiyo ndio nyenzo ya uchumi kukuwa.

Pili ni public debt (madeni ya raia) ikiongozwa na secured loans kwenye kununua nyumba (mortgages), Followed by credit loans (magari, furnitures and others.

Tatu ni deni ni deni la serikali.

Kwa kifupi kuanza kuongelea jinsi hizi nchi za wenzetu zinavyoendeshwq na upuuzi wa respond utakaopata (ni waste of time)

Tuko hapa kwa sababu hatuna watu wenye uwezo wa kuendesha nchi sio CCM tu hata civil services ambayo inatakiwa kuwa imara zaidi.

Dunia inaweza elewa nchi kutokuwa na raisi na serikali yake (mawaziri) ambao hawana uwezo, lakini aiwezi ielewq civil services hao wapuuzi maamuzi yao yahatarishe usalama wa nchi au nchi iwe kwenye disadvantage kutokana na maamuzi ya hovyo ya wanasiasa.

Hakuna taasisi ya usalama yenye watu wenye akili hapo ambayo 360% degrees kuna sungu sungu tu.

Civil services ya Tanzania ni weak.

Tanzania ina watu wenye uwezo wa kujenga civil services imara, mfano (
Siku hizi twaona cheo cha katibu mkuu wa wizara chachezewa hovyo bila ridhaa yake.

Katibu mkuu wa wizara ni mtu ambae ni wa kudumu kwa maana kwamba hungalia transfer ya viongozi mbalimbali na kuwafundisha kazi wanapokuja kwenye wizara.

Ndo maana siku hizi twaona baadhi ya mawaziri wachukua hatua za ajabu na kuamua masuala mengine yalo juu ya uwezo wao wakisahau kuwa yupo katibu mkuu wa wizara ambae utaomba ushauri wake kama "senior civil servant" wako.

Ndo maana ya kuwa na permanent secretary wa wizara yoyote ile.
 
Tuna ideas za kuendesha nchi zulizopewa wakoloni na system za kukopi (kwa kukariri) bila ya kuelewa foundation zake na namna ya kuzi-implent kwa mazingira yetu.

Kazi ya kuongoza nchi sio nyepesi inataka serious technocrats wa watu walio elewa kitabu cha Plato Republic not the ‘allegory of the cave’ that was not political.

But the ‘metaphor’ of population decision; leading to the appointment of philosophers king and their role in running a country.

Kupitia hiyo metaphor ndio msingi wa nchi zilizoendelea leo kukubali kuwa na wanasiasa darasa, Iła sio services especially at senior posts inayopwaya.

Senior civil posts are serious nchi za wenzetu uwezi pata mkuu wa mkoa analawiti watoto; kama kuna scandal ya uongozi kwa ngazi ya juu hasa ya hivyo
basi inamuhusu nwanasiasa, sio senior servants.

Kuelewa kwanini soma Plato republic.

Kwa nchi yetu hata kwa speech na maamuzi ya raisi Hakuna walinzi wa nchi kwa mujibu wa Plato.
We are now knowingly established ourselves as a just city-state.

Socrates looking at The Philosophers Kings by emphasizing that until the philosophers are kings or the kings and princes have the spirit of power and philosophy, cities will never have rest from their evils.
 
Una eneo la mkoa wa kodi huyo kiongozi wao kilaza anae tangaza migomo, alivyo mpuuzi anasema hilo eneo lina biashara 40,000 zilizosajiwa kwa VAT chini yake.

Anajusifia makusanyo ni billion 14 kwa mwezi, wakat kwa takwimu hizo minimum collection ye mwezi inatakiwa kuwa 120 billion, maximum ni karibu 420 bilion kwa mwezi.

Watu wanapiga kelele raisi anamtoa mtu anaefanya kazi. Na kuna washauri huko Ikulu wa maswala ya u humo (civil servant) ambao hawawezi mwambia unakosea.

Unadhani huko ulaya civil services zao au washauri wake zina watu wapumbavu karibu na raisi kama ilivyo kwetu.

Hakuna mtu anaehujumu Yanzanis, tupo hapo kwa uwezo wa kufikiria.
 
Akizungumza mbele ya Media Council of Tanzania, waziri mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba


View: https://m.youtube.com/watch?v=MvpysrliGgU

Ninatazama bunge la Dodoma, imekuwa fasheni kila mbunge kuanza mchango wake wa hoja kwa kutaja na kumsifia rais.

Vyombo vya habari kwa nyakati ya sasa hivi badala ya kutoa habari vimegeuka kuwa vyombo vya propaganda yaani uchawa ...

Woga umetamalaki kwa kisingizio cha self censorship/ nidhamu ya woga, hakuna habari za kiuchunguzi yaani zili zilizofayiwa research kwa kuogopa zinaweza kuwa kinzani na uchawa uliopo anasema Jaji Joseph Sinde Warioba ...

Waziri mkuu mstaafu anabainisha kuwa mwaka 1961 alifanya kazi na chombo cha media cha The Standard kabla ya kujiunga na masomo ya juu ya Chuo Kikuu. Hivyo anakumbuka viwango vya uandishi wa habari enzi hizo, na kulinganisha na hivi sasa ambapo yeye ni sehemu ya consumer society yaani walaji na anaona mapungufu makubwa ya viwango vya uandishi na utoaji habari ... kutokana na woga kuwakaba Media na hata viongozi..

Jaji Joseph Sinde Warioba anasema aliteuliwa katika Tume ya Haki Jinai kisha pia kuingizwa ktk Kamati ya Kutekekeza Mapendekezo ya Tume. Huko pia aliona woga wa wananchi ambao wengi hawataki kutoa ushirikiano kwa vyombo vya Haki Jinai kama Polisi, TAKUKURU n.k kwa kuhofia kupata matatizo ...

Wananchi wanahitaji habari za kila aina siyo hizi za uchawa / propaganda pekee zinazobebwa na media zote kusifia au kupamba kinamna habari zinazopendwa kusikika na viongozi....anasema Jaji Warioba.


Nafahamu kika chombo cha habari kina editorial policy / sera za mwegemeo, lakini vyombo hivyo visiwe kama kasuku kwa kutoa habari zenye chanzo / source kimoja bali vifanye research / uchunguzi ili habari katika vyombo vya habari ziaminike na kuwa habari zenye kuweza kufanyiwa rejea au kunukuliwa kwa uhakika.... ..

Jaji Joseph Warioba anawasa waandishi habari nguli na wahariri waliojitokeza kwa wingi kuhudhuria mkutano ulioandaliwa na Jukwaa la Wanahabari wa Tanzania / Media Council of Tanzania, kuwa tabia ya kuendekeza uchawa / propaganda haiwasaidi wananchi wala viongozi ....

Nchi hii imejenga matabaka mawili yaani la juu ni viongozi, private sector na ninyi wasomi waandishi wa habari / wahariri na kujitambulisha kama tabaka 'muhimu' .....

Na tabaka hili la kwanza hufanya mikutano ya 'viongozi' bila kushirikisha tabaka la wananchi. Na item / point ya kwanza badala ya kuanza na ajenda, utambulisho ndiyo unaanza kwa urefu sana dakika hadi 15 kutaja kila kiongozi ... na kuhitimishwa itifaki / protokali imezingati.....

Jaji Warioba anasema masuala ya Itifaki imezingatiwa alianza kuona na kusikia Nigeria ambapo wenzetu kule hutaja viongozi wawili tu na wengine wote huingiza ktk kundi la itifaki imezingatiwa. Lakini hapa kwetu Tanzamia kutokana na uchawa huwa tunataja viongozi wote na itifaki inazingatiwa ni kwa kundi la wananchi wasio viongozi...


Hotuba ya bajeti ya waziri wa fedha ilichukua ilikuwa ya masaa 2 na dakika 6 baada ya hapo utambulisho ikichukua dakika 40 kuwataja viongozi waliopo ukumbini, lakini wakasahau kuwa nje ya ukumbi kuna wananchi wanasikiliza hawa hawakutajwaa kabisa wakati hii ni bajeti ya nchi siyo wa viongozi .. .Jaji Wariiba anasimulia kasumba hii ilivyoota mizizi ...

Hata hotuba zimekuwa watu wetu / wangu , zamani ilikuwa katika hotuba neno wananchi ndiyo limetamalaki anabainisha jaji Joseph Warioba kuonesha tabaka .... wananchi wamekuwa kama ni mali ya viongozi wakati wananchi ndiyo waliowaajiri viongoziv....

Kauli za wananchi waelimishwe baada ya kuanda sera au muswada inaukakasi asema Jaji Warioba. Ni kutokana na sisi tabaka la viongozi waanda sera kutowashirikisha wananchi toka mwanzo, kwa kuwa viongozi wanajiona wanahaki ya kuandaa muswada au sera bila kushirikisha umma, kisha wananchi waelimishwe..

Jaji Warioba anasema wanachofanya wananchi hakifahamiki, mfano angalia vichwa vya habari asubuhi ktk magazeti, radio, televisheni , online n.k zimesheheni matamko ya viongozi .... mgomo wa Kariakoo tuliona tu habari ya maduka kufungwa lakini habari ya maandalizi ya mgomo hayakuandikwa hii ina maana hawakusikilizwa na viongozi wala media hadi maduka yalipofungwa kwa mgomo, je hii ni bahati mbaya au ni tabaka la viongozi, wasomi wanahabari kutosikiliza kero za wafanyabishara wa Kariakoo ....

Tumeona kwa majirani zetu jinsi ndoa ya uchawa baina ya viongozi, wasomi waandishi habari, private sector walivyopuuza habari za kero za wananchi kisha kizazi cha 'Gen Z' kilivyolipuka kiaina na nchi hiyo kuingia ktk matatizo .....atoa mfano Jaji Warioba

Huyu mzee watamuua.....ngoja kina kipara kipya waje
 
We are now knowingly established ourselves as a just city-state.

Socrates looking at The Philosophers Kings by emphasizing that until the philosophers are kings or the kings and princes have the spirit of power and philosophy, cities will never have rest from their evils.
Implying that philosophers kings position ought to be permanent and compensated well.

Mind you Plato’s ideas are not enshrined in running a political a party, rather than in civil services long term operation at senior level.,
 
Una eneo la mkoa wa kodi huyo kiongozi wao kilaza anae tangaza migomo, alivyo mpuuzi anasema hilo eneo lina biashara 40,000 zilizosajiwa kwa VAT chini yake.

Anajusifia makusanyo ni billion 14 kwa mwezi, wakat kwa takwimu hizo minimum collection ye mwezi inatakiwa kuwa 120 billion, maximum ni karibu 420 bilion kwa mwezi.

Watu wanapiga kelele raisi anamtoa mtu anaefanya kazi. Na kuna washauri huko Ikulu wa maswala ya u humo (civil servant) ambao hawawezi mwambia unakosea.

Unadhani huko ulaya civil services zao au washauri wake zina watu wapumbavu karibu na raisi kama ilivyo kwetu.

Hakuna mtu anaehujumu Yanzanis, tupo hapo kwa uwezo wa kufikiria.
CCM ndio chama

Jaji Warioba kawapiga spana chawa.
 
Back
Top Bottom