Jaji Warioba: Viongozi wa Serikali msiingilie majukumu na kazi za vyombo vya Dola

Jaji Warioba: Viongozi wa Serikali msiingilie majukumu na kazi za vyombo vya Dola

Mzee warioba bana dah! Yeye mpaka kesho analindwa..

Yaan mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya au mkoa asiambatane na askari ?🤣

Chairman wa Chadema tu ana walinzi Kibao na yupo kwenye mikutano wa hadhara tu...

sasa atakua mwenyekiti gani huyo wa ulinzi na usalama wa wilaya au mkoa kama haambatani na askari wa ulinzi?🐒
Naona haujamuelewa mzee Warioba!

Ulinzi kwa Kiongozi ni jambo lingine na vyombo vyambo vya ulinzi na usalama vya mkoa/wilaya ni jambo lingine. Kwa kingozi wa serikali kuwa na mlinzi haina shida kabisa.

Issue inakuja pale let’s say Mkuu wa mkoa anapotembelea wananchi eneo fulani anakuwa na msukulu wa maafisa wa police/usalama, hii haina na haileti picha nzuri katika dhana ya uongozi, unaenda kuwatisha wananchi? Hiyo inakuwa ni matumizi mabaya ya madaraka na rasilimali za nchi. Kufanya hivyo unawatisha wananchi.

Kwahiyo mzee Warioba kaongea vyema kabisa, kongole kwake. Tatizo viongozi wengi wa siku hizi ni LIMBUKENI wa madaraka na kichwani ni hamnazo!!!
 
Akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa Oktoba, Jaji Joseph Warioba amewataka viongozi wa serikali wa nafasi mbalimbali kuacha kuingilia majukumu na kazi za vyombo vya ulinzi na usalama badala yake waviache vyombo hivyo vitumize wajibu wake kwa mujibu wa Katiba, sheria na miongozo stahiki

Sambamba na hilo Jaji Warioba pia ametoa rai kwa Wakuu wa Mikoa na wilaya ambao kimsingi ni Wenyeviti wa Kamati za Ulinzi na Usalama kwenye mikoa na wilaya zao kuacha kuandamana na maafisa/askari wa vyombo vya ulinzi na usalama pindi wanapofanya ziara za kukutana na wananchi.

Credit: Jambo
Huyo Mzee Warioba ndiyo amebaki pekee,aliyechukua mikoba ya Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, Kwa kuwasema watawala hadharani na kuwatetea wanyonge wa nchi hii.

Wastaafu wengine waliobaki, wako kimya utadhani hawauoni udhalimu tunaofanyiwa na watawala, Kwa kuwa wanalinda vitumbua vyao visiingie mchanga😳
 
Mzee warioba bana dah! Yeye mpaka kesho analindwa..

Yaan mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya au mkoa asiambatane na askari ?🤣

Chairman wa Chadema tu ana walinzi Kibao na yupo kwenye mikutano wa hadhara tu...

sasa atakua mwenyekiti gani huyo wa ulinzi na usalama wa wilaya au mkoa kama haambatani na askari wa ulinzi?🐒
Sijui mimi ndio sijamuelewa mzee Warioba au wewe ndio sijakuelewa. Kasema waache kuandamana na vyombo vya ulinzi, na katoa ushauri kwa hao watu kutokuingilia majukumu ya vyombo hivo. Tafsiri yangu (kama nitakuwa nimemuelewa vizuri ) Hajasema hao watu wasilindwe, yaani RC, DC na hata yeye wakiwazuia hao watu wasilindwe ndio kuingilia majukumu yao, kitu ambacho anakipinga. Kama nime muelewa vizuri, ni kwamba, RC anaposema "kamata mtu fulani, zuia mkutano fulani" wakati may be intellejensia ya police au usalama wa taifa haijanusa vurugu au fujo zozote huko ni kuingilia majukumu yao, police wapige marufuku vitu hivo kwa intellejensia yao. Again, unakwenda sehemu kuonana na wananchi wako, unakwenda na na convoy ya maaskari wengi wakati hakuna tishio lolote la kiusalama, huoni kama unakwenda kutisha wananchi? Unajua sometimes why mikutano mingi ya wana siasa wa CCM inalazimika watu kusombwa na magari kutoka maeneo ya mbali? Tofauti na vyama vya upinzani, wasikilizaji wanakuja wenyewe kwa gharama zao? Is because wananchi wanajiona wapo salama sana kwasababu hawatishwi na vyombo vya dola kwenye mikutano ya wapinzani. I think (kwa nilivo muelewa mzee Warioba ) police na vyombo vingine, hawafanyi hivo kwa miongozo yao, wanalazimishwa na wao wanalazimika kutii maelekezo. I might be wrong but that's what I understood mzee Sinde
 
Sijui mimi ndio sijamuelewa mzee Warioba au wewe ndio sijakuelewa. Kasema waache kuandamana na vyombo vya ulinzi, na katoa ushauri kwa hao watu kutokuingilia majukumu ya vyombo hivo. Tafsiri yangu (kama nitakuwa nimemuelewa vizuri ) Hajasema hao watu wasilindwe, yaani RC, DC na hata yeye wakiwazuia hao watu wasilindwe ndio kuingilia majukumu yao, kitu ambacho anakipinga. Kama nime muelewa vizuri, ni kwamba, RC anaposema "kamata mtu fulani, zuia mkutano fulani" wakati may be intellejensia ya police au usalama wa taifa haijanusa vurugu au fujo zozote huko ni kuingilia majukumu yao, police wapige marufuku vitu hivo kwa intellejensia yao. Again, unakwenda sehemu kuonana na wananchi wako, unakwenda na na convoy ya maaskari wengi wakati hakuna tishio lolote la kiusalama, huoni kama unakwenda kutisha wananchi? Unajua sometimes why mikutano mingi ya wana siasa wa CCM inalazimika watu kusombwa na magari kutoka maeneo ya mbali? Tofauti na vyama vya upinzani, wasikilizaji wanakuja wenyewe kwa gharama zao? Is because wananchi wanajiona wapo salama sana kwasababu hawatishwi na vyombo vya dola kwenye mikutano ya wapinzani. I think (kwa nilivo muelewa mzee Warioba ) police na vyombo vingine, hawafanyi hivo kwa miongozo yao, wanalazimishwa na wao wanalazimika kutii maelekezo. I might be wrong but that's what I understood mzee Sinde
haiwezekani Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama anapokea taarifa ya maandamano ya Samia must go anaacha kuyazuia, hiyo haipo 🤣

haiwezekani Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama yupo kwenye mikutano wa hadhara, halafu mlevi moja analeta mihemko na kiherahere chake kuvuruga mkutano asidhibitiwe, we uliskia wapi?

Iko wazi na dunia inafahamu hivyo,
Umoja,, Amani na Utulivu wa waTanzani utalindwa lindwa kwa nguvu zote na kwa gharama yoyote ile. Kuna watu wanadhani mzaha 🐒
 
Naona haujamuelewa mzee Warioba!

Ulinzi kwa Kiongozi ni jambo lingine na vyombo vyambo vya ulinzi na usalama vya mkoa/wilaya ni jambo lingine. Kwa kingozi wa serikali kuwa na mlinzi haina shida kabisa.

Issue inakuja pale let’s say Mkuu wa mkoa anapotembelea wananchi eneo fulani anakuwa na msukulu wa maafisa wa police/usalama, hii haina na haileti picha nzuri katika dhana ya uongozi, unaenda kuwatisha wananchi? Hiyo inakuwa ni matumizi mabaya ya madaraka na rasilimali za nchi. Kufanya hivyo unawatisha wananchi.

Kwahiyo mzee Warioba kaongea vyema kabisa, kongole kwake. Tatizo viongozi wengi wa siku hizi ni LIMBUKENI wa madaraka na kichwani ni hamnazo!!!
kumbe gentleman,
wewe unataka kuona picha nzuuuri kwa dhana potofu, right?

Mpaka manabii na mitume madhabahuni wamejaza walinzi, we unambwelambwe ati sijui nani kamaanisha nini? Kwahiyo waamini wanatishikaga sio, kama sio ushirikiana na uganga wao ndio unawafanya watishike?

Mwananchi anaetishika kivyovyote vile Lazima atakua muhalifu na huyo Lazima adhibitiwe on the spot.

Umoja amani na utulivu wa wananchi Tanzania utalindwa kwa nguvu zote na kwa gharama yoyote ile, bila mbambamba yoyote 🐒

hakuna habari sijui ya kumuelewa nani huko..
 
I think umebadiri topic sasa.
haiwezekani Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama anapokea taarifa ya maandamano ya Samia must go anaacha kuyazuia, hiyo haipo 🤣

haiwezekani Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama yupo kwenye mikutano wa hadhara, halafu mlevi moja analeta mihemko na kiherahere chake kuvuruga mkutano asidhibitiwe, we uliskia wapi?

Iko wazi na dunia inafahamu hivyo,
Umoja,, Amani na Utulivu wa waTanzani utalindwa lindwa kwa nguvu zote na kwa gharama yoyote ile. Kuna watu wanadhani mzaha 🐒
😀😃
 
Kuna wakati huwa mnafanya nijiulize hivi hii Tanzania ilikuaje kabla ya Magufuli maana inaonekana alivyoingia yeye madarakani ndio kabadili kila kitu, ina maana kumbe Tanzania ilikuwa tunaweza kuwahoji watawala wetu ila Magu ndio alikuja kubadili hiyo hali?
nilikua simkubali Magu kwa baadhi ya mambo na mengine nilimuunga mkono. hakika umeandika kama GT
 
Warioba ni mwingoni mwa wazee, wenye uchungu sana na inchi hii ,Mungu ampe maisha marefu.
Kama CCM ingebahatika kuwa na viongozi wa chama japo watatu tu wa ngazi za juu wenye hekima angalao hata nusu ya hekima ya mzee Waripba, sijui watu wangeishutumu CCM kwa ubaya gani!!

Mzee Warioba anazeeka mwili lakini akili na hekima yake, vimebakia mahali pa juu.
 
Huyo Mzee Warioba ndiyo amebaki pekee,aliyechukua mikoba ya Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, Kwa kuwasema watawala hadharani na kuwatetea wanyonge wa nchi hii.

Wastaafu wengine waliobaki, wako kimya utadhani hawauoni udhalimu tunaofanyiwa na watawala, Kwa kuwa wanalinda vitumbua vyao visiingie mchanga😳
Si mwamini kwakua anayoyafanya yeye wala hayaendani na anachoki dai kwenye public...
 
Watu walikuwa na uwezo wa kuwasema viongozi waziwazi.
Watu hao gani hao wa humu mitandaoni au? Na walipowasema hao waliyosemwa walibadilika au ndio waliwasikiliza tu?
 
nilikua simkubali Magu kwa baadhi ya mambo na mengine nilimuunga mkono. hakika umeandika kama GT
Siku zote mkuu kiongozi hapimwi kama malaika au shetani yani kwamba kila shetani ni mbaya na kila jambo lake ni baya au malaika ni mwema na kila jambo lake ni jema, kiongozi hutizamwa anayoyafanya yapo utakubaliana naye na yapo ambayo mtatofautiana maana yule ni binaadamu. Sasa kuna watu wao kiongozi au mwanasiasa wao ni ima wamuweke kundi la malaika au shetani.
 
Akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa Oktoba, Jaji Joseph Warioba amewataka viongozi wa serikali wa nafasi mbalimbali kuacha kuingilia majukumu na kazi za vyombo vya ulinzi na usalama badala yake waviache vyombo hivyo vitumize wajibu wake kwa mujibu wa Katiba, sheria na miongozo stahiki

Sambamba na hilo Jaji Warioba pia ametoa rai kwa Wakuu wa Mikoa na wilaya ambao kimsingi ni Wenyeviti wa Kamati za Ulinzi na Usalama kwenye mikoa na wilaya zao kuacha kuandamana na maafisa/askari wa vyombo vya ulinzi na usalama pindi wanapofanya ziara za kukutana na wananchi.

Credit: Jambo
Huyu Mzee wetu ni tunu ya taifa akifuatiwa na Mzee Butiku.
 
Back
Top Bottom