Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bored that there's nothing new anymore. Ukiwa na pesa nyingi na power kuna muda huwi excited tena na material thingsAnakuaje bored!?na mapesa yoouuterr anayo.. how? Bored!?
Utawala upi ulikuwa mzuri bwa wewe? Bunge lilikuwa live tena active, CAG alikuwa ana sauti tena inayosikika kwa mara ya kwanza ndo niliweza kufahamu CAG ni nani kwenye hii nchi , mahakama zilikuwa huru ata ubunge ulikuwa unapigwa mahakamani na wabunge walivuliwa ubunge mchana kweupe. Kipindi cha JK ilikuwa kawaida kukuta watu wamekusanyika kwenye vibanda umiza kuangalia bunge. Sasa nikuulize toka kikwete atoke madarakani unamfahamu kwa jina katibu wa bunge? Mm wa mwisho kumfahamu ni Thomas kishilila. Je wasaidizi wake? Emu jitaidi kueshimu watu. Hv wewe walimu wote udom mpaka branch zote za st Agustino na vyuo vyote vya walimu wanaitimu wanapata ajira hapo hapo no applications no interview ten years consecutively bado every financial year salary incriminate unasema alikuwa anatalii hovyo?Utawala wake ulikuwa wa hovyo mno. Nchi ililiwa na kikundi cha wachache. Ufisadi ulikuwa ni wa kutisha.
Mko wapuuzi wengi mliodanganywa na demokrasia uchwara huku wachache wakiitafuna nchi kisawasawa. Kumjua katibu wa bunge ilikusaidia nini? Nchi ilinuka kashfa za kutisha awamu ya 4. Kuanzia madawa ya kulevya na uchafu mwingine mwingi. Kulikuwa hakuna uwajibikaji.Utawala upi ulikuwa mzuri bwa wewe? Bunge lilikuwa live tena active, CAG alikuwa ana sauti tena inayosikika kwa mara ya kwanza ndo niliweza kufahamu CAG ni nani kwenye hii nchi , mahakama zilikuwa huru ata ubunge ulikuwa unapigwa mahakamani na wabunge walivuliwa ubunge mchana kweupe. Kipindi cha JK ilikuwa kawaida kukuta watu wamekusanyika kwenye vibanda umiza kuangalia bunge. Sasa nikuulize toka kikwete atoke madarakani unamfahamu kwa jina katibu wa bunge? Mm wa mwisho kumfahamu ni Thomas kishilila. Je wasaidizi wake? Emu jitaidi kueshimu watu. Hv wewe walimu wote udom mpaka branch zote za st Agustino na vyuo vyote vya walimu wanaitimu wanapata ajira hapo hapo no applications no interview ten years consecutively bado every financial year salary incriminate unasema alikuwa anatalii hovyo?
Je yameisha? au kikwete bado ni rais? tatizo lenu mnataka kumfanya rais kama Mungu. Kama wewe familia ya watu watano na kiwanja cha 40 kwa 60 unashindwa kuiongoza itakuwa nchi ya watu milion 70?Mko wapuuzi wengi mliodanganywa na demokrasia uchwara huku wachache wakiitafuna nchi kisawasawa. Kumjua katibu wa bunge ilikusaidia nini? Nchi ilinuka kashfa za kutisha awamu ya 4. Kuanzia madawa ya kulevya na uchafu mwingine mwingi. Kulikuwa hakuna uwajibikaji.
Acha kunililia hapa mtandaoni. Mimi sio babako.Je yameisha? au kikwete bado ni rais? tatizo lenu mnataka kumfanya rais kama Mungu. Kama wewe familia ya watu watano na kiwanja cha 40 kwa 60 unashindwa kuiongoza itakuwa nchi ya watu milion 70?
Vijana wa 2000Acha kunililia hapa mtandaoni. Mimi sio babako.
Achana nae huyo alikuwa dalasa la sita6B hajui kitu. Hadi lowasa kamwaga wino wee unafikiri ufisadi uliofanyika ni WA Dunia hii!?Mko wapuuzi wengi mliodanganywa na demokrasia uchwara huku wachache wakiitafuna nchi kisawasawa. Kumjua katibu wa bunge ilikusaidia nini? Nchi ilinuka kashfa za kutisha awamu ya 4. Kuanzia madawa ya kulevya na uchafu mwingine mwingi. Kulikuwa hakuna uwajibikaji.
Hongera kwa kujua umri wa watu humu.Vijana wa 2000
Wewe bwege acha kusapoti upumbavuMbuzi wa hawa bado wananuka maziwa ya mama, ukiwabana wanaaaza kuongea utumbo
Ukimuuliza sasa anafaidika nini. kutwa kucha ni kumsifia samia
Pesa sio kila kitu, watu wanakuwa na mali nyingi(pesa zikiwemo) lakini bado wanajitoa uhai kwa msongo wa mawazo.Anakuaje bored!?na mapesa yoouuterr anayo.. how? Bored!?