Jakaya Kikwete 2011 akiwa Rais alitembelea Marekani kwa shughuli mbalimbali za kichama na kiserikali

Nasikia pia aliwahi kumpokea airport mshindi wa big brother miaka ile
 
Uelewa wako wa mambo na kuchanganua bado uko chini sana,kama wew ni mtu mzma basi huna akil nzuri za kuchanganua mambo ya nchi.
 
Kama ni kweli..Waliwaonea.

Na wadai haki zao sasa ...

Mzee wetu alikuwa ni wa bata.
Hata wao wanajua hawakufanya kazi yao Vizuri.

Walitakiwa wafanye kila namna wamzuie, Au waliport kwa boss wao awape muongozo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…