ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kazushiwa kifo huko FBMkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Rais Mstaafu awamu ya nne, Mheshimiwa Dkt Jakaya Kikwete ameshiriki kuwatunuku Degree kwenye duru ya kwanza ya mahafali ya 51 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam leo Mei 27, 2021.
Kwel ww ni kichwa maji yaani inaonakana hata hujui JK Ana wadhifa gani pale UDSM , mpaka useme hatuliiTangu Mwendakuzimu asepe jamaa hatulii utadhani anataga.
God bless president Lowassa the rais wa mioyo yetu!
Mungu ampe maisha marefu yaliyojaa kheriYupo udsm muda huu jaman uzushi tupungze.View attachment 1799259View attachment 1799260
Mungu ampe maisha marefu JKYupo udsm muda huu jaman uzushi tupungze.View attachment 1799259View attachment 1799260
Yupo udsm muda huu jaman uzushi tupungze.View attachment 1799259View attachment 1799260
Kuna mdau niliona kaandika humu kuwa kuna mahafali.Leo kuna Mahafali huko?
Huyu jamaa yuko vizuri! Yaani muda wote anatabasamu tu!Yupo udsm muda huu jaman uzushi tupungze.View attachment 1799259View attachment 1799260
roho inatapatapa,atatuliaje mkuuTangu Mwendakuzimu asepe jamaa hatulii utadhani anataga.
God bless president Lowassa the rais wa mioyo yetu!
inamaana tuanze kujiandaa ,kuwa na kipindi Cha nusu mlingoti Tena.Kazushiwa kifo huko FB
Au za jiwe tufanyeZilikuwa kiki za rizi!
Aaah wacha nicheke mie kawaiteni mataga wote waje waone,i love u kikweteeRais Mstaafu Comrade Jakaya Kikwete na Mkuu wa Chuo Kikuu cha UDSM leo Alhamisi tarehe 27 Mei 2021 akiwa chuoni UDSM kwa ajili ya kutunuku digrii kwenye duru ya kwanza ya Mahafali ya 51 ya UDSM.
Mnaomuombea Kikwete afe hafi ng'o, ataishi miaka mingi kama Mwinyi kwa sababu hana roho mbaya
View attachment 1799261
Jiwe yeye mwenyewe ni Kiki tosha haitaji wapambe!Au za jiwe tufanye
Umenena na mkopo wa uhakikaKila la kheir kwa Rais mstaafu, namkumbuka kwa fursa ya kusoma na ajira.