900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
Ndiyo imeandaliwa ya dharura kuwa jibu sukuma gang na uzushi waoLeo kuna Mahafali huko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo imeandaliwa ya dharura kuwa jibu sukuma gang na uzushi waoLeo kuna Mahafali huko?
Kesho yake akaenda Kurasini kuzindua hostel (Japokuwa kuna kitu alikivaa mkono wake wa kushoto ndani ya suti, na alikuwa anakigusa mara kwa mara), the same day akamteua Bashiru kuwa KMK na balozi, next day akamwapisha Bashiru Ikulu (Hakuongea lolote baada ya uapisho, kwa madai anawahi mkutano wa online na viongozi wa EAC), akaonekana jioni yake kwenye page za Msigwa anazugazuga kwenye meza kwenye mkutano (Ikaja kugundulika hakushiriki ule mkutano (according to official pages za EAC), Mama Samia alimwakilisha), baada ya ile video hakuonekana tena hadharani hadi alipokuja kuonekana Taifa akiwa ndani ya jeneza!! Haya maisha bwana!! Ni kujilisha upepo tu sometimesAseee afadhali
Ila hata jpm alihudhuria ufunguzi wa magic fm studio...akaomba na wimbo wa Jay ft stamina uchezwe ......
Unaonaje 2025 tukaenda na jk mkuuMtu wa watu huyo!
Hatufanyi mambo ya ajabu ajabu ya kuchezea katiba kama hayo.Unaonaje 2025 tukaenda na jk mkuu
Kutabasamu/kuwa na bashasha kila wakati ni tiba ya;Huyu jamaa yuko vizuri! Yaani muda wote anatabasamu tu!
Musiba na akaunti yake ya Veronica France.Kazushiwa kifo huko FB
Tangu Mwendakuzimu asepe jamaa hatulii utadhani anataga.
God bless president Lowassa the rais wa mioyo yetu!
Huyu jamaa yuko vizuri! Yaani muda wote anatabasamu tu!
Membe au Lisu ndio mmewadampo?Hatufanyi mambo ya ajabu ajabu ya kuchezea katiba kama hayo.
Samia atosha!
Kwa hiyo nchi imegawanyika Kati ya Sukuma gang na Msoga gang, nani atatuletea umoja wa kitaifa, au ndio Basi tena, ni Kama Simba na yanga mileleAnanifurahisha sana anavyowapa taabu Sukuma Gang.
Wakati ule wa Kayafa aliepo kuzimu muda huu ulikuwa wapi kuongea haya?Kwa hiyo nchi imegawanyika Kati ya Sukuma gang na Msoga gang, nani atatuletea umoja wa kitaifa, au ndio Basi tena, ni Kama Simba na yanga milele