Jakaya Kikwete ashiriki mahafali ya 51 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Leo Mei 27, 2021. Humphey Polepole naye afanikiwa kuhitimu

Jakaya Kikwete ashiriki mahafali ya 51 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Leo Mei 27, 2021. Humphey Polepole naye afanikiwa kuhitimu

Aseee afadhali




Ila hata jpm alihudhuria ufunguzi wa magic fm studio...akaomba na wimbo wa Jay ft stamina uchezwe ......
Kesho yake akaenda Kurasini kuzindua hostel (Japokuwa kuna kitu alikivaa mkono wake wa kushoto ndani ya suti, na alikuwa anakigusa mara kwa mara), the same day akamteua Bashiru kuwa KMK na balozi, next day akamwapisha Bashiru Ikulu (Hakuongea lolote baada ya uapisho, kwa madai anawahi mkutano wa online na viongozi wa EAC), akaonekana jioni yake kwenye page za Msigwa anazugazuga kwenye meza kwenye mkutano (Ikaja kugundulika hakushiriki ule mkutano (according to official pages za EAC), Mama Samia alimwakilisha), baada ya ile video hakuonekana tena hadharani hadi alipokuja kuonekana Taifa akiwa ndani ya jeneza!! Haya maisha bwana!! Ni kujilisha upepo tu sometimes
 
Bavicha wanampenda JK hatari!

Hadi wameamua kumkabidhi chama
 
Wala hakuwa akilala na ma file ofisin

Aliwahi kuhojiwa baada ya kustaafu akasema alikuwa akikuta file 'la moto au halielewi elewi' anafunga file anatafuta Music mzuri anasikiliza, anacheza kuondoa misongo ya kazi

Maisha ndio haya haya, ukikaza sana Mishipa ya shingo utayaacha
Huyu jamaa yuko vizuri! Yaani muda wote anatabasamu tu!
 
Inawaumaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila itabidi wavumilie, hamna namna. Dawa inawaingia tena wanachomwa sindano ya ng'ombe.
 
Kwa hiyo nchi imegawanyika Kati ya Sukuma gang na Msoga gang, nani atatuletea umoja wa kitaifa, au ndio Basi tena, ni Kama Simba na yanga milele
Wakati ule wa Kayafa aliepo kuzimu muda huu ulikuwa wapi kuongea haya?
 
Jamaa mgonjwa hio picha zake zinazungumza hali yake kikamilifu, utaabani naona kama umemuanza.anaonekana kama anatetemeka mikono na kichwa,wazanzibar itakuwa weshaanza kumtia kwenye chungu klichofunikwa kaniki na kitambaa cheusi na chekundu, Wapemba mwisho nilihisi tu kifo cha Maalim ataondoka na wengi .
 
Message sent and derivered
Ukiona hivi unatakiwa upunguze kihere here,
Tulia kama wastafu wengine walivyotulia...
 
Yaani ndiyo mmemsusa mbobezi....! Yaani nikikumbuka akina Mshana Jr wanatuimbisha "twende na Mbobezi 2020", sina hamu nao kabisa...ha ha ha haaaa!
 
Back
Top Bottom