anaonekana Chizi tu, hana la maana hata moja la kuogopwa maana anaandika pumba tu...veronica france aka musiba anatesa sana nchii hii hatari anaogopeka balaa
una CHOYO, MAONO MAFUPI NA AKILI MBOVUTangu Mwendakuzimu asepe jamaa hatulii utadhani anataga.
God bless president Lowassa the rais wa mioyo yetu!
Hata enzi za kuumwa kwa yule, yangefanyika haya taharuki isingetokea... Kazushiwa, katokea.... Na YULE waliposema amezushiwa kuumwa, ANGETOKEA TUHongera zake maana tayari wameshamzushia
Veronica france, Mataga,and sukuma gang baada ya kulazimishwa kunawa mikono baada ya mpishi kupangiwa majukumu mengine na Mola wake.Hongera zake maana tayari wameshamzushia
Mungu amulinde jkMkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Rais Mstaafu awamu ya nne, Mheshimiwa Dkt Jakaya Kikwete ameshiriki kuwatunuku Degree kwenye duru ya kwanza ya mahafali ya 51 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam leo Mei 27, 2021.
Umezodisha chumvi, JK ni mtu mzuri, kulinganisha na yule aliye tuletea baada yake, lakini ni mwanadamu tu, nguzo ya kati ni Mungu!JK ndiye hazina pekee iliyo baki ktk Taifa la Tanzania na hata Afrika Mashariki na kati.
ni tegemeo kwa ukanda wote wa maziwa makuu n.k.
kwa kifupi ndio nguzu ya katikati iliyo shika paa la nyumba.
Tunaomba uongozi wa Mama Samia umlinde na umtunze kwa umakini mkubwa.lkn zaidi tuna muombea Mungu amlinde.
Ulitaka kusema hari au harrier???Hahahahahah! Hari mpya, nguvu mpya na kasi mpya
Kweli aseeVeronica france, Mataga,and sukuma gang baada ya kulazimishwa kunawa mikono baada ya mpishi kupangiwa majukumu mengine na Mola wake.
Kila la kheir kwa Rais mstaafu, namkumbuka kwa fursa ya kusoma na ajira.
Sure Jk ana nafuu snUmezodisha chumvi, JK ni mtu mzuri, kulinganisha na yule aliye tuletea baada yake, lakini ni mwanadamu tu, nguzo ya kati ni Mungu!
viva Mkwere, yani mda wote ni cheko, kwanini usiishi maisha marefu.?Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Rais Mstaafu awamu ya nne, Mheshimiwa Dkt Jakaya Kikwete ameshiriki kuwatunuku Degree kwenye duru ya kwanza ya mahafali ya 51 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam leo Mei 27, 2021.
Mtu wa watu huyo!
Safi sana Jakaya. Hivi ndivyo wenye akili wanavyowajibu watu wajinga. Wanaokuombea mabaya, yatawapata wao.Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Rais Mstaafu awamu ya nne, Mheshimiwa Dkt Jakaya Kikwete ameshiriki kuwatunuku Degree kwenye duru ya kwanza ya mahafali ya 51 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam leo Mei 27, 2021.