Ndio maana nikazungumzia bush sijazungumzia town, elewa point yangu kabla hujaikosoaUtatumia umeme wa solar kwenye biashara za viwandani, welding na kuuza samaki???
Hata wenye salon za kunyoa nywele hawawezi kutumia solar.
Nilijua hii ya kurudi saa tano ni huku tu nilipo!!kumbe ni kila mahaliNdio hivyo. Kabisa. Magu ksbb alikuwa anawajua,aliwapiga pembeni wengi wapigaji. Ila sasa wamerudi kwa kasi wanatupiga hatari. Na Watanzania walivyo wanyonge tumetulia tu. Hatupigi kelele. Hii kitu kukatika umeme kuanzia saa 1 asbuhi hadi saa 5 usiku hakiwezi kutokea nchi jirani tu hapo Kenya au Zambia,nchi nzima ingezizima
Sisi wananchi wa Tz ni kama shamba la mafisadi wanatuanzia tu matozo kila Aina. Kwenye vifurushi tozo,m pesa tozo,bank tozo,umeme tozo. Umeme haupo.
Na mimi nilizungumzia wanaonunua majenereta kwa ajili ya kuendesha biashara zao huko mijini hasa kipindi hichi ambapo umeme umekuwa tatizo kubwa.Ndio maana nikazungumzia bush sijazungumzia town, elewa point yangu kabla hujaikosoa
80 ukiwa na bahati.Sijui wanapata faida gani kuona watanzania wanateseka. Maisha yenyewe mafupi miaka 80 unabinuka
Ulijaribu kugeuza nyuma ya panel imeandikwa made in wapi mkuu?Siku hizi tunafunga Solar mkuu, tushayasahau majenerata, nakumbuka ukiingia bush uko ambako umeme haukufika mpaka alipoingia Medard Kalemani akakomalia umeme wa rea wa 27,000/= kila nyumba huko bush leo umeme umefika ila hawajaondoa Solar zao bado zipo juu ya bati umeme ukizima Solar inawapa backup
Labda mchina aje na teknolojia ya Solar hapo tutakuelewa,
Huku Tabora napo mmh shidaNilijua hii ya kurudi saa tano ni huku tu nilipo!!kumbe ni kila mahali
Umeme ni sehemu nzuri kwa mafisadi kupigia hela ya uhakika ndio maana baada ya kurudi madarakani bilioni 350 zilipigwa juu kwa juu haraka harakaNeno "Megawatt" lilikuwa halijulikani kwa ngwini wengi mpaka Kikwete alipokuwa madarakani kama Rais.
Kipindi cha JK ndiyo tukajua kumbe TANESCO ni shirika linalotegemea makampuni mengine kutupatia umeme. Ndiyo tukajua kumbe bila Dowans, Symbion, IPTL, Richmond hakuna umeme Tanzania.
Magufuli akatuprove wrong. Sasa nasikia Kikwete una ushawishi na Serikali hii, wengine wakisema wewe ndiyo Rais na Mama ni Malkia. Umeme umepotea tena.
Unaupeleka wapi umeme wa Tanzania?