Jakaya Kikwete: Ukitaka Nchi Itulie Kamata Wazee

Jakaya Kikwete: Ukitaka Nchi Itulie Kamata Wazee

Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete ametoa ushauri kwa Jamii kuwatumia Wazee kupata uzoefu na maarifa huku akiweka msisitizo wa kauli aliyowahi kuambiwa na Baba wa Taifa Mwl. Nyerere kwamba ukitaka ‘Nchi itulie kamata Wazee’ akisema ni muhimu kuwatumia Wazee kwasababu wana maarifa ambayo wameyapata katika mapito ya maisha yao.

Akiongea usiku wa kuamkia leo October 27,2024 katika harambee ya kuchangia ujenzi wa kituo cha kisasa cha Wazee cha Petra Elderly Centre Jijini Dar es salaam ambacho Waziri wa Ulinzi Dkt. Tax ni Mwanzilishi mwenza, Mstaafu Kikwete amesema “Askofu Mkuu Desmund Tutu aliwahi kusisitiza umuhimu wa kutambua haki na heshima ya Wazee akasema tunapozeeka haki zetu hazibadiliki, hatupotezi ubinadamu wetu wala hatupaswi kuwa wasioonekana, nasema wasioonekana maana Tanzania kuna neno wasiojulikana, ukishakuwa Mzee unaweza kuwa hauonekani kama upo sasa Waziri Stegomena na Ndugu yake jitihada anayoifanya ni kuwafanya Wazee waonekana na amesisitiza umuhimu wa kutumiwa na kushirikishwa kama Watu wanaoweza kutoa mchango muhimu katika Jamii kutokana na uzoefu, ujuzi na maarifa waliyokusanya katika mapito yao ya maisha”

“Kuwa Mzee hakukufanyi uwe sio kitu, Wazee wana maarifa mengi, mwaka 1987 nikiwa Masasi, nilikwenda Dodoma kwenye NEC Mwalimu akawa na ziara na Mimi nikapata ujiko kwamba Jakaya twende safari hii, tumefika Tanga alikuwa na tabia Mwalimu jioni anakula chakula na Wazee, siku ile pale Ikulu Wazee wakasoma risala akasikiliza hakujibu, Wazee walipoondoka akaniambia Jakaya baki”

“Akaniambia nataka kukuambia maneno uyashike la kwanza sio kila Mzee ambaye ni Mwanachama wa CCM ni Mwasisi, yule aliyesoma risala wakati tunadai uhuru hapa Lushoto ndiye alikuwa anatupinga nimeshangaa leo anasoma risala ya Waasisi wa Chama, Chama kipi?, lakini nataka kukuambia jambo lingine hili ndio la kushika, ukitaka Nchi itulie kamata Wazee, meseji kubwa pale ukitaka Nchi itulie kamata Wazee”
#MillardAyoUOUPDATESView attachment 3136253
Kwa hiyo nchi haijatulia kwa kuwa January Makamba, Nape na mzee Kinana wametolewa kwenye kazi. Na yeye pia, amewekwa pembeni kidogo kwenye serikali. Hapana huyu mzee aache ujinga.
 
Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete ametoa ushauri kwa Jamii kuwatumia Wazee kupata uzoefu na maarifa huku akiweka msisitizo wa kauli aliyowahi kuambiwa na Baba wa Taifa Mwl. Nyerere kwamba ukitaka ‘Nchi itulie kamata Wazee’ akisema ni muhimu kuwatumia Wazee kwasababu wana maarifa ambayo wameyapata katika mapito ya maisha yao.

Akiongea usiku wa kuamkia leo October 27,2024 katika harambee ya kuchangia ujenzi wa kituo cha kisasa cha Wazee cha Petra Elderly Centre Jijini Dar es salaam ambacho Waziri wa Ulinzi Dkt. Tax ni Mwanzilishi mwenza, Mstaafu Kikwete amesema “Askofu Mkuu Desmund Tutu aliwahi kusisitiza umuhimu wa kutambua haki na heshima ya Wazee akasema tunapozeeka haki zetu hazibadiliki, hatupotezi ubinadamu wetu wala hatupaswi kuwa wasioonekana, nasema wasioonekana maana Tanzania kuna neno wasiojulikana, ukishakuwa Mzee unaweza kuwa hauonekani kama upo sasa Waziri Stegomena na Ndugu yake jitihada anayoifanya ni kuwafanya Wazee waonekana na amesisitiza umuhimu wa kutumiwa na kushirikishwa kama Watu wanaoweza kutoa mchango muhimu katika Jamii kutokana na uzoefu, ujuzi na maarifa waliyokusanya katika mapito yao ya maisha”

“Kuwa Mzee hakukufanyi uwe sio kitu, Wazee wana maarifa mengi, mwaka 1987 nikiwa Masasi, nilikwenda Dodoma kwenye NEC Mwalimu akawa na ziara na Mimi nikapata ujiko kwamba Jakaya twende safari hii, tumefika Tanga alikuwa na tabia Mwalimu jioni anakula chakula na Wazee, siku ile pale Ikulu Wazee wakasoma risala akasikiliza hakujibu, Wazee walipoondoka akaniambia Jakaya baki”

“Akaniambia nataka kukuambia maneno uyashike la kwanza sio kila Mzee ambaye ni Mwanachama wa CCM ni Mwasisi, yule aliyesoma risala wakati tunadai uhuru hapa Lushoto ndiye alikuwa anatupinga nimeshangaa leo anasoma risala ya Waasisi wa Chama, Chama kipi?, lakini nataka kukuambia jambo lingine hili ndio la kushika, ukitaka Nchi itulie kamata Wazee, meseji kubwa pale ukitaka Nchi itulie kamata Wazee”
#MillardAyoUOUPDATESView attachment 3136253
Kwa mfano, wale wanafunzi wa shule chini ya miaka 17 waliosombwa kujiandikisha, siku wakizeeka ukienda kuwaomba ushauri unahisi watakushauri nini?
 
Ukitaka Nchi itulie tukamate wazee?Huo ni uongo mkubwa sana.Nguvu kazi ya taifa Huwa ni vijana na ndiyo Huwa wanaleta mabadiliki katika nchi
 
Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete ametoa ushauri kwa Jamii kuwatumia Wazee kupata uzoefu na maarifa huku akiweka msisitizo wa kauli aliyowahi kuambiwa na Baba wa Taifa Mwl. Nyerere kwamba ukitaka ‘Nchi itulie kamata Wazee’ akisema ni muhimu kuwatumia Wazee kwasababu wana maarifa ambayo wameyapata katika mapito ya maisha yao.

Akiongea usiku wa kuamkia leo October 27,2024 katika harambee ya kuchangia ujenzi wa kituo cha kisasa cha Wazee cha Petra Elderly Centre Jijini Dar es salaam ambacho Waziri wa Ulinzi Dkt. Tax ni Mwanzilishi mwenza, Mstaafu Kikwete amesema “Askofu Mkuu Desmund Tutu aliwahi kusisitiza umuhimu wa kutambua haki na heshima ya Wazee akasema tunapozeeka haki zetu hazibadiliki, hatupotezi ubinadamu wetu wala hatupaswi kuwa wasioonekana, nasema wasioonekana maana Tanzania kuna neno wasiojulikana, ukishakuwa Mzee unaweza kuwa hauonekani kama upo sasa Waziri Stegomena na Ndugu yake jitihada anayoifanya ni kuwafanya Wazee waonekana na amesisitiza umuhimu wa kutumiwa na kushirikishwa kama Watu wanaoweza kutoa mchango muhimu katika Jamii kutokana na uzoefu, ujuzi na maarifa waliyokusanya katika mapito yao ya maisha”

“Kuwa Mzee hakukufanyi uwe sio kitu, Wazee wana maarifa mengi, mwaka 1987 nikiwa Masasi, nilikwenda Dodoma kwenye NEC Mwalimu akawa na ziara na Mimi nikapata ujiko kwamba Jakaya twende safari hii, tumefika Tanga alikuwa na tabia Mwalimu jioni anakula chakula na Wazee, siku ile pale Ikulu Wazee wakasoma risala akasikiliza hakujibu, Wazee walipoondoka akaniambia Jakaya baki”

“Akaniambia nataka kukuambia maneno uyashike la kwanza sio kila Mzee ambaye ni Mwanachama wa CCM ni Mwasisi, yule aliyesoma risala wakati tunadai uhuru hapa Lushoto ndiye alikuwa anatupinga nimeshangaa leo anasoma risala ya Waasisi wa Chama, Chama kipi?, lakini nataka kukuambia jambo lingine hili ndio la kushika, ukitaka Nchi itulie kamata Wazee, meseji kubwa pale ukitaka Nchi itulie kamata Wazee”
#MillardAyoUOUPDATESView attachment 3136253
Kikwete huyu huwa hajielewi kabisa,sasa sijui hapo anazungumzia wazee gani?
 
huku akiweka msisitizo wa kauli aliyowahi kuambiwa na Baba wa Taifa Mwl. Nyerere kwamba ukitaka ‘Nchi itulie kamata Wazee’ akisema ni muhimu kuwatumia Wazee kwasababu wana maarifa ambayo wameyapata katika mapito ya maisha yao.

Wazee waliotajwa na Kambarage wapo katika sura 2

1. Wazee wale wa kawaida. (Rejelea vikao vya wazee na Mwl)

2. Wazee wale walikuwa waaguzi, wapiga ramli, watazama bao, wenye kuroga. (Rejelea simulizi za uhuru na mazindiko yake)

Sasa sijui bwana JK anamaanisha wapi..
 
Nimemuelewa jana jk !

1."Sio kila Mzee ni mwasisi wa chama" Kumbe Kuna wazee mama kawashika lakini sio waasisi wa chama hiki na hawaelewi kitu!

2.Nchi haijatulia coz Mama hajawashika wazee!

3. Na yeye jk anahisi ni muhanga was wasiojulikana japo yeye anajulikana!!

4.Inawezekana kutokutulia kwa nchi ni kwasababu wazee hawajashikwa na kama hajawashika bhasi nchi haitotulia kamwe kuelekea uchaguzi mkuu!!

Mzee jk!
 
Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete ametoa ushauri kwa Jamii kuwatumia Wazee kupata uzoefu na maarifa huku akiweka msisitizo wa kauli aliyowahi kuambiwa na Baba wa Taifa Mwl. Nyerere kwamba ukitaka ‘Nchi itulie kamata Wazee’ akisema ni muhimu kuwatumia Wazee kwasababu wana maarifa ambayo wameyapata katika mapito ya maisha yao.

Akiongea usiku wa kuamkia leo October 27,2024 katika harambee ya kuchangia ujenzi wa kituo cha kisasa cha Wazee cha Petra Elderly Centre Jijini Dar es salaam ambacho Waziri wa Ulinzi Dkt. Tax ni Mwanzilishi mwenza, Mstaafu Kikwete amesema “Askofu Mkuu Desmund Tutu aliwahi kusisitiza umuhimu wa kutambua haki na heshima ya Wazee akasema tunapozeeka haki zetu hazibadiliki, hatupotezi ubinadamu wetu wala hatupaswi kuwa wasioonekana, nasema wasioonekana maana Tanzania kuna neno wasiojulikana, ukishakuwa Mzee unaweza kuwa hauonekani kama upo sasa Waziri Stegomena na Ndugu yake jitihada anayoifanya ni kuwafanya Wazee waonekana na amesisitiza umuhimu wa kutumiwa na kushirikishwa kama Watu wanaoweza kutoa mchango muhimu katika Jamii kutokana na uzoefu, ujuzi na maarifa waliyokusanya katika mapito yao ya maisha”

“Kuwa Mzee hakukufanyi uwe sio kitu, Wazee wana maarifa mengi, mwaka 1987 nikiwa Masasi, nilikwenda Dodoma kwenye NEC Mwalimu akawa na ziara na Mimi nikapata ujiko kwamba Jakaya twende safari hii, tumefika Tanga alikuwa na tabia Mwalimu jioni anakula chakula na Wazee, siku ile pale Ikulu Wazee wakasoma risala akasikiliza hakujibu, Wazee walipoondoka akaniambia Jakaya baki”

“Akaniambia nataka kukuambia maneno uyashike la kwanza sio kila Mzee ambaye ni Mwanachama wa CCM ni Mwasisi, yule aliyesoma risala wakati tunadai uhuru hapa Lushoto ndiye alikuwa anatupinga nimeshangaa leo anasoma risala ya Waasisi wa Chama, Chama kipi?, lakini nataka kukuambia jambo lingine hili ndio la kushika, ukitaka Nchi itulie kamata Wazee, meseji kubwa pale ukitaka Nchi itulie kamata Wazee”
#MillardAyoUOUPDATESView attachment 3136253
Azungumzie mtazamo wake binafsi siyo kuwanukuu Mwalimu Nyerere na Askofu Tutu
 
Ila huyu Mzee, kumbe huu ujumbe ameutoa katika kuzindua kituo cha wazee?!!!. Naomba tusim quote vibaya maana pengine hawazi kama tunavyowaza, maneno aliyoyatoa ni sahihi kwa sehemu muafaka.

Ila kama kuna kingine liko moyoni mwake basi muda utabainisha
 
Nimemuelewa jana jk !

1."Sio kila Mzee ni mwasisi wa chama" Kumbe Kuna wazee mama kawashika lakini sio waasisi wa chama hiki na hawaelewi kitu!

2.Nchi haijatulia coz Mama hajawashika wazee!

3. Na yeye jk anahisi ni muhanga was wasiojulikana japo yeye anajulikana!!

4.Inawezekana kutokutulia kwa nchi ni kwasababu wazee hawajashikwa na kama hajawashika bhasi nchi haitotulia kamwe kuelekea uchaguzi mkuu!!

Mzee jk!
Umepiga palepale.
 
Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete ametoa ushauri kwa Jamii kuwatumia Wazee kupata uzoefu na maarifa huku akiweka msisitizo wa kauli aliyowahi kuambiwa na Baba wa Taifa Mwl. Nyerere kwamba ukitaka ‘Nchi itulie kamata Wazee’ akisema ni muhimu kuwatumia Wazee kwasababu wana maarifa ambayo wameyapata katika mapito ya maisha yao.

Akiongea usiku wa kuamkia leo October 27,2024 katika harambee ya kuchangia ujenzi wa kituo cha kisasa cha Wazee cha Petra Elderly Centre Jijini Dar es salaam ambacho Waziri wa Ulinzi Dkt. Tax ni Mwanzilishi mwenza, Mstaafu Kikwete amesema “Askofu Mkuu Desmund Tutu aliwahi kusisitiza umuhimu wa kutambua haki na heshima ya Wazee akasema tunapozeeka haki zetu hazibadiliki, hatupotezi ubinadamu wetu wala hatupaswi kuwa wasioonekana, nasema wasioonekana maana Tanzania kuna neno wasiojulikana, ukishakuwa Mzee unaweza kuwa hauonekani kama upo sasa Waziri Stegomena na Ndugu yake jitihada anayoifanya ni kuwafanya Wazee waonekana na amesisitiza umuhimu wa kutumiwa na kushirikishwa kama Watu wanaoweza kutoa mchango muhimu katika Jamii kutokana na uzoefu, ujuzi na maarifa waliyokusanya katika mapito yao ya maisha”

“Kuwa Mzee hakukufanyi uwe sio kitu, Wazee wana maarifa mengi, mwaka 1987 nikiwa Masasi, nilikwenda Dodoma kwenye NEC Mwalimu akawa na ziara na Mimi nikapata ujiko kwamba Jakaya twende safari hii, tumefika Tanga alikuwa na tabia Mwalimu jioni anakula chakula na Wazee, siku ile pale Ikulu Wazee wakasoma risala akasikiliza hakujibu, Wazee walipoondoka akaniambia Jakaya baki”

“Akaniambia nataka kukuambia maneno uyashike la kwanza sio kila Mzee ambaye ni Mwanachama wa CCM ni Mwasisi, yule aliyesoma risala wakati tunadai uhuru hapa Lushoto ndiye alikuwa anatupinga nimeshangaa leo anasoma risala ya Waasisi wa Chama, Chama kipi?, lakini nataka kukuambia jambo lingine hili ndio la kushika, ukitaka Nchi itulie kamata Wazee, meseji kubwa pale ukitaka Nchi itulie kamata Wazee”
#MillardAyoUOUPDATESView attachment 3136253
Ni wazee wa aina ipi watahudumiwa na Petra Elderly Centre na kwa misingi ipi kadi maalum au?
 
Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete ametoa ushauri kwa Jamii kuwatumia Wazee kupata uzoefu na maarifa huku akiweka msisitizo wa kauli aliyowahi kuambiwa na Baba wa Taifa Mwl. Nyerere kwamba ukitaka ‘Nchi itulie kamata Wazee’ akisema ni muhimu kuwatumia Wazee kwasababu wana maarifa ambayo wameyapata katika mapito ya maisha yao.

Akiongea usiku wa kuamkia leo October 27,2024 katika harambee ya kuchangia ujenzi wa kituo cha kisasa cha Wazee cha Petra Elderly Centre Jijini Dar es salaam ambacho Waziri wa Ulinzi Dkt. Tax ni Mwanzilishi mwenza, Mstaafu Kikwete amesema “Askofu Mkuu Desmund Tutu aliwahi kusisitiza umuhimu wa kutambua haki na heshima ya Wazee akasema tunapozeeka haki zetu hazibadiliki, hatupotezi ubinadamu wetu wala hatupaswi kuwa wasioonekana, nasema wasioonekana maana Tanzania kuna neno wasiojulikana, ukishakuwa Mzee unaweza kuwa hauonekani kama upo sasa Waziri Stegomena na Ndugu yake jitihada anayoifanya ni kuwafanya Wazee waonekana na amesisitiza umuhimu wa kutumiwa na kushirikishwa kama Watu wanaoweza kutoa mchango muhimu katika Jamii kutokana na uzoefu, ujuzi na maarifa waliyokusanya katika mapito yao ya maisha”

“Kuwa Mzee hakukufanyi uwe sio kitu, Wazee wana maarifa mengi, mwaka 1987 nikiwa Masasi, nilikwenda Dodoma kwenye NEC Mwalimu akawa na ziara na Mimi nikapata ujiko kwamba Jakaya twende safari hii, tumefika Tanga alikuwa na tabia Mwalimu jioni anakula chakula na Wazee, siku ile pale Ikulu Wazee wakasoma risala akasikiliza hakujibu, Wazee walipoondoka akaniambia Jakaya baki”

“Akaniambia nataka kukuambia maneno uyashike la kwanza sio kila Mzee ambaye ni Mwanachama wa CCM ni Mwasisi, yule aliyesoma risala wakati tunadai uhuru hapa Lushoto ndiye alikuwa anatupinga nimeshangaa leo anasoma risala ya Waasisi wa Chama, Chama kipi?, lakini nataka kukuambia jambo lingine hili ndio la kushika, ukitaka Nchi itulie kamata Wazee, meseji kubwa pale ukitaka Nchi itulie kamata Wazee”
#MillardAyoUOUPDATESView attachment 3136253
Mbona kipindi cha URais wa Kikwete Wazee walidhalilishwa ???!
 
Back
Top Bottom