JET SALLI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,392
- 1,578
Ww mwasha mbwa huwezi kunielewa wenye Akili wamesha elewa zamani sana ww niendelee kukupa pole.Mbona maandishi yako hayaonyeshi kama una akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww mwasha mbwa huwezi kunielewa wenye Akili wamesha elewa zamani sana ww niendelee kukupa pole.Mbona maandishi yako hayaonyeshi kama una akili.
Na wewe una akili?Ww mwasha mbwa huwezi kunielewa wenye Akili wamesha elewa zamani sana ww niendelee kukupa pole.
Hakika.Na wewe una akili?
Duh 🙄 !Anamsingizia Nyerere tu...mnafiki sana huyu nyoka wa taifa!
Nguvu ya Mamba kumayi !Nimemuelewa jana jk !
1."Sio kila Mzee ni mwasisi wa chama" Kumbe Kuna wazee mama kawashika lakini sio waasisi wa chama hiki na hawaelewi kitu!
2.Nchi haijatulia coz Mama hajawashika wazee!
3. Na yeye jk anahisi ni muhanga was wasiojulikana japo yeye anajulikana!!
4.Inawezekana kutokutulia kwa nchi ni kwasababu wazee hawajashikwa na kama hajawashika bhasi nchi haitotulia kamwe kuelekea uchaguzi mkuu!!
Mzee jk!
Lakini wanasema alikua Bwana mipango wa safe process ya ku eliminate yule jamaa!!Nguvu ya Mamba kumayi !
Akishatoka nje ya maji hamna kitu !
Rejea kipindi kile 😳 !
Katiba mpya bora ni muhimu sana 🙏🙏
vipi yeyeLakini wanasema alikua Bwana mipango wa safe process ya ku eliminate yule jamaa!!
We wasiojulikana uwaoni?Kwani nchi haijatulia?
Nasikia sikia lakini anadunda tu!vipi yeye
wenzake hawana
mipango ya
kumu-eliminate
wacha tuone,Nasikia sikia lakini anadunda tu!
Kama ana backups Toka kwa kina obama ni ngumu kidogo!
Ngoja tuone kama chura atamuweza!!
SI unasikia juzi juzi kasema eti "Ili patulie ahusishe wazee" labda wazee ni yeye au!!?
Wazee wenyewe ni hawa waliofisadi nchi Mzee au kuna wengine?Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete ametoa ushauri kwa Jamii kuwatumia Wazee kupata uzoefu na maarifa huku akiweka msisitizo wa kauli aliyowahi kuambiwa na Baba wa Taifa Mwl. Nyerere kwamba ukitaka ‘Nchi itulie kamata Wazee’ akisema ni muhimu kuwatumia Wazee kwasababu wana maarifa ambayo wameyapata katika mapito ya maisha yao.
Wazee waadilifu huwa wanapigwa teke na kuwadhalilisha ila Wazee mafisadi ndio hukumbatiwa !Wazee wenyewe ni hawa waliofisadi nchi Mzee au kuna wengine?
Ni wale wa Escraw?
Ni wale waliogawana vitalu vyetu vya gas?
Sio kila mzee ni wa kukamata msitudanganye!