Jakaya Kikwete: Ukitaka Nchi Itulie Kamata Wazee

Jakaya Kikwete: Ukitaka Nchi Itulie Kamata Wazee

Nimemuelewa jana jk !

1."Sio kila Mzee ni mwasisi wa chama" Kumbe Kuna wazee mama kawashika lakini sio waasisi wa chama hiki na hawaelewi kitu!

2.Nchi haijatulia coz Mama hajawashika wazee!

3. Na yeye jk anahisi ni muhanga was wasiojulikana japo yeye anajulikana!!

4.Inawezekana kutokutulia kwa nchi ni kwasababu wazee hawajashikwa na kama hajawashika bhasi nchi haitotulia kamwe kuelekea uchaguzi mkuu!!

Mzee jk!
Nguvu ya Mamba kumayi !
Akishatoka nje ya maji hamna kitu !
Rejea kipindi kile 😳 !
Katiba mpya bora ni muhimu sana 🙏🙏
 
zama na zama zake...wazee wengi wa sasa ndo wahuni wa zamani..enzi hzo ukikaa na mzee kweli unapata kitu,, lakini kwasasa wazee wengi ni viboko ya wachawi.
 
vipi yeye
wenzake hawana
mipango ya
kumu-eliminate
Nasikia sikia lakini anadunda tu!

Kama ana backups Toka kwa kina obama ni ngumu kidogo!
Ngoja tuone kama chura atamuweza!!

SI unasikia juzi juzi kasema eti "Ili patulie ahusishe wazee" labda wazee ni yeye au!!?
 
Nasikia sikia lakini anadunda tu!

Kama ana backups Toka kwa kina obama ni ngumu kidogo!
Ngoja tuone kama chura atamuweza!!

SI unasikia juzi juzi kasema eti "Ili patulie ahusishe wazee" labda wazee ni yeye au!!?
wacha tuone,
muda utasema,
ukiwakera watu,
wakitaka jambo lao,
ngumu kuzuia,
hata uwe na,
backup ya nani.
 
Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete ametoa ushauri kwa Jamii kuwatumia Wazee kupata uzoefu na maarifa huku akiweka msisitizo wa kauli aliyowahi kuambiwa na Baba wa Taifa Mwl. Nyerere kwamba ukitaka ‘Nchi itulie kamata Wazee’ akisema ni muhimu kuwatumia Wazee kwasababu wana maarifa ambayo wameyapata katika mapito ya maisha yao.
Wazee wenyewe ni hawa waliofisadi nchi Mzee au kuna wengine?
Ni wale wa Escraw?
Ni wale waliogawana vitalu vyetu vya gas?
Sio kila mzee ni wa kukamata msitudanganye!
 
Wazee wenyewe ni hawa waliofisadi nchi Mzee au kuna wengine?
Ni wale wa Escraw?
Ni wale waliogawana vitalu vyetu vya gas?
Sio kila mzee ni wa kukamata msitudanganye!
Wazee waadilifu huwa wanapigwa teke na kuwadhalilisha ila Wazee mafisadi ndio hukumbatiwa !
 
Back
Top Bottom