Jakaya Kikwete: Wazee tulikataa kubadili Katiba muhula wa Urais kutoka miaka 5 kuwa miaka 7

Jakaya Kikwete: Wazee tulikataa kubadili Katiba muhula wa Urais kutoka miaka 5 kuwa miaka 7

Unfortunately tunatofautiana jijsi ya kumtathmni Jiwe..

Binafsi sina shida na kuwanyoosha wapinzani bali Nina shida na handling yake ya Uchumi na biashara..

Kama ni kuwanyoosha wapinzani Nchi karibu zote za Afrika zinawashughulikia na Uchumi unaenda vizuri..

Ila kipindi cha Jiwe sasa ndio kipindi Uchumi wa Nchi uliporomoka, wafanyabiashara waliacha kuwekeza pesa Kwa kuhofia kuporwa, investors walikimbia na sekta nyingi zilikufa kama real estates,ukandarasi, biashara,ajira hakuna,machinga kila sehemu nk..

Jiwe alibakia anategemea bandari ya Dar,mikopo na dhahabu huku akiwa na migogoro na Majirani,jumuiya ya Kimataifa na ndani..

Kwa mazingira haya Jiwe alikuwa ni one of the useless and failures president tuliyewahi kupata..

Vipaombele vyake ilikuwa ni mambo yasiyo zalisha na yasiyo na maana kwenye uchumi na yaliyolenga kupata pesa za upigaji..

Jiwe Kwa kutambua kwamba amefirisika alilazimu aanze mchakato wa kubadili Katiba kwa visingizio vya miradi kuachwa yeye akifa kumbe ni excuse ya failures..

Yaani Jiwe angeendelea kuwa Rais na alivyokuwa na kiburi Leo hii Tanzania ingeshasambaratika kiuchumi kama Zambabwe na lawama kama kawaida zingeenda kwa wapinzani na mabeberu 😁😁..

Kifo cha Jiwe kilikuwa ni kuliokoa Taifa vinginevyo Tungesaga meno na gungekimbia Nchi..
Nikwambie ukweli au nikudanganye? Unagundu sana na bahati mbaya sana you have nothing to do kufuta records alizojiwekea....Huko in future wanayo nafasi ya ku compare na ku contrast na kwakua ali record kila alichokinena na kukitenda basi uwe na uhakika binadamu anauwezo wa kung'amua kipi ni cha kweli na kipi ni uwongo, kwa sasa enjoy hii short term spinning uliyojiajiri kuifanya
 
Nikwambie ukweli au nikudanganye? Unagundu sana na bahati mbaya sana you have nothing to do kufuta records alizojiwekea....Huko in future wanayo nafasi ya ku compare na ku contrast na kwakua ali record kila alichokinena na kukitenda basi uwe na uhakika binadamu anauwezo wa kung'amua kipi ni cha kweli na kipi ni uwongo, kwa sasa enjoy hii short term spinning uliyojiajiri kuifanya
Sasa Mimi nitafutaje rekodi za mtu aliyeharibu Uchumi?

Kwani kuanzisha ma sgr ,sijui Bwawa la Umeme ndio kuondoa Umaskini?

Hayo unayoona wewe ni rekodi anyone can do at the expenses of the majority poor kama wewe..

Na kuthibitisha hilo ni hivi ambavyo Rais Samia anayafanya vizuri tuu bila excuses za kijinga kama za Jiwe..

Masuala kama hayo yamejaa huko Ethiopia,Nigeria,Sudan nk ila watu wanakimbia Nchi zao..

Narudia kusema Jiwe alivuruga uchumi na angekuwepo sasa hivi ndio mungesaga meno vizuri..

Mwisho hakuna mahala Jiwe atakwambia alikuta maskini kadhaa akawatoa kwenye umaskini kadhaa badala yake aliwaongeza wakawa lukuki mtaani..

Kwa hiyo kwangu Jiwe awanyooshe tuu wapinzani ni sawa maana inafanyika hivyo Afrika yote ila alikosea Sana kuvuruga Uchumi..

Madikteta wenzie wanawanyoosha wapinzani ila wanaweka mazingira rafiki kwa biashara na uchumi..
 
Mashoga mnamchukia mkemia alifuta mashirika yenu ya vilainishi
Sawa tuu kwani alivyofuta vilainishi vikeisha?

Hakuna mtu mwenye akili timamu atamsemea Jiwe vizuri imagine hadi Prof.Majalala anamgeuka..

Mwingine huyu hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221006-154021.png
    Screenshot_20221006-154021.png
    129.9 KB · Views: 2
Sasa Mimi nitafutaje rekodi za mtu aliyeharibu Uchumi?

Kwani kuanzisha ma sgr ,sijui Bwawa la Umeme ndio kuondoa Umaskini?

Hayo unayoona wewe ni rekodi anyone can do at the expenses of the majority poor kama wewe..

Na kuthibitisha hilo ni hivi ambavyo Rais Samia anayafanya vizuri tuu bila excuses za kijinga kama za Jiwe..

Masuala kama hayo yamejaa huko Ethiopia,Nigeria,Sudan nk ila watu wanakimbia Nchi zao..

Narudia kusema Jiwe alivuruga uchumi na angekuwepo sasa hivi ndio mungesaga meno vizuri..

Mwisho hakuna mahala Jiwe atakwambia alikuta maskini kadhaa akawatoa kwenye umaskini kadhaa badala yake aliwaongeza wakawa lukuki mtaani..

Kwa hiyo kwangu Jiwe awanyooshe tuu wapinzani ni sawa maana inafanyika hivyo Afrika yote ila alikosea Sana kuvuruga Uchumi..

Madikteta wenzie wanawanyoosha wapinzani ila wanaweka mazingira rafiki kwa biashara na uchumi..
Urais wa Mh. Samia hautokei bila JPM na yeye ndiye anathibitisha maudhui ya Katiba hii kuwa ili mtu mwenye maono mengine nje ya ile iliyopigiwa kura asivuruge, VP anachukua kiti kuendeleza; so huu ni mwendelezo wa maono yaliyoanzishwa na JPM, labda tubadili katiba na hata ikiwa ndiyo imeshakuwa kwa JPM....Sorry mungu alijua mioyo yenu hii miovu ndiyo sababu aliamua iwr hivyo...Msimchanganye mama mwacheni awe na amalizie kipande kilichobakizwa salama!
 
Sawa tuu kwani alivyofuta vilainishi vikeisha?

Hakuna mtu mwenye akili timamu atamsemea Jiwe vizuri imagine hadi Prof.Majalala anamgeuka..

Mwingine huyu hapa 👇
Ni kawaida ya wanasiasa wengi kudance according to the tunes !! Wao wanaamini kuwa siasa ni uongo unaokubalika !! Leo atamkubali Boss wake lakini akiondoka atasema ilikuwa tunaburuzwa tu !! Ukimuuliza kama ni hivyo kwanini hukujiuzuru kulinda misimamo yako atajibu nilihofia maisha yangu. !! Lakini ukweli ni kuhofia Tumbo lake tu. !!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Urais wa Mh. Samia hautokei bila JPM na yeye ndiye anathibitisha maudhui ya Katiba hii kuwa ili mtu mwenye maono mengine nje ya ile iliyopigiwa kura asivuruge, VP anachukua kiti kuendeleza; so huu ni mwendelezo wa maono yaliyoanzishwa na JPM, labda tubadili katiba na hata ikiwa ndiyo imeshakuwa kwa JPM....Sorry mungu alijua mioyo yenu hii miovu ndiyo sababu aliamua iwr hivyo...Msimchanganye mama mwacheni awe na amalizie kipande kilichobakizwa salama!
Kwa akili zako unadhani Rais Samia ni mjinga wa.kuweza kuanzisha miradi isiyo na tija kama sgr ya kwenda huko Mwanza?

Rais Samia anajua uchumi asingewekeza pesa kwenye mradi mkubwa wakati Uchumi hauna uwezo wa kujenga Wala hakuna uchumi wa kutumia hiyo sgr na mamiradi mengine ya kijinga kama Mastand na masoko makubwa kubwa ambayo hayatumiki inavyotakiwa..

Na alisema ni kwa vile miradi imekula pesa nyingi so kuicha ni hasara mara 2 kwamba ni heri nusu shari kuliko Shari kamili..

Maono ya Rais Samia ni ustawi wa Watu kwa njia ya biashara na huduma za jamii na sio ujamaa wa kijinga wa Kuzalisha machinga wasio na mbele Wala nyuma.
 
Unapata wapi ujasiri wa kumtetea jambazi kama huyu?

Marais karibu wote walikuwa na kashfa za wizi ila Mkapa na Mwendazake ndio wamekuwa na kashfa za wazi na Mwendazake Katia fora [emoji116]

Tunachotofautiana mi nawewe we unatumia mihemko ya kisiasa mi niko out of that game nawaza kimantik kos nishaacha kitambo tangu nilipojua siasa its all about kutengeneza imani mioyoni mwa watu juu yako au jina la chama chako na kupata nguvu yao kwa njia yoyote so hua sina uchama wala uteam nachoponda mimi nikuendelea kudeal na mtu weak(dead person) na kujifunika makosa yao kupitia jina lake na watu wanaamini,


All n all raisi anamamlaka makubwa sana kwa hii nchi yetu na tangu mwanzo na hakujawai kua na smooth heritage ya madaraka ilani za chana kila mtu anataka afanye yake ili aprove wrong aliepita tokea kwa MKORONI to MWALIMU, MWALIMU to RUKSA, RUKSA to KONDE JESHI, JESHI to SOGA BOY na SOGA to JIWE.

Simtetei JIWE ila napondea siasa ya sasa kua hali ngumu inaletwa na marehem na ikiwa hayupo na njia za kufanya restorations za aliepita kama zipo sahihi sa malalamiko ya nini?!! Na speaking of iyo habari apo juu siwezi kusikiliza siasa mi natumia mantik na akili za kawaida kwenye kuchagua lipinalipi na kwa yupi sasa apo unataka nifate akili za kina rostam na mwenzake maan wasingeweza kufurahishwa na JIWE na uongoz wake hata sikumoja na ukiangalia nyuma ya kina rostam utajua kunakina nani wenye remote ya movie unayoshabikia mi sio shabiki sitak akili zangu kutumiwa kwa manufaa ya watu fulani ikiwa ki sipati kitu.
 
Kwa akili zako unadhani Rais Samia ni mjinga wa.kuweza kuanzisha miradi isiyo na tija kama sgr ya kwenda huko Mwanza?

Rais Samia anajua uchumi asingewekeza pesa kwenye mradi mkubwa wakati Uchumi hauna uwezo wa kujenga Wala hakuna uchumi wa kutumia hiyo sgr na mamiradi mengine ya kijinga kama Mastand na masoko makubwa kubwa ambayo hayatumiki inavyotakiwa..

Na alisema ni kwa vile miradi imekula pesa nyingi so kuicha ni hasara mara 2 kwamba ni heri nusu shari kuliko Shari kamili..

Maono ya Rais Samia ni ustawi wa Watu kwa njia ya biashara na huduma za jamii na sio ujamaa wa kijinga wa Kuzalisha machinga wasio na mbele Wala nyuma.
Nilifikiri na argue na mtu mwenye uelewa kumbe ni political fanatic...Haya kila la heri...Mh. Samia hahitaji hizi fanatics ku justify urais wake, if at all am in my senses...Mtu yeyote anayejitambua na aliyestaarabika including kuwa educated (which I believe she is), heshima yake haijengwi kwakumchafua mwingine au kukanyaga miguu ya wenzake...Ila kwakua umeamua kuwa chawa basi nifanyeje kama ndiyo culture yako!

Namtahadharisha Rais wangu tu kuwa chawa hawanaga idara kila penye damu wananyonya leo mtamnyonya yeye akitoka mtahamia kwa wengine, such a cheap life style you portray...And I can assure you wewe unaweza kuwa miongoni waliokuwa wanaimba mapambio enzi za JPM pia
 
Kwa akili zako unadhani Rais Samia ni mjinga wa.kuweza kuanzisha miradi isiyo na tija kama sgr ya kwenda huko Mwanza?

Rais Samia anajua uchumi asingewekeza pesa kwenye mradi mkubwa wakati Uchumi hauna uwezo wa kujenga Wala hakuna uchumi wa kutumia hiyo sgr na mamiradi mengine ya kijinga kama Mastand na masoko makubwa kubwa ambayo hayatumiki inavyotakiwa..

Na alisema ni kwa vile miradi imekula pesa nyingi so kuicha ni hasara mara 2 kwamba ni heri nusu shari kuliko Shari kamili..

Maono ya Rais Samia ni ustawi wa Watu kwa njia ya biashara na huduma za jamii na sio ujamaa wa kijinga wa Kuzalisha machinga wasio na mbele Wala nyuma.
Ubadhirifu wa pesa za umma ndio tatizo kuu la nchi hii sio miradi mikubwa mikubwa !! Je ni sawa Tanzania ibaki nyuma miaka yote ?? Tujiulize hao wanaoweza hiyo miradi mikubwa wana nini na sisi tunaoshindwa tuna nini ?? !! Ubadhirifu ndio tatizo kuu katika nchi hii miaka yote sio awamu hii tu. !! Ubadhirifu na mchwa wakidhibitiwa nchi hii kila kitu kinawezekana !!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mbona ameongea kimafumbo? Si amtaje Jina la huyo kiongozi alietaka kuongeza miaka 7 kutoka 5
Kama unatumia akili nyingi utajua kwamba anaemzungumzia hawezi kuwa Rais wa kabla yake mana asingemuita "kijana" na ingekuwa mkapa au Mwinyi basi yeye asingeingia kwenye sifa ya wazee so definitely ni jpm
 
Kama alitaka kubadili katiba kwa nguvu ilikuwa ni haki yake kuuawa, after all kwani hata yeye aliua wangapi?
Huyu mjamaa kwani si anajua kwamba yeye alifanya mambo tofauti na zama za Mwinyi lakini ilimuuma sana sana JPM alivyoendesha serikali. Alitaka kutuwekea mtu wake lkn "wazee" hao hao wakampiga stop
Alianzisha mchakato wa katiba mpya bila kwanza kuuliza wananchi kama wanataka, kuna mtu alimzuia . Je yeye alitupeleka wapi ambapo tunaweza kujivunia?
Ni wazi alikuwa na chuki sana na JPM
 
Sijui kwanini hakuliona Hilo. Ukatili wake kwa wapinzani ndio ulipunguza ushawishi wake. Kama angeruhusu democrasia na kuondoa mambo ya wasiojulikana Leo angekuwa bado yupo hai.
Wengi hamjui kwamba issues kwa JPM haikuwa kwamba aliminya demokrasia. Issue ilikuwa aliminya sana maslahi haramu ya hawa watu!! Makampuni yao, mikataba yao, migodi ya na mali ambazo watu (CCM na upinzani) ambayo walikuwa wanapata isivyo halali. Watu walipanic alipoanza kushughulika ripoti ya mali za CCM. Kuna ubadhirifu mkubwa ulifanyika.
Hii ndiyo sababu kubwa ya JPM kuchukiwa na baadhi ya viongozi wenzake ingawa alipendwa kiasi kikibwa na wananchi
 
Malamba asali siku hizi yanajigamba uakiwa yamejianika juani ka mamba
 
Ndio ubinafsi huo nauongelea kwa hiyo unaona bora huyu afe au bora huyu anyang'anywe mali zake ili wewe kitumbo tele usiye changia chochote uishi kwa furaha si ndio!? Hujioni wa ajabu

Ndio maana ilifika mahali nchi ikamshinda akaamua kunyang'anya fedha za watu kwenye account zao maana anakumbatia na kuwafurahisha maskini wasio lipa kodi kwa vile wanamshangilia majukwaani kwa kuwanyanyasa matajiri wanao lipa kodi kwa kuwanyang'anya mali zao kwa nguvu na kuwapakazia kesi za hovyo ,

Huyo mshamba wenu asinge toboa hii miaka mitano iliyo baki ndio maana kafilisi mifuko yote ya fedha hadi wastaafu wanashindwa kulipwa kisa awafurahishe nyie wauza nyanya ambao hamna mchango mkubwa wa kuongeza pato la taifa na kuifanya serikali ijiendeshe, matokeo yake kwa aibu ya kukwama akawa anakopa kimya kimya halafu wajinga nyie anawadanganya eti ni fedha za ndani , SHWAIN yule ikiwezekana afufuke atandikwe bakora 78 kabla ya kufa tena.
Unajua kwamba mpaka leo hii watu wanafungiwa account? Ile ni sheria ya Kodi inasema hivyo ambapo miaka ya kina jk haikuwa inafuatiliwa. Alichofanya Magu ni kuitilia mkazo tu
 
Wengi hamjui kwamba issues kwa JPM haikuwa kwamba aliminya demokrasia. Issue ilikuwa aliminya sana maslahi haramu ya hawa watu!! Makampuni yao, mikataba yao, migodi ya na mali ambazo watu (CCM na upinzani) ambayo walikuwa wanapata isivyo halali. Watu walipanic alipoanza kushughulika ripoti ya mali za CCM. Kuna ubadhirifu mkubwa ulifanyika.
Hii ndiyo sababu kubwa ya JPM kuchukiwa na baadhi ya viongozi wenzake ingawa alipendwa kiasi kikibwa na wananchi
Vip kuhusu mali za Sabaya na Makonda ambao walikuwa mabilionea baada ya kuteuliwa?

Hivi Magufuli alimtia nani hatiani kwa ufisadi? Kikwete aliwafunga Mramba na Daniel Yona, Magufuli alimfunga nani?
 
Back
Top Bottom