Jakaya Kikwete: Wazee tulikataa kubadili Katiba muhula wa Urais kutoka miaka 5 kuwa miaka 7

Nikwambie ukweli au nikudanganye? Unagundu sana na bahati mbaya sana you have nothing to do kufuta records alizojiwekea....Huko in future wanayo nafasi ya ku compare na ku contrast na kwakua ali record kila alichokinena na kukitenda basi uwe na uhakika binadamu anauwezo wa kung'amua kipi ni cha kweli na kipi ni uwongo, kwa sasa enjoy hii short term spinning uliyojiajiri kuifanya
 
Sasa Mimi nitafutaje rekodi za mtu aliyeharibu Uchumi?

Kwani kuanzisha ma sgr ,sijui Bwawa la Umeme ndio kuondoa Umaskini?

Hayo unayoona wewe ni rekodi anyone can do at the expenses of the majority poor kama wewe..

Na kuthibitisha hilo ni hivi ambavyo Rais Samia anayafanya vizuri tuu bila excuses za kijinga kama za Jiwe..

Masuala kama hayo yamejaa huko Ethiopia,Nigeria,Sudan nk ila watu wanakimbia Nchi zao..

Narudia kusema Jiwe alivuruga uchumi na angekuwepo sasa hivi ndio mungesaga meno vizuri..

Mwisho hakuna mahala Jiwe atakwambia alikuta maskini kadhaa akawatoa kwenye umaskini kadhaa badala yake aliwaongeza wakawa lukuki mtaani..

Kwa hiyo kwangu Jiwe awanyooshe tuu wapinzani ni sawa maana inafanyika hivyo Afrika yote ila alikosea Sana kuvuruga Uchumi..

Madikteta wenzie wanawanyoosha wapinzani ila wanaweka mazingira rafiki kwa biashara na uchumi..
 
Mashoga mnamchukia mkemia alifuta mashirika yenu ya vilainishi
Sawa tuu kwani alivyofuta vilainishi vikeisha?

Hakuna mtu mwenye akili timamu atamsemea Jiwe vizuri imagine hadi Prof.Majalala anamgeuka..

Mwingine huyu hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221006-154021.png
    129.9 KB · Views: 2
Urais wa Mh. Samia hautokei bila JPM na yeye ndiye anathibitisha maudhui ya Katiba hii kuwa ili mtu mwenye maono mengine nje ya ile iliyopigiwa kura asivuruge, VP anachukua kiti kuendeleza; so huu ni mwendelezo wa maono yaliyoanzishwa na JPM, labda tubadili katiba na hata ikiwa ndiyo imeshakuwa kwa JPM....Sorry mungu alijua mioyo yenu hii miovu ndiyo sababu aliamua iwr hivyo...Msimchanganye mama mwacheni awe na amalizie kipande kilichobakizwa salama!
 
Sawa tuu kwani alivyofuta vilainishi vikeisha?

Hakuna mtu mwenye akili timamu atamsemea Jiwe vizuri imagine hadi Prof.Majalala anamgeuka..

Mwingine huyu hapa 👇
Ni kawaida ya wanasiasa wengi kudance according to the tunes !! Wao wanaamini kuwa siasa ni uongo unaokubalika !! Leo atamkubali Boss wake lakini akiondoka atasema ilikuwa tunaburuzwa tu !! Ukimuuliza kama ni hivyo kwanini hukujiuzuru kulinda misimamo yako atajibu nilihofia maisha yangu. !! Lakini ukweli ni kuhofia Tumbo lake tu. !!
 
Reactions: Ame
Kwa akili zako unadhani Rais Samia ni mjinga wa.kuweza kuanzisha miradi isiyo na tija kama sgr ya kwenda huko Mwanza?

Rais Samia anajua uchumi asingewekeza pesa kwenye mradi mkubwa wakati Uchumi hauna uwezo wa kujenga Wala hakuna uchumi wa kutumia hiyo sgr na mamiradi mengine ya kijinga kama Mastand na masoko makubwa kubwa ambayo hayatumiki inavyotakiwa..

Na alisema ni kwa vile miradi imekula pesa nyingi so kuicha ni hasara mara 2 kwamba ni heri nusu shari kuliko Shari kamili..

Maono ya Rais Samia ni ustawi wa Watu kwa njia ya biashara na huduma za jamii na sio ujamaa wa kijinga wa Kuzalisha machinga wasio na mbele Wala nyuma.
 
Unapata wapi ujasiri wa kumtetea jambazi kama huyu?

Marais karibu wote walikuwa na kashfa za wizi ila Mkapa na Mwendazake ndio wamekuwa na kashfa za wazi na Mwendazake Katia fora [emoji116]

Tunachotofautiana mi nawewe we unatumia mihemko ya kisiasa mi niko out of that game nawaza kimantik kos nishaacha kitambo tangu nilipojua siasa its all about kutengeneza imani mioyoni mwa watu juu yako au jina la chama chako na kupata nguvu yao kwa njia yoyote so hua sina uchama wala uteam nachoponda mimi nikuendelea kudeal na mtu weak(dead person) na kujifunika makosa yao kupitia jina lake na watu wanaamini,


All n all raisi anamamlaka makubwa sana kwa hii nchi yetu na tangu mwanzo na hakujawai kua na smooth heritage ya madaraka ilani za chana kila mtu anataka afanye yake ili aprove wrong aliepita tokea kwa MKORONI to MWALIMU, MWALIMU to RUKSA, RUKSA to KONDE JESHI, JESHI to SOGA BOY na SOGA to JIWE.

Simtetei JIWE ila napondea siasa ya sasa kua hali ngumu inaletwa na marehem na ikiwa hayupo na njia za kufanya restorations za aliepita kama zipo sahihi sa malalamiko ya nini?!! Na speaking of iyo habari apo juu siwezi kusikiliza siasa mi natumia mantik na akili za kawaida kwenye kuchagua lipinalipi na kwa yupi sasa apo unataka nifate akili za kina rostam na mwenzake maan wasingeweza kufurahishwa na JIWE na uongoz wake hata sikumoja na ukiangalia nyuma ya kina rostam utajua kunakina nani wenye remote ya movie unayoshabikia mi sio shabiki sitak akili zangu kutumiwa kwa manufaa ya watu fulani ikiwa ki sipati kitu.
 
Nilifikiri na argue na mtu mwenye uelewa kumbe ni political fanatic...Haya kila la heri...Mh. Samia hahitaji hizi fanatics ku justify urais wake, if at all am in my senses...Mtu yeyote anayejitambua na aliyestaarabika including kuwa educated (which I believe she is), heshima yake haijengwi kwakumchafua mwingine au kukanyaga miguu ya wenzake...Ila kwakua umeamua kuwa chawa basi nifanyeje kama ndiyo culture yako!

Namtahadharisha Rais wangu tu kuwa chawa hawanaga idara kila penye damu wananyonya leo mtamnyonya yeye akitoka mtahamia kwa wengine, such a cheap life style you portray...And I can assure you wewe unaweza kuwa miongoni waliokuwa wanaimba mapambio enzi za JPM pia
 
Ubadhirifu wa pesa za umma ndio tatizo kuu la nchi hii sio miradi mikubwa mikubwa !! Je ni sawa Tanzania ibaki nyuma miaka yote ?? Tujiulize hao wanaoweza hiyo miradi mikubwa wana nini na sisi tunaoshindwa tuna nini ?? !! Ubadhirifu ndio tatizo kuu katika nchi hii miaka yote sio awamu hii tu. !! Ubadhirifu na mchwa wakidhibitiwa nchi hii kila kitu kinawezekana !!
 
Reactions: Ame
Mbona ameongea kimafumbo? Si amtaje Jina la huyo kiongozi alietaka kuongeza miaka 7 kutoka 5
Kama unatumia akili nyingi utajua kwamba anaemzungumzia hawezi kuwa Rais wa kabla yake mana asingemuita "kijana" na ingekuwa mkapa au Mwinyi basi yeye asingeingia kwenye sifa ya wazee so definitely ni jpm
 
Kama alitaka kubadili katiba kwa nguvu ilikuwa ni haki yake kuuawa, after all kwani hata yeye aliua wangapi?
Huyu mjamaa kwani si anajua kwamba yeye alifanya mambo tofauti na zama za Mwinyi lakini ilimuuma sana sana JPM alivyoendesha serikali. Alitaka kutuwekea mtu wake lkn "wazee" hao hao wakampiga stop
Alianzisha mchakato wa katiba mpya bila kwanza kuuliza wananchi kama wanataka, kuna mtu alimzuia . Je yeye alitupeleka wapi ambapo tunaweza kujivunia?
Ni wazi alikuwa na chuki sana na JPM
 
Sijui kwanini hakuliona Hilo. Ukatili wake kwa wapinzani ndio ulipunguza ushawishi wake. Kama angeruhusu democrasia na kuondoa mambo ya wasiojulikana Leo angekuwa bado yupo hai.
Wengi hamjui kwamba issues kwa JPM haikuwa kwamba aliminya demokrasia. Issue ilikuwa aliminya sana maslahi haramu ya hawa watu!! Makampuni yao, mikataba yao, migodi ya na mali ambazo watu (CCM na upinzani) ambayo walikuwa wanapata isivyo halali. Watu walipanic alipoanza kushughulika ripoti ya mali za CCM. Kuna ubadhirifu mkubwa ulifanyika.
Hii ndiyo sababu kubwa ya JPM kuchukiwa na baadhi ya viongozi wenzake ingawa alipendwa kiasi kikibwa na wananchi
 
Malamba asali siku hizi yanajigamba uakiwa yamejianika juani ka mamba
 
Unajua kwamba mpaka leo hii watu wanafungiwa account? Ile ni sheria ya Kodi inasema hivyo ambapo miaka ya kina jk haikuwa inafuatiliwa. Alichofanya Magu ni kuitilia mkazo tu
 
Vip kuhusu mali za Sabaya na Makonda ambao walikuwa mabilionea baada ya kuteuliwa?

Hivi Magufuli alimtia nani hatiani kwa ufisadi? Kikwete aliwafunga Mramba na Daniel Yona, Magufuli alimfunga nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…