was a joke my dear! i'm really sorry!
Napingana na wewe.Hivi kuwa machinga kunahitaji hio koneksheni? Ha ha ha ha..Bila connection hapa duniani huwez kutoboa...huwez jua wakat anaanza ni watu gan wa muhimu katika kupata taarifa walikuwa wamemzunguka...amekomaa na ameweza bigup
Connection ipo kwa kuanzia tu hata mtu akienda China kuchukua nguo akakubali kukubebea lobota moja ya nguo tofautitofauti, utasave gharama za usafiri kwenda China na obviously utarealize profit.Huwa ninaamini mafanikio ni matokeo ya mipango, juhudi na Nidhamu. Hata kwa huyo kijana naamini ndio njia aliyopitia.
Siamini kabisa katika kitu kinachoitwa Connection. Connection sio kitu halisi katika hali ya ujumla, ni sawa na kucheza bahati nasibu. Kiujumla hakipogo, na hata mara chache kinapotokea kwa baadhi ya watu bado kinaweza kisimvushe muhusika.
LUNGUMI alikuwa mpiga viatu rangi alikuwa maskini wa kutupwa kabebwa na familia ya Jk hadi alipo fikia, maskini usipo kuwa mjanja na kupata connection utakufa maskini na utazikwa na maskini wenzakomaskini ana connection gani?
tusiweke visingizio, kutoboa bila connection inawezekana
Nahs hujanielewa au hujui maana ya neno connection katika utafutaj....ndo mana umecheka kinafki...Napingana na wewe.Hivi kuwa machinga kunahitaji hio koneksheni? Ha ha ha ha..
kwahiyo na forex umehamaNi kweli kabisa
Ndiyo maana wapo wenye mishahara ya daraja la chini lakini wanafanya maendeleo na wapo wenye kipato cha kati wanaishi kwa mikopo
Kusimamia kitu kimoja kunafanya kuwa mzoefu kwenye hilo eneo
Utazijua changamoto zake,matatizo na hata opportunities za hilo eneo
Wengi tunafanya hichi tunaacha ukiteleza kidogo unahama kabisa
Waambie mkuu...Hata Diamond hajafika hapo peke yake...uwezo wa kutafta connection ndo uliomfikisha kwa kuwapata watu kama salam,wajuzi wa kutoboka nje...unaweza ukawa na kipaji bila connection utaishia kuimba bar....hakuna mtu anayefanikiwa mwenyewe lazima kuna chain nyuma ya pazia inayombeba kwa namna fulani hata tu kupata taarifa sahihi.ni cinnection toshaLUNGUMI alikuwa mpiga viatu rangi alikuwa maskini wa kutupwa kabebwa na familia ya Jk hadi alipo fikia, maskini usipo kuwa mjanja na kupata connection utakufa maskini na utazikwa na maskini wenzako
kwahiyo na forex umehama
ndo nnUnawashwa eeh?
Kuna kitu nilikiona kwenye moja ya thread zako kilinikumbusha mbali na kufurahi kuna mtu alishakiwaza. Sema nilikatishwa tamaa. Ntakushirikisha...Duuh hongera yake aisee.
Ninachokataa Mimi ni kuihusisha konekisheni kwenye kufanya umachinga! Ukisema kwa wasanii naweza kiasi nikakubali.Ila kwa biashara nyingi katika dunia hii,mafanikio yako ndani yako! Hilo neno konekisheni linadumaza vijana.Nahs hujanielewa au hujui maana ya neno connection katika utafutaj....ndo mana umecheka kinafki...
Machinga sio mtu aliyetoboa...ili kutoka kwenye umachinga mpak kuwa giant firm lazima uwe na connection....sorry nisijekuwa naongea na mtu aliyeajiliwa au mwenye kibanda cha Mpesa..mana nahs ntapoteza mdaNinachokataa Mimi ni kuihusisha konekisheni kwenye kufanya umachinga! Ukisema kwa wasanii naweza kiasi nikakubali.Ila kwa biashara nyingi katika dunia hii,mafanikio yako ndani yako! Hilo neno konekisheni linadumaza vijana.
Inawezekana mkuu, miaka mitatu mingi sana, ni juhudi tu na commitment.kwa hiyo kwa akili yako unataka kusema mwaka 2005 alipo kuwa machinga,amaefanya umachinga ndani ya miaka 3 awe na duka hapo juu kwenye picha namba 2?
Machinga sio mtu aliyetoboa...ili kutoka kwenye umachinga mpak kuwa giant firm lazima uwe na connection....sorry nisijekuwa naongea na mtu aliyeajiliwa au mwenye kibanda cha Mpesa..mana nahs ntapoteza mda