Jamaa alichokikuta Honeymoon hana furaha kabisa...

Jamaa alichokikuta Honeymoon hana furaha kabisa...

Tumeozesha majuzi tu

Sasa leo tunamwuliza bwana Harusi vipi honeymoon umeserereka mpaka mwisho?

Ila jamaa hana furaha kabisa

Ametutumia picha hii

View attachment 3144488
Mhuni au wewe mwenyewe, umetengeneza topic ya kugonganisha watu vichwa halafu ubaki ukiwang'ong'a huku ukiwa umeuuma ulimi wako nchani.
 
Mhuni au wewe mwenyewe, umetengeneza topic ya kugonganisha watu vichwa halafu ubaki ukiwang'ong'a huku ukiwa umeuuma ulimi wako nchani.
Me nadhan wewe ndio bwana harusi husika
Pole boss sio kwa kununa huku
 
Wazee wa kuoa vitu mitumba watapita kama hawajaona hapo bado sijaongelea mitumba yenyewe
Si talaka tatu tu kwa makubaliano ya pande zote chaliangu😎
 
Nyie mnaotoa talaka 3
Kwa wakristo hamnaga talaka 3
Screenshot_20241105-210555~2.png
 
Back
Top Bottom