Jamaa alilenga kufanya mashambulizi ubalozini na si vinginevyo

Jamaa alilenga kufanya mashambulizi ubalozini na si vinginevyo

Nilinde nikulinde police na ccm udhulumu Sana wananchi
 
napenda sana technolojia, picha za miaka nenda rudi zisharushwa kuonyesha maisha ya muhusika wa tukio na nyingine bado zitakuja za shule alosoma nk

tuachie vyombo husika vichunguzee
Vyombo vipi vifanye kazi? Polisi wamemuua mtuhumiwa ili kumnyamazisha. Mtuhumiwa ameuawa akiwa amepiga magoti na amenyanyua mikono. Bunduki alizokuwa nazo aliwany'anya polisi. Hapo kuna uhusika wa Polisi.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Wadau kwa maswali mnahoji uliza, kwanini hakuua raia na akaua Askari ni kwamba, jamaa hakulenga kuua raia yoyote ataeonekana mbele yake. Pia hakuwa na lengo la kuua askari ila aliwashambulia sababu alijua wamekuja kumzuia kufanya mission yake ambayo kwa haraka haraka ni ubalozini tu.

Lakini pia mnaohoji kwanini polisi walimlenga kwa kumuua kabisa na si kumkamata ni kwamba, jamaa alikuwa na silaha mbili za kivita ambazo huwa hazirembi eneo la tukio kwenye mashambulizi hivyo polisi walijihami kulinda uhai wao sababu kutokana na ukamataji wa silaha zile ni lazima ujihami kwa kuamini yule ni jambazi sugu au gaidi hivyo waliamini kwa mazingira yale wangeremba jamaa angetoka na raia wengi au askari wengi.

Kuhusu sababu ya kutaka kufanya hayo yote ubalozini mimi na wewe hatujui. Wacha polisi wafanye kazi yao najua ndani ya wiki moja tutapata jawabu la usahihi.
 
What a clown [emoji1782]
Yaani unaandika kama umeambiwa tunga hadithi kutokana na kisa cha hicho

Balozi umewasikia wakilalamika
Emdeleeni kutunga habari tu ila ukweli unakuja
 
Back
Top Bottom