Jamaa alilenga kufanya mashambulizi ubalozini na si vinginevyo

Nilinde nikulinde police na ccm udhulumu Sana wananchi
 
napenda sana technolojia, picha za miaka nenda rudi zisharushwa kuonyesha maisha ya muhusika wa tukio na nyingine bado zitakuja za shule alosoma nk

tuachie vyombo husika vichunguzee
Vyombo vipi vifanye kazi? Polisi wamemuua mtuhumiwa ili kumnyamazisha. Mtuhumiwa ameuawa akiwa amepiga magoti na amenyanyua mikono. Bunduki alizokuwa nazo aliwany'anya polisi. Hapo kuna uhusika wa Polisi.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Dhahabu wabaki nazo tu,ila qumamae chamoto wamekiona.
 
 
What a clown [emoji1782]
Yaani unaandika kama umeambiwa tunga hadithi kutokana na kisa cha hicho

Balozi umewasikia wakilalamika
Emdeleeni kutunga habari tu ila ukweli unakuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…