Jamaa alioa Manyara, Dodoma na Singida ndoa chali, sasa yuko kijiweni analalamika kama mwehu

Jamaa alioa Manyara, Dodoma na Singida ndoa chali, sasa yuko kijiweni analalamika kama mwehu

gwanseri

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2024
Posts
379
Reaction score
1,081
Wakuu,

Huyu rafiki yetu tumwite G , ni mtu mzima around 54, yaliyomkuta hapa anahadithia kama Hana akili.

Ndoa zote tatu chali cha mende lakini anacholalamikia ni mambo kadhaa

1. Kasema wanawake wote hao Wana usaliti wa chinichini na wazi

2. Tamaa kwa wanawake zake wote alioachana nao

3. Wanawake zake kwa vipindi tofauti hujirahisisha hadi kwa marafiki zake na wanapita nao

4. Wanawake zake anasema hupenda matumizi makubwa ilihali uwezo hawana na makwao ni maskini kabisa

5. Wanawake zake huzuzuka na miji kwani wakitoka vijijini hua wapole na baada ya muda hubadilishwa na miji na kuanza kushoboka kwa watoto wa mjini

Hapa tubaendelea kusikiliza , kwa wajuzi wanawake wa hiyo mikoa Wana nini au tatizo gani ili wengine pia wajifunze,
 
Wakuu,

Huyu rafiki yetu tumwite G , ni mtu mzima around 54, yaliyomkuta hapa anahadithia kama Hana akili.

Ndoa zote tatu chali cha mende lakini anacholalamikia ni mambo kadhaa

1. Kasema wanawake wote hao Wana usaliti wa chinichini na wazi

2. Tamaa kwa wanawake zake wote alioachana nao

3. Wanawake zake kwa vipindi tofauti hujirahisisha hadi kwa marafiki zake na wanapita nao

4. Wanawake zake anasema hupenda matumizi makubwa ilihali uwezo hawana na makwao ni maskini kabisa

5. Wanawake zake huzuzuka na miji kwani wakitoka vijijini hua wapole na baada ya muda hubadilishwa na miji na kuanza kushoboka kwa watoto wa mjini

Hapa tubaendelea kusikiliza , kwa wajuzi wanawake wa hiyo mikoa Wana nini au tatizo gani ili wengine pia wajifunze,
Mwambie ajiangalie kwenye kioo. Clearly kuna tatizo linalomfanya akbilie wanawake wa aina hiyo, tamaa kingono, unrealistic expetations, kutokujiamini
 
Wanawake hao mbona hawana tatizo. Wanawake wote wana hizo tabia sio suala la kabila.
All women look for a certain lifestyle....ukishindwa kuiprovide hiyo lifestyle unabwagwa tuu.

Ata wee kidume demu akishindwa kukata uno vizuri au akipoteza mvuto unambwaga tuu unasaka chombo kipya
 
Wakuu,

Huyu rafiki yetu tumwite G , ni mtu mzima around 54, yaliyomkuta hapa anahadithia kama Hana akili.

Ndoa zote tatu chali cha mende lakini anacholalamikia ni mambo kadhaa

1. Kasema wanawake wote hao Wana usaliti wa chinichini na wazi

2. Tamaa kwa wanawake zake wote alioachana nao

3. Wanawake zake kwa vipindi tofauti hujirahisisha hadi kwa marafiki zake na wanapita nao

4. Wanawake zake anasema hupenda matumizi makubwa ilihali uwezo hawana na makwao ni maskini kabisa

5. Wanawake zake huzuzuka na miji kwani wakitoka vijijini hua wapole na baada ya muda hubadilishwa na miji na kuanza kushoboka kwa watoto wa mjini

Hapa tubaendelea kusikiliza , kwa wajuzi wanawake wa hiyo mikoa Wana nini au tatizo gani ili wengine pia wajifunze,
Ameshtuka baada ya kugonga 50s?
ametaja mapungufu ya wake zake, je upande wake?
 
Alivyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo. Mungu fundi bhana unapita mle mle kama ulipopita njana utasema wanawake wote zero kumbe tatzo ni wewe mwenyewe.

Sent From kapembe kambuli using Jamiforums
 
Wanawake watatu wote wamekushinda!! Hapo tatizo ni wewe tena furushi haswa. Achana tu na wanawake, wekeza kwenye kilimo.
Atafute kazi nyingine ya kufanya. Swala la familia limeshamshinda
 
Back
Top Bottom