Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Kabisa.Atafute kazi nyingine ya kufanya. Swala la familia limeshamshinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa.Atafute kazi nyingine ya kufanya. Swala la familia limeshamshinda
Napiga picha uso wako ukiwa unatoa jibu la "kabisa" plus that avatar look, mh mh its serious shit 😂Kabusa.
Hahahah...haafu unaweza kuta ni mwanajamii forumKweli elimu Haina mwisho wanaume bado tunajifunza kuhusu mwanamke,miaka 54 ana imba nyimbo za wanawake
Kwanza kabisa hiyo mika aliyoa si sahihi kupata mke wa maana, yaani ni bahati sana kupata mke wa maana toka hizo sehemu. Kingine, usikute wanawake aliowaoa ni mabaa meidi (bar maids) na wenye asili ya umalaya. Kwa kifupi, kajitakia mwenyewe, mwache alalamike.Wakuu,
Huyu rafiki yetu tumwite G , ni mtu mzima around 54, yaliyomkuta hapa anahadithia kama Hana akili.
Ndoa zote tatu chali cha mende lakini anacholalamikia ni mambo kadhaa
1. Kasema wanawake wote hao Wana usaliti wa chinichini na wazi
2. Tamaa kwa wanawake zake wote alioachana nao
3. Wanawake zake kwa vipindi tofauti hujirahisisha hadi kwa marafiki zake na wanapita nao
4. Wanawake zake anasema hupenda matumizi makubwa ilihali uwezo hawana na makwao ni maskini kabisa
5. Wanawake zake huzuzuka na miji kwani wakitoka vijijini hua wapole na baada ya muda hubadilishwa na miji na kuanza kushoboka kwa watoto wa mjini
Hapa tubaendelea kusikiliza , kwa wajuzi wanawake wa hiyo mikoa Wana nini au tatizo gani ili wengine pia wajifunze,
Kwahiyo wanawake wa Manyara, dodoma na singida hawafaiKwanza kabisa hiyo mika aliyoa si sahihi kupata mke wa maana, yaani ni bahati sana kupata mke wa maana toka hizo sehemu. Kingine, usikute wanawake aliowaoa ni mabaa meidi (bar maids) na wenye asili ya umalaya. Kwa kifupi, kajitakia mwenyewe, mwache alalamike.
Bar Maid kwa kuwa wamezoea kuona watu wanakuja kuchafua meza basi wao wamekuwa Brainwashed.Kwanza kabisa hiyo mika aliyoa si sahihi kupata mke wa maana, yaani ni bahati sana kupata mke wa maana toka hizo sehemu. Kingine, usikute wanawake aliowaoa ni mabaa meidi (bar maids) na wenye asili ya umalaya. Kwa kifupi, kajitakia mwenyewe, mwache alalamike.
Sio Sababu.......Tanzania mikoa isiyo ng'oa anteni ni michache sana.Mgogo Mnyaturu/Mnyiramba na hao wa Manyara! Kwaza wote wanang'oa 'antena'. Kusalitiwa nje nje
Ni wa kuwatumia tu na kuwaacha kama modemu wa Kichagga na KipareKwahiyo wanawake wa Manyara, dodoma na singida hawafai
Mabaa meid akili zao ni kama waśanii wa Bongo movie au madada wetu wa mjini ambao hawana hili wala lile.Bar Maid kwa kuwa wamezoea kuona watu wanakuja kuchafua meza basi wao wamekuwa Brainwashed.
Wanafikiri hayo ndio maisha yalivyo.
Kumbe hawajui watu wanaends Kuchafua meza mara moja moja tena kwa mwenzi.
Sasa anavyoona watu wamejaa kila siku wanatsfuna manyama na mishikaki andhani watu wanaenda kil siku😅😅
Ni Baamedi wachache sana wenye akili za maisha.
Tamaa mbele mpaka akishagonga 35 akiwa single maza ndio anashtuka.
HahahaaaMabaa meid akili zao ni kama waśanii wa Bongo movie au madada wetu wa mjini ambao hawana hili wala lile.
Wakipare wako vipi mkuuNi wa kuwatumia tu na kuwaacha kama modemu wa Kichagga na Kipare
Hakn aliye tulia kwa kqeliMgogo Mnyaturu/Mnyiramba na hao wa Manyara! Kwaza wote wanang'oa 'antena'. Kusalitiwa nje nje