Jamaa alioa Manyara, Dodoma na Singida ndoa chali, sasa yuko kijiweni analalamika kama mwehu

Kweli elimu Haina mwisho wanaume bado tunajifunza kuhusu mwanamke,miaka 54 ana imba nyimbo za wanawake
 
Aende Mbeya, ama Kigoma, Mwanzaa, Morogoro, Lindi, DSM na kisha Kilimanjaro
 
Kwanza kabisa hiyo mika aliyoa si sahihi kupata mke wa maana, yaani ni bahati sana kupata mke wa maana toka hizo sehemu. Kingine, usikute wanawake aliowaoa ni mabaa meidi (bar maids) na wenye asili ya umalaya. Kwa kifupi, kajitakia mwenyewe, mwache alalamike.
 
Kwahiyo wanawake wa Manyara, dodoma na singida hawafai
 
Bar Maid kwa kuwa wamezoea kuona watu wanakuja kuchafua meza basi wao wamekuwa Brainwashed.

Wanafikiri hayo ndio maisha yalivyo.
Kumbe hawajui watu wanaends Kuchafua meza mara moja moja tena kwa mwenzi.

Sasa anavyoona watu wamejaa kila siku wanatsfuna manyama na mishikaki andhani watu wanaenda kil siku😅😅

Ni Baamedi wachache sana wenye akili za maisha.
Tamaa mbele mpaka akishagonga 35 akiwa single maza ndio anashtuka.
 
Mgogo Mnyaturu/Mnyiramba na hao wa Manyara! Kwaza wote wanang'oa 'antena'. Kusalitiwa nje nje
Sio Sababu.......Tanzania mikoa isiyo ng'oa anteni ni michache sana.

Harafu concept ya wazee kung'oa antena sio ile inayosemwa.

Aliyeng'oa antena pamoja na kwamba ni ukatiri lakini K zao hazitanuki. Siku zote zinabana hatari.
 
Mabaa meid akili zao ni kama waśanii wa Bongo movie au madada wetu wa mjini ambao hawana hili wala lile.
 
Hkn aliye tulia wote ukiwa ana vzr wana achia mzigo vzr tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…