JITU LA MIRABA MINNE
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 726
- 476
Ni jamaa nimesoma nae nilimchangia harusi yake iliyofana sana yeye Ameniambia kuwa amegundua mke wake alikuwa anaifanya dhambi ya sodoma na gomora na alikataa wasisogeleane(shake well before use)kabla ya ndoa
Nimetumia tafsida kuna watoto humu, sasa anawaza afanyaje ?amwache mke au alisongeshe life?
Nimeleta kwenu wanajamvi tuone tunamsaidiaje huyu mheshimiwa kwani ana stress sana
Nimesikitika sana hii taarifa okey karibuni
Nimetumia tafsida kuna watoto humu, sasa anawaza afanyaje ?amwache mke au alisongeshe life?
Nimeleta kwenu wanajamvi tuone tunamsaidiaje huyu mheshimiwa kwani ana stress sana
Nimesikitika sana hii taarifa okey karibuni