Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ni kosa ambalo huyo msichana alikuwa akilifanya kabla hajajielewa, lakini baadae ndo kaamua kubadilika na kuachana nalo....kwahiyo huyo jamaa inabidi aache ya kale yapite na aishi maisha mapya na huyo mke wake, na kuna uwezekano huyo mwanamke ndo akawa ni chaguo lake zuri la maisha.Ni jamaa nimesoma nae nilimchangia harusi yake iliyofana sana yeye Ameniambia kuwa amegundua mke wake alikua anaifanya dhambi ya sodoma na gomora na alikataa wasisogeleane(shake well before use)kabla ya ndoa
Nimetumia tafsida kuna watoto humu
sasa anawaza afanyaje ?amwache mke au alisongeshe life?nimeleta kwenu wanajamvi tuone tunamsaidiaje huyu mheshimiwa kwan ana stress sana
Nimesikitika sana hii taarifa okey karibuni
Lengo ni kumuadhirisha huyo binti,na mchezo huu ni wanaume ndio waanzilishi wapenzi na washabiki wa liwati,lakini mara nyingi wao ndio wanajifanya victims.Amejuaje kuwa ni kote kote?
Mkuu line two ni tigo nayo imetumiwa sana..labla line 1Kwanza tujulishe amejuaje kama line two ishawahi kutumika?
Kakuta Madobi washapiga pasi marinda...Labda unieleweshe, maana nimeona mambo mawili ndani ya posti moja: 1. kwamba kaoa bila 'shake well before use' (ukimaanisha angefanya kwanza ngono kumjua huyo mkewe kabla hawajaoana), na 2. ana stress, hivyo anahitaji counseling...
Sasa labda hoja yako hapa ni ipi?