Jamaa ameoa binti bila(shake well before use)baada ya ndoa amegundua mkewe ameharibiwa

Jamaa ameoa binti bila(shake well before use)baada ya ndoa amegundua mkewe ameharibiwa

Jamaa kama namjua vile,Mpe pole sana huyo mshikaji.
 
Ni jamaa nimesoma nae nilimchangia harusi yake iliyofana sana yeye Ameniambia kuwa amegundua mke wake alikua anaifanya dhambi ya sodoma na gomora na alikataa wasisogeleane(shake well before use)kabla ya ndoa
Nimetumia tafsida kuna watoto humu
sasa anawaza afanyaje ?amwache mke au alisongeshe life?nimeleta kwenu wanajamvi tuone tunamsaidiaje huyu mheshimiwa kwan ana stress sana
Nimesikitika sana hii taarifa okey karibuni
Hilo ni kosa ambalo huyo msichana alikuwa akilifanya kabla hajajielewa, lakini baadae ndo kaamua kubadilika na kuachana nalo....kwahiyo huyo jamaa inabidi aache ya kale yapite na aishi maisha mapya na huyo mke wake, na kuna uwezekano huyo mwanamke ndo akawa ni chaguo lake zuri la maisha.
 
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
JAZA UJAZWE....!+#VitaDhidiYaMadawaYaKulevyaHaijawahiKumwachaMtuSalama!!
 
alijuaje km amevurugwa ziro?au alichovya!abaki nae tu maana hata wale aliowaharibu yeye wataolewa siku 1
 
Jamaa alinunua voda akajaziwa na tigo.mwambie aendelee tuu kutumia mtandao.kama hautumii mtandao Wa tigo amuache huyo mwanamke maana lazima atachepuka tigo ikiwasha
 
Auendeleze mchezo wa 0655 la sivyo bibie atatafuta wa kumsodomize huko nje
 
wa kwako wa mrina bar vipi,,,,, ulishatest?......
 
Mkuu kuna msemo heri ukosee kujenga nyumba kuliko ukose kuoa. Huo msemo una maana kubwa sana. Kosa lisha fanyika kiapo asha kula hana budi kuendelea na ndoa yake koz makosa yapo na yana fanyika. Akomae tu ila iwe funzo kwa wengine tujifunze kutokana na makosa
 
Labda unieleweshe, maana nimeona mambo mawili ndani ya posti moja: 1. kwamba kaoa bila 'shake well before use' (ukimaanisha angefanya kwanza ngono kumjua huyo mkewe kabla hawajaoana), na 2. ana stress, hivyo anahitaji counseling...

Sasa labda hoja yako hapa ni ipi?
Kakuta Madobi washapiga pasi marinda...
 
Hivi unakubali vipi kuoa bila kutest ubora wa bidhaa?
 
Duuuh .....hz ndoa za mwendokas hz....anyway... If you don't fear sinning better you shake before use[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Back
Top Bottom