Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapajaguswa kabisa alikuwa anamtunzia mumewe zawadi yake baada ya ndoa.uko kwa Eva vipi???? bado kuzima???
Kale kanyama huwa kanakatwa baass!au kama inashindikana na tayari ni mkeo wa ndoa kuna plug za plastic unamchomekea kule halafu wewe unaendelea na ndoa yako.Duh..ampeleke Hospitali tu akashonwe..
Umeolewa?Wanaume gani nyie wambea hivyo?
Rafiki yako kakwambia na wewe ukayabeba ukayaleta huku mfyuu
Tell him to man up na aongee na mke wake wajue ni nini watafanya ndoa ni yao hiyoooo
Kwani vipi? unataka kunioa?Umeolewa?
Mtu huyo bila shaka ni wewe mwenyewe. Any way kama umefunga ndoa yako kanisani basi hiyo ndiyo kuvumiliana katika raha na shida. Lakini kama ni wa msikitini bado unayo fursa ya kuongeza kitu kingine tulizo la moyo wako. Ila samehe saba mara sabini.Ni jamaa nimesoma nae nilimchangia harusi yake iliyofana sana yeye Ameniambia kuwa amegundua mke wake alikua anaifanya dhambi ya sodoma na gomora na alikataa wasisogeleane(shake well before use)kabla ya ndoa
Nimetumia tafsida kuna watoto humu
sasa anawaza afanyaje ?amwache mke au alisongeshe life?nimeleta kwenu wanajamvi tuone tunamsaidiaje huyu mheshimiwa kwan ana stress sana
Nimesikitika sana hii taarifa okey karibuni
Mbn mwanamke Huyo kaufanya kbl hajaoaKwa hiyo unashauri watu wafanye uzinzi kwanza kabla hawajaoana?...