Easymutant
R I P
- Jun 3, 2010
- 2,564
- 1,133
Jaza ujazwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Comment of the threatSwali zuri. Kwa vyovyote itakuwa ni mtumiaji pia. Ila kaumia kukuta sio yeye aliyeanzisha matumizi
Mkuu kuna msemo heri ukosee kujenga nyumba kuliko ukose kuoa. Huo msemo una maana kubwa sana. Kosa lisha fanyika kiapo asha kula hana budi kuendelea na ndoa yake koz makosa yapo na yana fanyika. Akomae tu ila iwe funzo kwa wengine tujifunze kutokana na makosa
hahahahaaaa kazi ipohiyo habari nadhani hata wazazi wanamshangaa inakuaje unapika mboga bila kuonja chumvi kama imekolea??
lugha ya kiswahili si mchezo duuuko kwa Eva vipi???? bado kuzima???
uwiiii mbavu zangu mie khaaalakini si bado inafaa kwa matumizi ya mwanadamu?
Pole yaoNi jamaa nimesoma nae nilimchangia harusi yake iliyofana sana yeye Ameniambia kuwa amegundua mke wake alikua anaifanya dhambi ya sodoma na gomora na alikataa wasisogeleane(shake well before use)kabla ya ndoa
Nimetumia tafsida kuna watoto humu
sasa anawaza afanyaje ?amwache mke au alisongeshe life?nimeleta kwenu wanajamvi tuone tunamsaidiaje huyu mheshimiwa kwan ana stress sana
Nimesikitika sana hii taarifa okey karibuni
sehemu ya kubwa ni tamu sana
Dunia ni mahali pabaya kabisa pa kuishi, huyu ndugu yetu alicomment hapa na leo hayupo tena.Jaza ujazwe
Duh! InasikitishaNi jamaa nimesoma nae nilimchangia harusi yake iliyofana sana yeye Ameniambia kuwa amegundua mke wake alikuwa anaifanya dhambi ya sodoma na gomora na alikataa wasisogeleane(shake well before use)kabla ya ndoa
Nimetumia tafsida kuna watoto humu, sasa anawaza afanyaje ?amwache mke au alisongeshe life?
Nimeleta kwenu wanajamvi tuone tunamsaidiaje huyu mheshimiwa kwani ana stress sana
Nimesikitika sana hii taarifa okey karibuni