twahil
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 4,100
- 2,795
Wewe utakuwa unatumia Zantel na Harotel...Atoe ushamba wake hapa, kwani ajabu kutumia line mbili ya voda na tigo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe utakuwa unatumia Zantel na Harotel...Atoe ushamba wake hapa, kwani ajabu kutumia line mbili ya voda na tigo
Bawasiir inayosababishwa na forced entry.Unaposema ameharibika unamaanisha vitu vinatoka bila breki au?
tatzo hizo line zishatumika vya kutosha hazina ladha tenaAtoe ushamba wake hapa, kwani ajabu kutumia line mbili ya voda na tigo
usijali ni tafsida tu.Mhhh......[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Skuizi kiswahili kinakua kwa kasi
Mimi nimeelewa kuwa wewe hujaelewa... 🙄🙄🙄Kwanini unukuu sehemu ndogo ya sentensi yangu kisha ufanye conclusion? Isome sentensi nzima utaelewa nilichokusudia... hata wewe siyo lazima uchangie posti yangu kama hujaelewa concept yangu...
Duh..ampeleke Hospitali tu akashonwe..Bawasiir inayosababishwa na forced entry.
Ye kajuajeeNi jamaa nimesoma nae nilimchangia harusi yake iliyofana sana yeye ameniambia kuwa amegundua mke wake alikua anaifanya dhambi ya Sodoma na Gomora na alikataa wasisogeleane(shake well before use)kabla ya ndoa. Nimetumia tafsida kuna watoto humu sasa anawaza afanyaje? Amwache mke au alisongeshe life? Nimeleta kwenu wanajamvi tuone tunamsaidiaje huyu mheshimiwa kwan ana stress sana
Nimesikitika sana hii taarifa okey karibuni!
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!!!!!!!!!!!!!!! Kwa hiyo hili dogo ila ugali mbichi kubwa????? Utakuwa mshirika si hivi hivi.......Mwambie aache ushamba ndoa itamshida jambo dogo kama hilo anashindwa kuvumilia sasa siku akipikiwa ugali mbichi si ndiyo atauwa kabisa
Huyo jamaa anajuta kuwa angeduu before ndoa angejua matatizo hayo na asingemuoa huyo dadaLabda unieleweshe, maana nimeona mambo mawili ndani ya posti moja: 1. kwamba kaoa bila 'shake well before use' (ukimaanisha angefanya kwanza ngono kumjua huyo mkewe kabla hawajaoana), na 2. ana stress, hivyo anahitaji counseling...
Sasa labda hoja yako hapa ni ipi?
Hmm! Umeanza lini kazi ya kupiga ramli?...Mimi nimeelewa kuwa wewe hujaelewa... 🙄🙄🙄
Inategemea. Unaweza ukaduu before na bado usijue...Huyo jamaa anajuta kuwa angeduu before ndoa angejua matatizo hayo na asingemuoa huyo dada