Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaonyesha niwewe sasa utafanyaje?Ni jamaa nimesoma nae nilimchangia harusi yake iliyofana sana yeye ameniambia kuwa amegundua mke wake alikua anaifanya dhambi ya Sodoma na Gomora na alikataa wasisogeleane(shake well before use)kabla ya ndoa. Nimetumia tafsida kuna watoto humu sasa anawaza afanyaje? Amwache mke au alisongeshe life? Nimeleta kwenu wanajamvi tuone tunamsaidiaje huyu mheshimiwa kwan ana stress sana
Nimesikitika sana hii taarifa okey karibuni!
Kama hujaelewa sio lazima uchangie mtumishi. Wewe waweke tu kwenye maombi...Labda unieleweshe, maana...
Kuna hospitali inaitwa CCBRT, Ni hospitali ya rehabilitation... Mwambie aende pale waone namna ya kumsaidia... Iko Msasani...sasa anawaza afanyaje ?amwache mke au alisongeshe life?nimeleta kwenu wanajamvi tuone tunamsaidiaje huyu mheshimiwa kwan ana stress sana
Nimesikitika sana hii taarifa okey karibuni
hata wewe ulifanya kama hujaoaKwa hiyo unashauri watu wafanye uzinzi kwanza kabla hawajaoana?...
Hivi inawezekana kweli mtu akaoa before ku test?? MmmhhNi jamaa nimesoma nae nilimchangia harusi yake iliyofana sana yeye Ameniambia kuwa amegundua mke wake alikua anaifanya dhambi ya sodoma na gomora na alikataa wasisogeleane(shake well before use)kabla ya ndoa
Nimetumia tafsida kuna watoto humu
sasa anawaza afanyaje ?amwache mke au alisongeshe life?nimeleta kwenu wanajamvi tuone tunamsaidiaje huyu mheshimiwa kwan ana stress sana
Nimesikitika sana hii taarifa okey karibuni
Mwanamke hiyo mzembe si angenunua bikira?.Mbona nyingi tu.Hiyo ndo kupendana kwenye shida na raha. Mwambie jamaa avumilie tu, hiyo ishu ndogo mbona. Sema huyo bibie kazingua, bora angemchana mwana mapema au angalau angekausha tu. A bumpy way to start a holy matrimony.
Kwanini unukuu sehemu ndogo ya sentensi yangu kisha ufanye conclusion? Isome sentensi nzima utaelewa nilichokusudia... hata wewe siyo lazima uchangie posti yangu kama hujaelewa concept yangu...Kama hujaelewa sio lazima uchangie mtumishi. Wewe waweke tu kwenye maombi...
Unaposema ameharibika unamaanisha vitu vinatoka bila breki au?Ni jamaa nimesoma nae nilimchangia harusi yake iliyofana sana yeye ameniambia kuwa amegundua mke wake alikua anaifanya dhambi ya Sodoma na Gomora na alikataa wasisogeleane(shake well before use)kabla ya ndoa. Nimetumia tafsida kuna watoto humu sasa anawaza afanyaje? Amwache mke au alisongeshe life? Nimeleta kwenu wanajamvi tuone tunamsaidiaje huyu mheshimiwa kwan ana stress sana
Nimesikitika sana hii taarifa okey karibuni!
Una uhakika?...hata wewe ulifanya kama hujaoa