Jamaa ameoa binti bila(shake well before use)baada ya ndoa amegundua mkewe ameharibiwa

Jamaa ameoa binti bila(shake well before use)baada ya ndoa amegundua mkewe ameharibiwa

mmh sasa jamaa amejuaje au alikuwa anapima oil break zikafaill
 
Ni jamaa nimesoma nae nilimchangia harusi yake iliyofana sana yeye ameniambia kuwa amegundua mke wake alikua anaifanya dhambi ya Sodoma na Gomora na alikataa wasisogeleane(shake well before use)kabla ya ndoa. Nimetumia tafsida kuna watoto humu sasa anawaza afanyaje? Amwache mke au alisongeshe life? Nimeleta kwenu wanajamvi tuone tunamsaidiaje huyu mheshimiwa kwan ana stress sana

Nimesikitika sana hii taarifa okey karibuni!
Yaonyesha niwewe sasa utafanyaje?
 
Dhambi kubwa mno amejuaje sasa kwamba demu gem ya sodoma na gomola anaitumia
 
Labda unieleweshe, maana...
Kama hujaelewa sio lazima uchangie mtumishi. Wewe waweke tu kwenye maombi...

sasa anawaza afanyaje ?amwache mke au alisongeshe life?nimeleta kwenu wanajamvi tuone tunamsaidiaje huyu mheshimiwa kwan ana stress sana
Nimesikitika sana hii taarifa okey karibuni
Kuna hospitali inaitwa CCBRT, Ni hospitali ya rehabilitation... Mwambie aende pale waone namna ya kumsaidia... Iko Msasani...
 
Ni jamaa nimesoma nae nilimchangia harusi yake iliyofana sana yeye Ameniambia kuwa amegundua mke wake alikua anaifanya dhambi ya sodoma na gomora na alikataa wasisogeleane(shake well before use)kabla ya ndoa
Nimetumia tafsida kuna watoto humu
sasa anawaza afanyaje ?amwache mke au alisongeshe life?nimeleta kwenu wanajamvi tuone tunamsaidiaje huyu mheshimiwa kwan ana stress sana
Nimesikitika sana hii taarifa okey karibuni
Hivi inawezekana kweli mtu akaoa before ku test?? Mmmhh
 
Watajua wenyewe ndoa ni ya wawili sisi haituhusu.....
 
Mmhh em kwanza ni ulizeee ni jamaa yako mmesoma wote au ni wewe mkeo ndo kaliwa kiboga mpaka kimeisha
 
Hiyo ndo kupendana kwenye shida na raha. Mwambie jamaa avumilie tu, hiyo ishu ndogo mbona. Sema huyo bibie kazingua, bora angemchana mwana mapema au angalau angekausha tu. A bumpy way to start a holy matrimony.
Mwanamke hiyo mzembe si angenunua bikira?.Mbona nyingi tu.
 
Mwambie ajiandae kisaikolojia maana siku ya kwenda kujifungua kama wakibahatika mtoto lazima aje kuisaidia jamhuri kwa uhujumu wa mwanamke.... Umenikumbusha jamaa yangu tena alikuwa safarini akamwomba mama mzazi aende msaidia mke amekaribia siku za kuitwa mama.... Zoezi limeisha mama akaambiwa mkweo hatoki hadi mwenye mali aje... Wooooi ile kufika anaulizwa kwa nini unatumia line zote mbili????? Jamaa alibakizwa hospital wakati mke akirudi kwao(hapa aliugua ugonjwa wenye asili ya kichaa sio kichaa)...hizi mambo uishie kusikia kama hivi.....
 
Maana ya hiyo kusubiria ndoa ninkwamba upo tayari kuuziwa mbuzi kwenye gunia... Sasa analalamika nini wakati alikubali mwenyewe? Aendelee nae tu
 
Kama hujaelewa sio lazima uchangie mtumishi. Wewe waweke tu kwenye maombi...
Kwanini unukuu sehemu ndogo ya sentensi yangu kisha ufanye conclusion? Isome sentensi nzima utaelewa nilichokusudia... hata wewe siyo lazima uchangie posti yangu kama hujaelewa concept yangu...
 
Ni jamaa nimesoma nae nilimchangia harusi yake iliyofana sana yeye ameniambia kuwa amegundua mke wake alikua anaifanya dhambi ya Sodoma na Gomora na alikataa wasisogeleane(shake well before use)kabla ya ndoa. Nimetumia tafsida kuna watoto humu sasa anawaza afanyaje? Amwache mke au alisongeshe life? Nimeleta kwenu wanajamvi tuone tunamsaidiaje huyu mheshimiwa kwan ana stress sana

Nimesikitika sana hii taarifa okey karibuni!
Unaposema ameharibika unamaanisha vitu vinatoka bila breki au?
 
Mwambie aache ushamba ndoa itamshida jambo dogo kama hilo anashindwa kuvumilia sasa siku akipikiwa ugali mbichi si ndiyo atauwa kabisa
 
Back
Top Bottom