Jamaa ameoa binti bila(shake well before use)baada ya ndoa amegundua mkewe ameharibiwa

JITU LA MIRABA MINNE

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2015
Posts
726
Reaction score
476
Ni jamaa nimesoma nae nilimchangia harusi yake iliyofana sana yeye Ameniambia kuwa amegundua mke wake alikuwa anaifanya dhambi ya sodoma na gomora na alikataa wasisogeleane(shake well before use)kabla ya ndoa

Nimetumia tafsida kuna watoto humu, sasa anawaza afanyaje ?amwache mke au alisongeshe life?

Nimeleta kwenu wanajamvi tuone tunamsaidiaje huyu mheshimiwa kwani ana stress sana

Nimesikitika sana hii taarifa okey karibuni
 
hakuna namna ameuziwa mbuzi kwenye gunia,,,,pole yake
 
Kwa hiyo unashauri watu wafanye uzinzi kwanza kabla hawajaoana?...
 
Ni jamaa nimesoma nae nilimchangia harusi yake iliyofana sana yeye ameniambia kuwa amegundua mke wake alikua anaifanya dhambi ya Sodoma na Gomora na alikataa wasisogeleane(shake well before use)kabla ya ndoa. Nimetumia tafsida kuna watoto humu sasa anawaza afanyaje? Amwache mke au alisongeshe life? Nimeleta kwenu wanajamvi tuone tunamsaidiaje huyu mheshimiwa kwan ana stress sana

Nimesikitika sana hii taarifa okey karibuni!
 
Shake well before use...if symptoms persist seek medical advice!!
 
Hiyo ndo kupendana kwenye shida na raha. Mwambie jamaa avumilie tu, hiyo ishu ndogo mbona. Sema huyo bibie kazingua, bora angemchana mwana mapema au angalau angekausha tu. A bumpy way to start a holy matrimony.
 
Watoto tumeelewa mwambie akomae nae tu hakuna namna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…